Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Alikuwa anajitafutia maujiko kwa kitu kisichochake.
Na mbaya zaidi bora angekuwa upande wa tunaoomba hela. Yaani anatukandia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anadhani atabaki salama akigusa hii "kamati"?
Angekuwa upande wetu angalau tungemsitiri, anatukandia tena kwa kingereza kweli? Ametukosea sana adabu, aje atuombe radhi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mswis angalau Kiswahili alikuwa anakijua, huyu muhispaniola wa Marangu anatuandikia "fliji" mara "6ki" [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Achana na mswiss.
Alikuwa anaslide sana pm.
Alilenda papuchi zaidi.
Sasa mtu hujampm anakuja anajitambulisha mimi naishi uswiss nakaribia kurudi kama hutojali tuwasiliane.

Yule aliyembutua kamuharibia sana alikuwa analenga papuchi za jf.
 
Cha gugo umempa cheo sana. Ni cha kukopi na kupesti.

Anaanza tuu hapo mwanzo, "Jael.... Anapest zake[emoji23][emoji23]"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mwanaume mzembe huyu si mchezo, huku kajilaza sebuleni kwa shemeji akaona maisha kayapatiaaa. Haki nimecheka hadi usingizi umeisha.
 
Back
Top Bottom