Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungekuwa mwanaume wala usingeniuliza hili swali.
Siwezi kujisimamia kwani najinyea mkuu?
Najisimamia na kusimamia nafasi yangu, hivyonlazima na mwanaume asimame kwenye nafasi yake.
Kwanini hawakuumbwa wanaume tupu hapa duniani?
Mimi Naamini yupo ambaye si msaliti..kama atanisaliti ataenda kujibu mbele za Mungu.Bora useme.
Namuambia St Ann bora ulie na maumivu ya usaliti tu kulilo maumivu double double.
Nina swali kwako wewe mpenda pesa, Should a man stay in a relationship with a broke woman???Hata mimi "6ki" mwanume asiejua kuwa yeye ni mwanaume, yaani "6ki" kabisaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa unajua hata msitulaumu wanawake. Siku hizi mapenzi ya kweli hakuna wanawake wameshajua wanaume wengi siku hizi siyo waoaji wanapiga na kusepa kwahiyo nao wanahakikisha unapopiga na kusepa lazima ugharamikie.
Kumbuka mnapochezeana baadaye jamii itakuja mnyooshea kidole mwanamke kuwa yeye ndiye malaya na hafai kuolewa ila mwanaume aahh ataoa fresh tu kwahiyo kwa upande huo mwanamke anakuwa kapoteza. Sasa na yeye atajipoza wapi kama siyo kwenye pesa hiyo inaitwa "nipotezee muda nikupotezee pesa".
Huu mchezo bwana hauhitaji hasira
Tit for tat is a fair game
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo no money no baby babyHaya ndio mambo sasa, mambo kama haya yanafanya mahusiano yanakuwa na uhai kila siku. Yale ya baby baby zile msg zinakuwa hazina tofauti na zile za waganga au PESA NI MPESA
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa, nae anajisikia angalau yuko kwenye mahusiano anayothaminiwa. Sasa kama humuombi huoni kama unamdumaza!!!
Anaenda kujibu wapi? Wakati tumekatazwa tusizini? Kesi ya mapenzi tunamalizaga hapa hapa duniani.Mimi Naamini yupo ambaye si msaliti..kama atanisaliti ataenda kujibu mbele za Mungu.
Embu Ngoja nikalaleTen hachangii.
Atakuja kila jioni na ndizi mbili za kulia ubwabwa [emoji23][emoji23][emoji23] na rimoti atashika kubadilisha channel [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]Mwanaume asiyekupa hela na wewe humuombi amini kuna sehemu anapeleka.
Wanaume wanaona fahari sana tukitumia hela zao.
Hata hawaumii huwa wanaona fahari sana nyie tu hamjui.
[emoji3]
Dating yangu si ya kuziniAnaenda kujibu wapi? Wakati tumekatazwa tusizini? Kesi ya mapenzi tunamalizaga hapa hapa duniani.
"6ki" ndo nini jamani mnaniacha njia panda.Hata mimi "6ki" mwanume asiejua kuwa yeye ni mwanaume, yaani "6ki" kabisaaaaa.
Utaolewa kirahisi sana wewe, wanaume hawapendi kuombwa helaBinafsi yangu siwezi kuomba hela kwa mwanaume/mpenzi hata niwe na shida vipi.
Mwanaume anayetegemea nitamuomba hela,atasubiri Sana..
Labda anipe tu mwenyewe.
Usiku mwema na mimi nalala mda umeenda sanaEmbu Ngoja nikalale
Nimecheka Hadi mbavu zinaniuma[emoji23][emoji23][emoji119]
Apo kwenye kuninginizaKuna sehemu nimekosea?
Hata mwanamke anaweza kukaa na broke man.Nina swali kwako wewe mpenda pesa, Should a man stay in a relationship with a broke woman???
HahaKumbe wenye akili timamu mpo eeeh!! Haya ndio mambo sasa.
Ulale salama mkuu [emoji120]Usiku mwema na mimi nalala mda umeenda sana
[emoji122][emoji122][emoji122]Hata mwanamke anaweza kukaa na broke man.
Provided mwanaume anajitambua na anatafuta.
Akiwa na ana buku inaonekana, akiwa na 20,000 inaonekana.
Huyu hata akiwa na dollar 20,000 pia itaonekana.
Ukimkuta mwanamke wako ni broke ni jukumu lako kama mwanaume kumuwezesha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaume wa aina hiyo ndiyo wale wanaojibiwa "kale ulikopeleka mboga"Ten hachangii.
Atakuja kila jioni na ndizi mbili za kulia ubwabwa [emoji23][emoji23][emoji23] na rimoti atashika kubadilisha channel [emoji1787][emoji1787][emoji1787]