Canada: Binti (Mkenya) afa Maji akiogelea huku akijirekodi LIVE kupitia Facebook

Canada: Binti (Mkenya) afa Maji akiogelea huku akijirekodi LIVE kupitia Facebook

Hizi sifa za mitandaoni sometimes zinatuponza sana basi tu hatujui.
Mungu ailaze mahali pema roho yake.
Yawezekana alipata tatizo la kiafya ghafla halafu tunamhukumu.
Dah!pole kwa familia yake.
 
Kuna kitu kingine mtani, hivi unaweza kukubali kwa mdada ametoka majuu huko ashindwe kuogelea kwenye hayo maji?
Zamani nilikuwa najua ya kuwa kila Mzungu anajua kila kitu, nilivyokuja kufanya nao kazi nikakuta wao kama sisi tu wapo wanao jua na wadio jua.

Tukirudi kwenye nukta ya msingi kuhusu kufa, kifo ni muda tu bibie ndiyo maana kuna watu hufa kwa sababu ambazo ukiziangalia si za kumfanya mtu afe, lakini mtu anakufa. Huyo muda wake ulifika na kilichotokea ni sababu tu. Kusema kuna kitu kingine mpaka uwe na ushahidi juu ya kitu hicho.
 
Mbona maji yenye mafupi tupo mbali kule anasimamia maji yanamfika kiunoni ni swala la siku kutimia au atakuwa alipata heart attack akakosa msaada wa haraka kwanza kwende maeneo kama hayo pekee yako ni ishara kuwa alikuwa ametingwa na msongo wa mawazo. RiP sister.
 
Huyo alikuwa hajui kuogelea ,alikuwa anaingiza kichwa kwenye maji na anaenda kusimama mahali penye kina kidogo ndo anavuta pumuzi, sasa alipitiliza na kwenda upande wenye kina kirefu na alipo jaribu kusimama kina kikamzidi , na alikuwa anategemea avute pumzi tena ,ila ndo hivyo akawa hawezi kusimama tenakutokana na kina,hapo ndo shida ikaanzia

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
My utmost condolences to her family. She's gone too soon
 
maishani mwangu sijawahi kuweka urafiki na maji ya kuogelea.
Nikienda baharini uwa naogolea maji Yale ya karibu Kama mtoto.
Bora nionekane mshamba kuliko kujitia ujuaji nikaenda kufa.maji Yana tabia ya kukuvuta.na kukuweka Kati chini haufiki juu haufiki hapo ndo utajua unajua
Nimecheka kama mazuri.

Yaani kwa kweli bora kuonekana mshamba
 
Itakua alienda kwenye kina kirefu..wengine tusiojua kuogelea kwenye maswimming pool hua tunauliza "ebana eeh wapi kuna kina kirefu" ukiambiwa kuanzia pale hakuna kusogea mitaa hio kabisa..
Lol. Bora kuonekana mshamba.

Maji yakifika sehemu ya kifua tu kama hujui kuogelea yanakuwa maziittooo. Na ukipanic kdg tu laziim yakuvute.
 
maishani mwangu sijawahi kuweka urafiki na maji ya kuogelea.
Nikienda baharini uwa naogolea maji Yale ya karibu Kama mtoto.
Bora nionekane mshamba kuliko kujitia ujuaji nikaenda kufa.maji Yana tabia ya kukuvuta.na kukuweka Kati chini haufiki juu haufiki hapo ndo utajua unajua
Mimi hata hayo ya karibu sijawahi na wala sina mpango wa kujaribu
Sichezi na maji kabisa .

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Nimecheka kama mazuri.

Yaani kwa kweli bora kuonekana mshamba
Maji nayajua.miaka Kama 15 nyuma pale kawe beach yalitaka kunipeleka kuzimu .mpaka leo nayaheshimu.tulienda wakati maji yametoka tukayafuata kumbe maji Yana kawaida ya kurudi na kujaa nyuma Sasa kimbembe wakati wa kurudi.kila nikikanyaga chini sifiki.juu sifiki.nikaona hapa nikipaniki nakufa nikaamua nishuke chini nitembee kwa miguu
 
Back
Top Bottom