Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

Inawezekana wengi hawajui au wanapuuzia na kujitoa ufahamu. Ni kwamba Mungu ana jambo lake na Israel 🇮🇱 . Kila unabii uliotabiriwa kuhusu taifa hilo, ambao bado haujatimia, basi ni LAZIMA uje kutimia, haijalishi itachukua muda gani au watakutana na vikwazo vya namna gani? Hata kama dunia nzima ikiamua kuwatenga, kile ambacho Mungu alisema kuhusu wao kupitia Torati ya Musa na Manabii lazima kitakuja kutimia tu.

NB: Uteule wa taifa la Israel kwa Mungu, haimaniishi kuwa wao ni watakatifu kuliko watu wengine, wala haimaniishi kuwa huwa hawafanyi makosa. Makosa au dhambi zao zisikufanye ukaichukulia poa.
 
Wanaukumbi.

Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.

Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"

Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

==============

8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.

@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”

View attachment 3158681
Wanaidanganya tu dunia,watamkamata kuanzia wapi...
 
Wanaukumbi.

Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.

Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"

Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

==============

8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.

@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”

View attachment 3158681
Hz nchi zinaona sw Kwa alochofanya HAMAS Kwa Israel , Hawa wanachukia kuona Israel anataka maliza vita Mashariki ya kati Kwa kumaliza magaidi , Bora Africa ya kati walivyowatimuq Hawa akina France , ilikuwa seleka wanazurura mtaani pale Bangui na ukiwaulzia wanasema wamekuja kuleta amani ,wakati wavunja aman wanazurura mtaani , soon hayo mataifa yatakubwa na ugaidi huu wanaushabikia
 
Hahaha CANADA hawajui hao ano watetea, Siku atakuja shtuka HAMS wamelipu TORONTO, mtu wa kwanza atakaye mpigia simu ni NETANYAU, kumjuza panya wesha ingia huku.
Huu uongo unakusaidia nini!?
Hamas na Canada wapi na wapi!?
Hamas wao kiu yao ni uhuru wa Palestina,suala la huko Canada linaingiaje?
Mbona toka kipindi Cha kina Anwar Sadat wapalestina walikuwepo Canada na hawakufanya unachodai.
Acheni usambazaji maneno ya chuki.
 
Mliwasifia Hizbullah hivi hivi mkawa mmewaingiza kwenye tabu.
Zamu yao ni mwezi ujao kwa mujibu wa Binyamin Netanyahu!
Hao Hizbollah wameshashindikana.
Israel ilisema lengo lao ni kuwarudisha Hizbollah nyuma ya mto Latan wamefeli.
Pia Israel ilisema lengo la pili ni kuwarudisha raia wa kaskazini makwao,Cha ajabu wanazidi kukimbia Kanda ya kati kabisa.
 
Yaani kikundi cha kigaidi kishambulie Israel halafu Israel ikiadhibu kikundi hicho ndio iwe uhalifu wa kivita kiasi cha kupelekea Netanyahu akamatwe? Netanyahu sio Slobodan Millosevich wala Charles Taylor na kina Kony
Kikundi Cha kigaidi Kwa mujibu wa SHANGAZI yako!?
Yani wakubwa wa mataifa ya dunia wawaite hao freedom fighters wewe ndio uwaite magaidi!?
 
Putin sawa, ila SHETANYAHU alete WW3 kwa kipi? huyo mwizi wa ardhi anajulikana dunia nzima kwa ujambazi.. hata nchi yake mwenyewe kaiibia anasubiriwa atoke huo uwaziri mkuu aende court hapo Tel Avivi
Netanyau anaogopwa zaidi Duniani na ndiyo maana anafanya atakavyo mashariki ya kati 🐒
 
Wanaukumbi.

Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.

Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"

Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

==============

8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.

@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”

View attachment 3158681
sasa netanyahu mwenyewe ameshazeeka na soon ataachia ngazi, pia hana mpango kusafiri huko, na kama wametangaza hivyo ni kwamba wanamtonya asiende, unafikiri atakamatwa? unafikiri ataathirika kwa lolote>? wakati marekani imelaani kitendo cha warrant hiyo.
 
Hivi hata unaelewa nacho ongea? Mpaa uwe na akili ndio utafahamu wenye akili wakiongea. We umesema akikamatwa nyau kutakuwa na vita vya WW3 kivipi? Sababu ipi hujatueleza. Pili kama unategemea US atakuwa against UK basi unaota US yuko tayari kuwapinga Israel lakini asimpinge UK hio weka akilini UK wameisha sema Nyau watamtia ndani akigusa UK hilo ni pigo kubwa sana kwa USA kabla ya Israel. Usifananishe Putin na Nyau hata siku moja.
Muerevu sasa mbona tena unaleta muhemko 🤣

Israel hawatakubali kiongozi wao kukamatwa popote Duniani, na ikitokea hivyo watatumia nguvu ikiwa ni pamoja na jeshi kuhakisha kiongozi wao hakai sero nchi yoyote ile?

Je,
Marekani na uingerea watakua upande gani Israel akilianzisha kwasabb hiyo?

Sio vita ya tatu hiyo ndugu muerevu mwenye muhemko kwenye masula muhimu?🐒
 
Hakuna wa kumkamata mwamba Netanyahu. Tena hii arrest warrant imempa nguvu zaidi ya kuendesha vita dhidi ya ugaidi
 
Slovenia and Cyprus acknowledge ICC arrest warrants for Netanyahu and Gallant!

Slovenia will respect arrest warrants issued by the International Criminal Court (ICC) and "will fully comply".

Cyprus looking at ICC arrest warrants, says its decisions are binding
Ila jamaa kafanya genocide
 
Hungary imemkaribisha Netanyahu na imesema kuwa pamoja na Hungary kuwa member wa Mahakama hiyo ila haitamkamata Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.

Source: DW NEWS
 
Back
Top Bottom