Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Wanakuwa na adabu.Ukiwa na pesa hata nzi hatui kwenye nguo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuwa na adabu.Ukiwa na pesa hata nzi hatui kwenye nguo
Na mie nasubiri. Msininyime 😔[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nami naisubiri jamani[emoji85][emoji85][emoji85]
Angalau siyo mbishi utazishika soonSawa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1477698
And Money
Tuko pamoja.Angalau siyo mbishi utazishika soon
Akhi nimecheka hahahhahahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Niliulizwa bajeti yangu ya matumizi ya wiki niwe natumiwa.
Kumbe anakaa kwa kaka.
Gari anaendesha la kaka.
Ni kanajanafunzi pia.
Huko ni usiku? Hapa saa 9 alasiri.😂😂😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usalama my a$$$!!Halafu "Mimi ni memba mkongwe ila nimeamua kutumia Id mpya,kwa sababu ya usalama"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na kwako pia
Ila mimi pia naamini mwanamke anahitaji pesa...kama mwanamke hataki pesa tambua huo ni mtego huko baadae atataka uwe na pesa.Uzuri maisha yapo systematically
Unaweza kufanya upate hao wanaojali pesa tu au uwe unapata wanahitaji mapenzi zaidi kuliko pesa zako.
Ukijua jinsi ya kuset hizo system hata huteseki..
Kitandani wewe hupapasi nywele? Hupapasi tako? Au unataka nywele itengenezwe vizuriii wewe uje utibue kama bata bwaawani halafu uondoke bila service.Achilia mbali ile dhati ya kuomba, hivi ulivyo vitaja vina natija gani kwako ?
Sawa.Kitandani wewe hupapasi nywele? Hupapasi tako? Au unatala nywele itengenezwe vizuriiio wewe uje utibue kama bata bwaawani halafu uondoke bila service.
Baba hata basikeli tu inahitaji service woooi.
Ahsante sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unani Interview tena?!
tafuta hela.
Hapo unakuta ni yule jamaa wa mke wangu ni mjamzito😂😂😂😂.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usalama my a$$$!!
hahahhaaa unajikuta umetongozwa na I'd tatu unazikubalia kumbe ni Mtu mmoja!Hapo unakuta ni yule jamaa wa mke wangu ni mjamzito😂😂😂😂.
Jf ni kichaka.
Mkuuu uko na sisi au uko wapi.Ila mimi pia naamini mwanamke anahitaji pesa...kama mwanamke hataki pesa tambua huo ni mtego huko baadae atataka uwe na pesa.
Ila acha tu wanawake wapende pesa maana kama mimi nikiwa sina hela au pesa ikipungua kwa akaunti naanza kuugua coz najua matatizo mtu anapitia asipokuwa na hela.
Wapo wengi sana hata mjini Dsm wapo ila sio yule mdada kwao ndo wanamtegemea au kwao hawasaidiani, rich girl look for love not money
Mie shawahi kutukanwa humu na mmoja akaniambia anapesa za kuweza kunilisha na ukoo wangu mzima. Eeeh bwana we siku namkuta kwa uzi wa Ontario anaomba ampe hata kazi ya ulinzi maana amechoka kugombania remote na wadogo zake nyumbani. Haki nilicheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Niliulizwa bajeti yangu ya matumizi ya wiki niwe natumiwa.
Kumbe anakaa kwa kaka.
Gari anaendesha la kaka.
Ni kanajanafunzi pia.