Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Unadhani hiyo hati ya mashtaka ni card ya harusi?Wapi wamesema netanyahu ni gaidi??.leta hayo maandishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani hiyo hati ya mashtaka ni card ya harusi?Wapi wamesema netanyahu ni gaidi??.leta hayo maandishi.
Bwege wewe unadhani US ataenda kupigana vita na Uingereza 😄 🤣Putin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Anataka mpaka mzungu ndio aseme fulani ni Gaidi ndio aamini,Unadhani hiyo hati ya mashtaka ni card ya harusi?
Kondoo kweli hao eti wanadhani US atamdhuru Muingereza akimkamata nyau. Hawajui US bila siasa ya muingereza ni kama kipofu hajui anapo elekea.Unadhani hiyo hati ya mashtaka ni card ya harusi?
Kama Yesu na Paulo walikamatwa huyo Netanyahu ni nani? Dini imetupumbaza sana waafrika. Kwamba Netanyahu (Ambaye ana kesi ya ufisadi na rushwa) ni mjumbe wa YESU?Hamnazo ww wewe unaweza kumkamata mjumbe wa MUNGU YEHOVA, YESU uchunguzwe leta vyanzo vya uhakika
Tatizo sana Nyerere alikosea sana kuruhusu shule za mission, akili zao zimeisha kuwa za kimissioni mission vile mpa mzungu aseme ndio wainame kusema sawa baba 😄Anataka mpaka mzungu ndio aseme fulani ni Gaidi ndio aamini,
Wanajua kua mzungu ndio mwenye mamlaka ya kuwabrand watu kua nani gaidi na nani sio gaidi.
kwahivyo kwa maoni yako, unadhaniBwege wewe unadhani US ataenda kupigana vita na Uingereza 😄 🤣
Ujinga mtupu! Tz imeshindwa kukamata wasiojulikana ni hio miamba! Pumbavu kabisa!Mpaka mtakapo acha kupokea misaada, kwa sasa hamna ubavy huo
Hahahahahah Gaidi Netanyau lazima anyamatwe kokote atapotuama.Putin na habari ingine hamna nchi yeyote ambayo imesema itamkamata Putin usijiliwaze watu wana dili na Gaidi Netanyahu.
Hivi hata unaelewa nacho ongea? Mpaa uwe na akili ndio utafahamu wenye akili wakiongea. We umesema akikamatwa nyau kutakuwa na vita vya WW3 kivipi? Sababu ipi hujatueleza. Pili kama unategemea US atakuwa against UK basi unaota US yuko tayari kuwapinga Israel lakini asimpinge UK hio weka akilini UK wameisha sema Nyau watamtia ndani akigusa UK hilo ni pigo kubwa sana kwa USA kabla ya Israel. Usifananishe Putin na Nyau hata siku moja.kwahivyo kwa maoni yako, unadhani
vita ya tatu ya dunia inaweza kua ni kati ya Uingereza na Marekani kwasabb ya Israel right?🐒
Wazungu wanafiki sana. 🤣🤣🤣Wanaukumbi.
Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.
Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"
Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu
==============
8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.
@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”
View attachment 3158681
Putin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Huoni aibu ..yaani kama Toto vile mbona unadeka ivooo kwa niaba ya netanyauUSA kasema Thubutuu..!! Mtu amkamate Netanyahu.😆😆😁
Kwanza aende kwenye hizo nchi viherehere kufanya nini? Baada ya muda utairishwa uchaguzi anachaguliwa mwenye kaliba ya Netanyahu. Hakuna kupoa hadi magaidi yote pale Gaza yatokomezwe.Hakuna mwenye ubavu wa kumkamata,
Kwahiyo nisiseme US walivyosema?!Huoni aibu ..yaani kama Toto vile mbona unadeka ivooo kwa niaba ya netanyau
Umerudi tena huku?miezi kadhaa iliyopita ulikuja huku unashangilia kuwa SA Wamemhukumu Netanyau kifungo yeye na Wayahudi. Ukashangilia sana. Then ikawaje?😂 Akaendelea tu kutembeza kipigo. Na hayo mataifa unayoyashabikia ni ya Wazungu. Nlitegemea uniambie Syria,Morocco,Iran,Iraq,Pakist,Afgh,Oman,Egypt,Somalia,Sudan,Saudi n.kWanaukumbi.
Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.
Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"
Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu
==============
8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.
@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”
View attachment 3158681
Maji na mafuta mdogo mdogo yanaanzaj kujitenga ..wale magaidi halisi mwisho wa siku watajulikana wote..Wanaukumbi.
Nchi 8—Canada, Ufaransa, Uhispania, Ubelgiji, Ireland, Italia, Uholanzi na Uswizi—zimetangaza kumkamata Netanyahu iwapo ataingia katika eneo lao.
Nadia Bilbassy aliuliza Ikulu kuhusu ICC na sheria za kimataifa, wakajibu: "Tunakataa na hakika tuna maoni tofauti kuhusu hilo"
Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu
==============
8 countries—Canada, France, Spain, Belgium, Ireland, Italy, the Netherlands, and Switzerland—have announced they will arrest Netanyahu if he enters their territory.
@nadia_bilbassy asked the White House about the ICC & international law, they responded with: “We reject & we certainly have different opinions on that”
View attachment 3158681