Canada: Binti (Mkenya) afa Maji akiogelea huku akijirekodi LIVE kupitia Facebook

Canada: Binti (Mkenya) afa Maji akiogelea huku akijirekodi LIVE kupitia Facebook

Maji nayajua.miaka Kama 15 nyuma pale kawe beach yalitaka kunipeleka kuzimu .mpaka leo nayaheshimu.tulienda wakati maji yametoka tukayafuata kumbe maji Yana kawaida ya kurudi na kujaa nyuma Sasa kimbembe wakati wa kurudi.kila nikikanyaga chini sifiki.juu sifiki.nikaona hapa nikipaniki nakufa nikaamua nishuke chini nitembee kwa miguu
[emoji1787]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
huyu tatizo lilikuwa ni jingine sio maji.

kwa dakika zaidi ya 10 anaonekana kuyamudu vyema,hata kuigolea anajua,hasa kwa kuangalia namna alivyokuwa anarejea kuisogolea simu.

kama sijakosea alipata shambulio na moyo.
 
Victim's Lack of swimming skills , the absence of life guards at the pool and lack of pool supervision are the contribution factors to Helen's death. Too sad indeed


Hicho kifo hakihusiani na "mambo yetu yale" kweli?

Ingawa video haioneshi vizuri, hiyo object nyekundu huko nyuma pembezoni mwa kibanda ni nini, maana kimetamba sana, kikienda mara upande huu mara upande ule!

Ujuzi wa kuogelea hauhitajiki kwenye maji kiwango kile ambacho mtu anaweza kusimama na kutembea bila ya kuzama.

Kwa muktadha wa video hiyo, marehemu alikuwa anaoga, sijamuona kuogelea hapo.
 
Zamani nilikuwa najua ya kuwa kila Mzungu unajua kila kitu, nilivyokuja kufanya nao kazi nikakuta wao kama sisi tu wapo wanao jua na wadio jua.

Tukirudi kwenye nukta ya msingi kuhusu kufa, kifo ni muda tu bibie ndiyo maana kuna watu hufa kwa sababu ambazo ukiziangalia si za kumfanya mtu afe, lakini mtu anakufa. Huyo muda wake ulifika na kilichotokea ni sababu tu. Kusema kuna kitu kingine mpaka uwe na ushahi juu ya kitu hicho.
Umeongea point sana.

Ukiangalia kwa macho ya nyama, hakuna sababu inayoweza kuua mtu pale.

Kama ni maji, yalikuwa hayana ujazo wa kummeza!
 
Hicho kifo hakihusiani na "mambo yetu yale" kweli?

Ingawa video haioneshi vizuri, hiyo object nyekundu huko nyuma pembezoni mwa kibanda ni nini, maana kimetamba sana, kikienda mara upande huu mara upande ule!

Ujuzi wa kuogelea hauhitajiki kwenye maji kiwango kile ambacho mtu anaweza kusimama na kutembea bila ya kuzama.

Kwa muktadha wa video hiyo, marehemu alikuwa anaoga, sijamuona kuogelea hapo.
The swimming pool has a story to tell
 
Hivi ss hapo amezameje wakati alikuwa ameyamudu maji?au alisogea sehemu yenye kina zaidi?
 
Maji nayajua.miaka Kama 15 nyuma pale kawe beach yalitaka kunipeleka kuzimu .mpaka leo nayaheshimu.tulienda wakati maji yametoka tukayafuata kumbe maji Yana kawaida ya kurudi na kujaa nyuma Sasa kimbembe wakati wa kurudi.kila nikikanyaga chini sifiki.juu sifiki.nikaona hapa nikipaniki nakufa nikaamua nishuke chini nitembee kwa miguu
Hii ilinikuta gymkhana nadhani ile ndio ilikuwa siku ya mwisho kuingia baharini kuogelea
 
Maji nayajua.miaka Kama 15 nyuma pale kawe beach yalitaka kunipeleka kuzimu .mpaka leo nayaheshimu.tulienda wakati maji yametoka tukayafuata kumbe maji Yana kawaida ya kurudi na kujaa nyuma Sasa kimbembe wakati wa kurudi.kila nikikanyaga chini sifiki.juu sifiki.nikaona hapa nikipaniki nakufa nikaamua nishuke chini nitembee kwa miguu
Da ulitumia akili hata mimi nimeshangaa huyo demu kushindwa kutumia hiyo akili kujirudisha alipo kuwa.
 
Hivi ss hapo amezameje wakati alikuwa ameyamudu maji?au alisogea sehemu yenye kina zaidi?
SINA PESA ZA KUURUDISHA MWILI WA MWANANGU, NILIKOPA BANK MWANANGU ASOME, NILIJUA NIMEUACHA UMASIKINI.

[emoji24][emoji24] Familia ya muuguzi wa Kenya aliye aga dunia nchini Canada wakati akiogelea katika swimming pool huku akijirekodi live kwenye ukurasa wake wa Facebook, familia yake imesema imeshindwa kuurejesha mwili wa mpendwa wao kwa ajili ya hafla na mazishi.

Ikiongozwa na baba yake Jonh Nyabuto,familia ya Hellen Nyabuto maarufu kama Wendy imezungumzia kuhusu kumpoteza mtoto wao imesema kuwa bado ina ng'ang'ana kukubali kifo cha binti yao.

Kwa mujibu wa baba yake bado wanahangaika kupata pesa za kuurejesha mwili wa mpendwa wao ili aweze kupumnzishwa.

"Nimelia sana tangu nilipopata hii taarifa, rafiki zake wamekuwa wakinipigia simu na kufafanua kilichotokea, ninashindwa jinsi gani nitauleta mwili wake nchini, nimepoteza binti yangu na hakuna kitu ninachoweza kufanya sijui gharama ya kuusafirisha mwili wake kuja nchini uchungu ni mwingi, naomba msaada,
Yeye ndiyo alikuwa mwanga wangu nimemsomesha kwa shida nyingi sana" mzee Nyabuto ameliambia gazeti la the Standard .
Screenshot_20220822-133722.jpg
 
Hata ujue kuogelea vipi.
Ni hatari kuogelea ukiwa peke yako.

Unaweza shikwa na msuli, au stroke au pressure au body failure yoyote wakati upo kwenye maji hata ya kina kidogo na ukaaga dunia.

Ujumbe Ogelea na Wenzako.
 
SINA PESA ZA KUURUDISHA MWILI WA MWANANGU, NILIKOPA BANK MWANANGU ASOME, NILIJUA NIMEUACHA UMASIKINI.

[emoji24][emoji24] Familia ya muuguzi wa Kenya aliye aga dunia nchini Canada wakati akiogelea katika swimming pool huku akijirekodi live kwenye ukurasa wake wa Facebook, familia yake imesema imeshindwa kuurejesha mwili wa mpendwa wao kwa ajili ya hafla na mazishi.

Ikiongozwa na baba yake Jonh Nyabuto,familia ya Hellen Nyabuto maarufu kama Wendy imezungumzia kuhusu kumpoteza mtoto wao imesema kuwa bado ina ng'ang'ana kukubali kifo cha binti yao.

Kwa mujibu wa baba yake bado wanahangaika kupata pesa za kuurejesha mwili wa mpendwa wao ili aweze kupumnzishwa.

"Nimelia sana tangu nilipopata hii taarifa, rafiki zake wamekuwa wakinipigia simu na kufafanua kilichotokea, ninashindwa jinsi gani nitauleta mwili wake nchini, nimepoteza binti yangu na hakuna kitu ninachoweza kufanya sijui gharama ya kuusafirisha mwili wake kuja nchini uchungu ni mwingi, naomba msaada,
Yeye ndiyo alikuwa mwanga wangu nimemsomesha kwa shida nyingi sana" mzee Nyabuto ameliambia gazeti la the Standard .View attachment 2331269
Maskini[emoji3064]
Mungu awatie nguvu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom