Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Kumbe na yule mswiz B anatembea mule mule.? Kweli papuchi ni tamu.
Kalikuja PM kaliponichosha ni kalivyosema "
It seems wewe ni mstaarabu, kila nikibahatika kuona andiko lako linakuwa na hisia za kupole sana." Nikacheka hihihiiiiiii nipeshe huko usinipe sifa zisizo zangu.
Siku ameumbuliwa nikachaaaaaaaamba.
Nimecheka eti weeee ni mstaarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzigua90 uko wapi shoga.

Sasa kuna yule mswiss wa pili alijifanya yeye anapoga picja na via za Uswiss kabisa anamuambia Parabola nayeye apige picha kama yeye atupie.
Naye mule mule tu nacheka hiiiii
Ila jf hii bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna yule mwingine anajifanya amekuelewa hivyo anataka akupe milioni2 ili mspend usiku mmoja hoteli kubwa yoyote utakayochagua. Uandishi tu unasema nyokolo zako na robo ukute hapo unatumia free basics.
 
Hapa unajua hata msitulaumu wanawake. Siku hizi mapenzi ya kweli hakuna wanawake wameshajua wanaume wengi siku hizi siyo waoaji wanapiga na kusepa kwahiyo nao wanahakikisha unapopiga na kusepa lazima ugharamikie.

Kumbuka mnapochezeana baadaye jamii itakuja mnyooshea kidole mwanamke kuwa yeye ndiye malaya na hafai kuolewa ila mwanaume aahh ataoa fresh tu kwahiyo kwa upande huo mwanamke anakuwa kapoteza. Sasa na yeye atajipoza wapi kama siyo kwenye pesa hiyo inaitwa "nipotezee muda nikupotezee pesa".

Huu mchezo bwana hauhitaji hasira

Tit for tat is a fair game

Hahaaa nyie wanawake nawafahamu vizuri sana, mnawaomba pesa wanaume ambao hamjavutiwa nao kingono, akija mwanaume anaekuvutia, handsome ambae ukimwona papuchi inaloa, unampa papuchi ya bure kirahisii..unasahau kumuomba hela Zoë
 
Back
Top Bottom