Aaaah!! Anawadhalilisha wachaga bwana. Sio kwa uzembe huo[emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti kajilaza sebuleni kwa shemeji. Mimi napasuka tuu kwa vicheko.
hata ya uber tu hana...Weee angalia hata waotoa matusi humu ni wanaume wa hovyo hovyo tu.
Kwao wao kutukana na kukashifu ni sifa.
Nimecheka eti weeee ni mstaarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe na yule mswiz B anatembea mule mule.? Kweli papuchi ni tamu.
Kalikuja PM kaliponichosha ni kalivyosema "
It seems wewe ni mstaarabu, kila nikibahatika kuona andiko lako linakuwa na hisia za kupole sana." Nikacheka hihihiiiiiii nipeshe huko usinipe sifa zisizo zangu.
Siku ameumbuliwa nikachaaaaaaaamba.
Hata kama siyo kwenye mapenziAchana na maisha ya movie.
Hii ni kutoka kitaaa hela ndo mpango mzima.
Au anaanza , "Mimi nilishasema....(kisha anapesti zake)"😅 Eti jael alafu anapaste
Twende Whatsap [emoji1787][emoji1787][emoji1787]unitumie picha.kuna dude tungeweza kutumiana picha unaweza kuta ishapitia karibia kila mwanajf wa Kike ......
Tena anafowadi tu mesejiHumu ndani kuna vituko sana.
Mie huwa nashukuru nasemaga ukitongozwa na mwanaume jua katongoza wadada 20 anafanya randomly selection.
Sasa kuwa nae uamue tu kuziba masikio na kufumba macho.
Ila jf hii bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzigua90 uko wapi shoga.
Sasa kuna yule mswiss wa pili alijifanya yeye anapoga picja na via za Uswiss kabisa anamuambia Parabola nayeye apige picha kama yeye atupie.
Naye mule mule tu nacheka hiiiii
Hataki taabu, kwanza maisha sio magumu hivyo msimchoshe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] Eti jael alafu anapaste
Haki jf home of wonders[emoji1787]Humu ndani kuna vituko sana.
Mie huwa nashukuru nasemaga ukitongozwa na mwanaume jua katongoza wadada 20 anafanya randomly selection.
Sasa kuwa nae uamue tu kuziba masikio na kufumba macho.
HahahahaIla kweli maana siku wakizima freebasic napotea jf kabisa[emoji15][emoji15][emoji15]
hahahhaaa amu njooo ucheke hapa shoga make mieIla jf hii bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna yule mwingine anajifanya amekuelewa hivyo anataka akupe milioni2 ili mspend usiku mmoja hoteli kubwa yoyote utakayochagua. Uandishi tu unasema nyokolo zako na robo ukute hapo unatumia free basics.
Si bora angetupa hizo links tukasome wenyewe😂😂😂Halafu kizungu chenyewe cha kupaste, hii ndio mbaya zaidi[emoji134]
Ukiwa na pesa hata nzi hatui kwenye nguoHata kama siyo kwenye mapenzi
pesa inakupa heshima mpaka kwa wanyama
Akishamblock uzi unashushwa jf, watakuja walamba vumbi wenzie watokwe povu weeeee kisha wakalale kwenye stoo zao.akianza tu kuandika mahitaji ya nywele,
shampoo,leave in conditioner,jelly,Moisturizer
kabla hajafikia vya usoni unamblock kwanza!
kwa nini asitafute ya kwake!!
Hapa unajua hata msitulaumu wanawake. Siku hizi mapenzi ya kweli hakuna wanawake wameshajua wanaume wengi siku hizi siyo waoaji wanapiga na kusepa kwahiyo nao wanahakikisha unapopiga na kusepa lazima ugharamikie.
Kumbuka mnapochezeana baadaye jamii itakuja mnyooshea kidole mwanamke kuwa yeye ndiye malaya na hafai kuolewa ila mwanaume aahh ataoa fresh tu kwahiyo kwa upande huo mwanamke anakuwa kapoteza. Sasa na yeye atajipoza wapi kama siyo kwenye pesa hiyo inaitwa "nipotezee muda nikupotezee pesa".
Huu mchezo bwana hauhitaji hasira
Tit for tat is a fair game
unaijua bwana...Twende Whatsap [emoji1787][emoji1787][emoji1787]unitumie picha.
Mbona picha zetu wanasambaziana [emoji23]
Hahhaaaa maanina wallah nacheka hapa kama falaAkishamblock uzi unashushwa jf, watakuja walamba vumbi wenzie watokwe povu weeeee kisha wakalale kwenye stoo zao.
Hiyo ni girls and boys