[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimuonee aibu mwanaume ambae ananibinjua? Nina shida na yeye yupo? Hata hela ya kula kuku kama sina namuambia vizuri tu.
Huwa wanaitumiaje ??Matumizi yake sasa ya hiyo chura utachoka
Energy drink si mia tano............ 😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mnavyojua kukunja jaman unatoka miguu haina nguvu inatetemeka kweli halaf hata kesho yake huna pesa ya kula kuku na energy drink ili kuupa mwili nguvu eti hata wewe utaweza kweli
Kweli kuna wanaume wana sehemu zao maalumu kabisa mbiguni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kuandika sehemu humu.. kutoa hela Mwanaume ni kipaji kama kipaji kingine aisee...
Kuna Wanaume hawaombwi eti.. yaani ni yule anajua Baby anataka nini? Ukizungumzia unataka kwenda Saloon atakuuliza atakuuliza unahitaji Shilingi ngapi? Imagine????.. Ni wale Wanaume wanasimama kwenye nafasi zao..
Unakuta Mwanaume anauwezo/ anakila kitu ila hata mia yake huipati.. Mnaweza kwenda sehemu mnaspend hata Million.. ila siyo mtoaji.. Mwingine Maisha yake ni ya kawaida sana.. ila atakupa kila utakachohitaji bila hata kumuomba..
Binafsi nami ni mzito sana kumuomba Mwanaume hela aisee.. Napenda wale Wanaume Wasiosubiri kuombwa..
Usijali tutakutana hukohuko.Napitia koments tu nikishamaliza niende kanisani kutafuta asiyependa dosh.
Kuna wanaume kuwaomba hela ni dhambi sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kuandika sehemu humu.. kutoa hela Mwanaume ni kipaji kama kipaji kingine aisee...
Kuna Wanaume hawaombwi eti.. yaani ni yule anajua Baby anataka nini? Ukizungumzia unataka kwenda Saloon atakuuliza atakuuliza unahitaji Shilingi ngapi? Imagine????.. Ni wale Wanaume wanasimama kwenye nafasi zao..
Unakuta Mwanaume anauwezo/ anakila kitu ila hata mia yake huipati.. Mnaweza kwenda sehemu mnaspend hata Million.. ila siyo mtoaji.. Mwingine Maisha yake ni ya kawaida sana.. ila atakupa kila utakachohitaji bila hata kumuomba..
Binafsi nami ni mzito sana kumuomba Mwanaume hela aisee.. Napenda wale Wanaume Wasiosubiri kuombwa..
Tena dhambi kubwa sana..[emoji28]Kuna wanaume kuwaomba hela ni dhambi sana.
Haifa
Style zaAliyekuambia sisi hatuendi kanisani nani?
Kuna makanisa na mabanda ya ibada,mtakuwa mnaenda kwenye mabanda ya ibada, afu nimependa style yako ya nywele.Aliyekuambia sisi hatuendi kanisani nani?
Karibu.Usijali tutakutana hukohuko.
Energy drink si mia tano............ 😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎
Ila wengi wao watakuona sumu, hawataki kusikia unawapa ushauri wa kuwa na financial freedomJael, Atu, Zoe na wenzako niwape rai moja kwamba, ukipenda kuomba pesa kuwa na tabia ya kuitafuta hiyo pesa, usipenda kupenda pesa huku unategemea pesa ya kutoka mfukoni mwa mwanaume wako. Wanawake wengi mnanyanyasika kwa sababu wengi wenu hamna FINANCIAL FREEDOM.
Kweli kabisa [emoji847][emoji114][emoji120]Inakuwaje gavana wa Dar, Bashite anawafukuza wale watoto wa kigogo kama ombaomba pale cbe na posta anawaacha hawa ombaomba wa kimapenzi, hili kundi la ombaomba la kimapenzi limekuwa kubwa na kero sana kwa sasa. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji13] [emoji13] [emoji13], Yesu watu watu watanishambulia kama nn.
mmh mmh mmh mmhNajisikia kawaida tu maana jukumu la kunitunza ni la wazazi wangu..
Wananitunza vizuri sijawahi kosa chochote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umemaliza kila kitu[emoji122][emoji122][emoji122]
Uzi ufungwe
Kabisa aseeWafate process sio kutufanya bwawa for nothing
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani una matatizo makubwa Chris
1. Hutoi pesa
2. Vingereza
3. Nk.
Sasa hapo ndio umemaanisha utalipia au mimi ndio nitalipia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba ni wachoyo.... Ingekuwa now mungu anauliza kama mbavu zao zichomolewe ili tuumbwe sisi ama lah, hawa viumbe wangekataa kabisa Kutoa mbavu zao za kushotoKweli kuna wanaume wana sehemu zao maalumu kabisa mbiguni.
Ila hawa wengine ni kuni kabisa, uchoyo tu umewaganda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba ni wachoyo.... Ingekuwa now mungu anauliza kama mbavu zao zichomolewe ili tuumbwe sisi ama lah, hawa viumbe wangekataa kabisa Kutoa mbavu zao za kushoto
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hadi kitu kidogo kama hiki unakopy?
Haubadilishi hata maandishi makubwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jmn jmn me nakufa kucheka hukuHivi unajua kuna app ukicopy na kupest tuu inaonekana?