Canberra
Senior Member
- Mar 23, 2020
- 176
- 360
๐ ๐Au anaanza , "Mimi nilishasema....(kisha anapesti zake)"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ ๐Au anaanza , "Mimi nilishasema....(kisha anapesti zake)"
Halafu "Mimi ni memba mkongwe ila nimeamua kutumia Id mpya,kwa sababu ya usalama"๐๐๐๐๐Ila jf hii bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna yule mwingine anajifanya amekuelewa hivyo anataka akupe milioni2 ili mspend usiku mmoja hoteli kubwa yoyote utakayochagua. Uandishi tu unasema nyokolo zako na robo ukute hapo unatumia free basics.
Kama ameamua kutafuta ya kwake kwanini aombe yangu ? Atumie yake kisha tukutanishwe kwenye lile la kukidhiana haja tu.akianza tu kuandika mahitaji ya nywele,
shampoo,leave in conditioner,jelly,Moisturizer
kabla hajafikia vya usoni unamblock kwanza!
kwa nini asitafute ya kwake!!
We nae huna hela.Kama ameamua kutafuta ya kwake kwanini aombe yangu ? Atumie yake kisha tukutanishwe kwenye lile la kukidhiana haja tu.
Wapo wengi sana hata mjini Dsm wapo ila sio yule mdada kwao ndo wanamtegemea au kwao hawasaidiani, rich girl look for love not money๐๐๐ Nitatafuta..
Ila naonaga kwenye muvi na humu jf wanasema unaweza pata penzi la kweli bila kutumia pesa..
For me mapenzi ain't something that really rock to me..
Achilia mbali ile dhati ya kuomba, hivi ulivyo vitaja vina natija gani kwako ?akianza tu kuandika mahitaji ya nywele,
shampoo,leave in conditioner,jelly,Moisturizer
Sawa, nafanyia kazi ushauri wako.We nae huna hela.
Kazana tu kutafuta.
Wanaume wenye hela hawawezi kuwepo hapa tokea mchana.
unani Interview tena?!Achilia mbali ile dhati ya kuomba, hivi ulivyo vitaja vina natija gani kwako ?
Hivi kwanini umuwekee masharti kwamba "kabla ya"? Halafu umshangae yeye akifanya the same? Hata yeye anaangalia je ni kweli uko real na unaweza kuyachukulia yake kama yako?Shida sio ninyi wanawake kutuomba hela, ukweli ni kuwa sisi wanaume tunapenda sana kuwapa hela wanawake tunao-date nao.
Shida ni kuwa wanawake wengi wanaotuomba hela mwanzoni mwa mahusiano (especially ile time kabla hawajatoa papuchi) hawana mapenzi ya kweli kwetu sisi wanaume, (wanatupendea hela) wapo na sisi kwa sababu ya hela, na sio kwasababu wamevutiwa kingono na sisi, sasa sisi wanaume we can sense & smell that from a mile, na hatujisikii vizuri tukigundua kuwa tumependewa hela.
Wewe kama mwanamke ukiwa na shida ya kifedha usisite kumuomba hela boyfriend wako eti ukifikiria utaonekana vipi, as long as unajua umevutiwa kingono na huyo boyfriend wako, it means motive yako ya kuomba hela ni nzuri, bhas wewe omba hela tu hata kama ni tsh. Million 1 (kulingana na uwezo wa boyfriend wako) na boyfriend wako kama anajielewa atakuwa more than happy kukusaidia amu Binti1 Saint Anne Jael
unani Interview tena?!
tafuta hela.
Nimeona.amu ameshanisaidia kujibu
Halafu "Mimi ni memba mkongwe ila nimeamua kutumia Id mpya,kwa sababu ya usalama"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Au anaanza , "Mimi nilishasema....(kisha anapesti zake)"
Sawa.unani Interview tena?!
tafuta hela.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Twende Whatsap [emoji1787][emoji1787][emoji1787]unitumie picha.
Mbona picha zetu wanasambaziana [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Ila jf hii bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna yule mwingine anajifanya amekuelewa hivyo anataka akupe milioni2 ili mspend usiku mmoja hoteli kubwa yoyote utakayochagua. Uandishi tu unasema nyokolo zako na robo ukute hapo unatumia free basics.
Yaani toka mchana tunae hapa.Watu nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Bado yupo "lokudauni"๐๐๐๐๐Huyo parabora eti
Ahahah hivi yupo?
Muacheni "muingeleza" wa Marangu bwana, aliamua kuziishi ndoto zake. Cha kuandika akose hata cha kupaste kweli!!!Si bora angetupa hizo links tukasome wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]