Wahuni watakwambia ni nature tu...kupenda vipande vipande!!!Nakuambia hii ya kudate na mwanaume hakupi pesa kwa wanaume wa kibongo haifai kabisa tuachie wazungu hata wao pia wanahonga sanaa tu,
Mtu hunioi,unakuta una mademu kibao
Yaan niwe na shida nikate kimya tu na Nina mpenzi ananikunjaga kama Tairi
Nyie wapenzi wenu wana shida sanaaa na mnakuwaga ni wachoyo tu na roho mbayaa
Mi wangu ananipa asiponipa hajisikii vizuri kabisa kama hana najua hana natumia zangu
Afu mlivyo na dharau sasa bora hata mngekuwa honest tungeelewa,wengi wenu bla bla tu ,uongo mwingi,umalaya sasa kila mtaa mna mademu
Weee niwache
Kumbe unajua Kama sex haimfanyi mtu kuolewa?Nimefatilia majibu yako mrembo" ila apo sasa unachoma!!!! Sasa mambo ya ndoa ni badae mama lazima nichome nione yaliyomo yamo..... Apo kwenye kutoa mahari ni ushawishi wako mrembo kwa men!!! Shoo muhimu bana then nitakuoa kwa tabia zako nyingine out of sex cuz sex haimfanyi mwanamme kuoa mam
Hamna nimechachua tu...Usiogope!Mbona unaanza kuattack tena
Umepanick au Bora tu muombwe pesa aisee unaona mlivyo na dharau
Nitonga na budget!Kumbe una matatizo mazito[emoji134][emoji134]
Mbona unakazia sana mama!Unajua nini wanapenda hako kamsemo “mwanamke asoomba pesa ndio mzuri Ana tabia nzuri”ili wajilie bure ,huo ni uchoyoo tu na ubahilii na kuiona pesa kama roho
Na hawataki majukumu hawa wa hivi wakikuoa ndani atataka mchangie bill na usisaidie kwenu
Kama Adam na Hawa waliwezana bila noti sie tutashindwaje!? Na hilo ndio neno la bwana.Ndio anapenda pesa sasa utawezanaa?
Kuwaacha ni ngumu, tutawezana tu! Tena we ndio mzuri sema hawa wanakufundisha tabia mbaya.Hahaha ndio mtuache
Na muache uchoyo na ubahili
Ila muda huo usiniambie habari za sex..
Nitakuambia hiyo hela unayotaka kunipa ikusanye ukapeleke mahari nyumbani uje kunichukua.
Bajeti ni pamoja na hayo jamani, hakikisha unamuweka kwenye bajeti.Nitonga na budget!
Hahahaha, aseeHahaha ndio mtuache
Na muache uchoyo na ubahili
Utakapojitegemea ndiyo utaelewa maana ya 'kudanga', hujakua badoNajisikia kawaida tu maana jukumu la kunitunza ni la wazazi wangu..
Wananitunza vizuri sijawahi kosa chochote.
Ndiye chaguo lakoHapo sasa tunarudi kule kule kwenye kuuziana mbuzi kwenye gunia.
Maana mtu anaweza kuwa na nia ya kukuoa na akavumilia kwa kipindi chote cha urafiki wenu mpaka atakapokuoa,shida inakuja ameshakuoa ndo anakutana na pango la amboni.
Huwa inaumiza sana.
SawaUtakapojitegemea ndiyo utaelewa maana ya 'kudanga', hujakua bado
Hahahaha ,huu Uzi una vitu adimuUtakapojitegemea ndiyo utaelewa maana ya 'kudanga', hujakua bado
Yaani halafu wanavyoongeaga sasa utafikiri ni ya maana kumbe ujinga tuMatumizi yake sasa ya hiyo chura utachoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bajeti ni pamoja na hayo jamani, hakikisha unamuweka kwenye bajeti.
SafiNdiye chaguo lako
Ulipikuwa unaonja wa wenzio na wewe walikuwa wanampangua wako.
Ulikuwa unahangaika kujadiliana naye huyu?Yaani halafu wanavyoongeaga sasa utafikiri ni ya maana kumbe ujinga tu
NakaziaLabda mzungu lakini sio hawa wa Tz.
Aisee ... Wanawake wenye hii desturi mmeadimika sana mnaanza kupotea kama wanyama aina ya faruBinafsi yangu siwezi kuomba hela kwa mwanaume/mpenzi hata niwe na shida vipi.
Mwanaume anayetegemea nitamuomba hela,atasubiri Sana..
Labda anipe tu mwenyewe.