Canada: Binti (Mkenya) afa Maji akiogelea huku akijirekodi LIVE kupitia Facebook

Canada: Binti (Mkenya) afa Maji akiogelea huku akijirekodi LIVE kupitia Facebook

Hata ujue kuogelea vipi.
Ni hatari kuogelea ukiwa peke yako.

Unaweza shikwa na msuli, au stroke au pressure au body failure yoyote wakati upo kwenye maji hata ya kina kidogo na ukaaga dunia.

Ujumbe Ogelea na Wenzako.
Hii warning wangekuwa wanaiweka kwenye swimming pools zote ingesaidia kama si kuokoa au kupunguza vifo kabisa...
 
Maji nayajua.miaka Kama 15 nyuma pale kawe beach yalitaka kunipeleka kuzimu .mpaka leo nayaheshimu.tulienda wakati maji yametoka tukayafuata kumbe maji Yana kawaida ya kurudi na kujaa nyuma Sasa kimbembe wakati wa kurudi.kila nikikanyaga chini sifiki.juu sifiki.nikaona hapa nikipaniki nakufa nikaamua nishuke chini nitembee kwa miguu

Poleni kwa msiba.

Umenikumbusha miaka ya mwanzo ya 80 ilishanitokea hivyo Sea View Dar.

Ni muhimu kutoogelea peke yako, hususan kama huna ufundi mkubwa wa kuogelea.

Na sehemu za kuogelea watu wengi zingetakiwa kuwa na lifeguards karibu.
 
Wakati mwingine ulimbukeni tu wa maisha na hali zetu duni, nimeona hiyo video yenye dakika 25 hivi. Maskini akipata anapata wazimu kichwani. Kwa nn kama hajui kuogelea aogelee mwenyewe ?? Yote kwa kwa yote pole wafiwa.
Too sad yote hii ni kufanya wanaomuangalia virtually waone anavyoenjoy. Too sad maelfu ya marafiki Facebook no one could save her. Too sad.
 
Back
Top Bottom