Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787]Maji nayajua.miaka Kama 15 nyuma pale kawe beach yalitaka kunipeleka kuzimu .mpaka leo nayaheshimu.tulienda wakati maji yametoka tukayafuata kumbe maji Yana kawaida ya kurudi na kujaa nyuma Sasa kimbembe wakati wa kurudi.kila nikikanyaga chini sifiki.juu sifiki.nikaona hapa nikipaniki nakufa nikaamua nishuke chini nitembee kwa miguu
Mimi hata mguu wangu Kwa hiyo pool siingizi[emoji1787]Huyo kuogelea alikuwa anajua ila kwa kiasi kidogo, ama tu bahati mbaya maji yalimzidii…
Tusiojua kuogelea uwa tunajikalisha hapo kwa ngazi na vimiguu ndio tunadumbukiza kwa pool…
Hicho kifo hakihusiani na "mambo yetu yale" kweli?Victim's Lack of swimming skills , the absence of life guards at the pool and lack of pool supervision are the contribution factors to Helen's death. Too sad indeed
Umeongea point sana.Zamani nilikuwa najua ya kuwa kila Mzungu unajua kila kitu, nilivyokuja kufanya nao kazi nikakuta wao kama sisi tu wapo wanao jua na wadio jua.
Tukirudi kwenye nukta ya msingi kuhusu kufa, kifo ni muda tu bibie ndiyo maana kuna watu hufa kwa sababu ambazo ukiziangalia si za kumfanya mtu afe, lakini mtu anakufa. Huyo muda wake ulifika na kilichotokea ni sababu tu. Kusema kuna kitu kingine mpaka uwe na ushahi juu ya kitu hicho.
The swimming pool has a story to tellHicho kifo hakihusiani na "mambo yetu yale" kweli?
Ingawa video haioneshi vizuri, hiyo object nyekundu huko nyuma pembezoni mwa kibanda ni nini, maana kimetamba sana, kikienda mara upande huu mara upande ule!
Ujuzi wa kuogelea hauhitajiki kwenye maji kiwango kile ambacho mtu anaweza kusimama na kutembea bila ya kuzama.
Kwa muktadha wa video hiyo, marehemu alikuwa anaoga, sijamuona kuogelea hapo.
Umeona eeh. Ya kuoga yanatoshaMimi hata hayo ya karibu sijawahi na wala sina mpango wa kujaribu
Sichezi na maji kabisa .
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kabisa😂Umeona eeh. Ya kuoga yanatosha
Hii ilinikuta gymkhana nadhani ile ndio ilikuwa siku ya mwisho kuingia baharini kuogeleaMaji nayajua.miaka Kama 15 nyuma pale kawe beach yalitaka kunipeleka kuzimu .mpaka leo nayaheshimu.tulienda wakati maji yametoka tukayafuata kumbe maji Yana kawaida ya kurudi na kujaa nyuma Sasa kimbembe wakati wa kurudi.kila nikikanyaga chini sifiki.juu sifiki.nikaona hapa nikipaniki nakufa nikaamua nishuke chini nitembee kwa miguu
Uwiii hii video imenipa bad feelings Oops the endings haijakua nzuriii kwa kweli[emoji25][emoji25]
Da ulitumia akili hata mimi nimeshangaa huyo demu kushindwa kutumia hiyo akili kujirudisha alipo kuwa.Maji nayajua.miaka Kama 15 nyuma pale kawe beach yalitaka kunipeleka kuzimu .mpaka leo nayaheshimu.tulienda wakati maji yametoka tukayafuata kumbe maji Yana kawaida ya kurudi na kujaa nyuma Sasa kimbembe wakati wa kurudi.kila nikikanyaga chini sifiki.juu sifiki.nikaona hapa nikipaniki nakufa nikaamua nishuke chini nitembee kwa miguu
SINA PESA ZA KUURUDISHA MWILI WA MWANANGU, NILIKOPA BANK MWANANGU ASOME, NILIJUA NIMEUACHA UMASIKINI.Hivi ss hapo amezameje wakati alikuwa ameyamudu maji?au alisogea sehemu yenye kina zaidi?
Hiyo akili angeitoa wapi wakati alishapanicDa ulitumia akili hata mimi nimeshangaa huyo demu kushindwa kutumia hiyo akili kujirudisha alipo kuwa.
Maskini[emoji3064]SINA PESA ZA KUURUDISHA MWILI WA MWANANGU, NILIKOPA BANK MWANANGU ASOME, NILIJUA NIMEUACHA UMASIKINI.
[emoji24][emoji24] Familia ya muuguzi wa Kenya aliye aga dunia nchini Canada wakati akiogelea katika swimming pool huku akijirekodi live kwenye ukurasa wake wa Facebook, familia yake imesema imeshindwa kuurejesha mwili wa mpendwa wao kwa ajili ya hafla na mazishi.
Ikiongozwa na baba yake Jonh Nyabuto,familia ya Hellen Nyabuto maarufu kama Wendy imezungumzia kuhusu kumpoteza mtoto wao imesema kuwa bado ina ng'ang'ana kukubali kifo cha binti yao.
Kwa mujibu wa baba yake bado wanahangaika kupata pesa za kuurejesha mwili wa mpendwa wao ili aweze kupumnzishwa.
"Nimelia sana tangu nilipopata hii taarifa, rafiki zake wamekuwa wakinipigia simu na kufafanua kilichotokea, ninashindwa jinsi gani nitauleta mwili wake nchini, nimepoteza binti yangu na hakuna kitu ninachoweza kufanya sijui gharama ya kuusafirisha mwili wake kuja nchini uchungu ni mwingi, naomba msaada,
Yeye ndiyo alikuwa mwanga wangu nimemsomesha kwa shida nyingi sana" mzee Nyabuto ameliambia gazeti la the Standard .View attachment 2331269