Icc inaendeshwa na wataalamu mkuuHz nchi zinaona sw Kwa alochofanya HAMAS Kwa Israel , Hawa wanachukia kuona Israel anataka maliza vita Mashariki ya kati Kwa kumaliza magaidi , Bora Africa ya kati walivyowatimuq Hawa akina France , ilikuwa seleka wanazurura mtaani pale Bangui na ukiwaulzia wanasema wamekuja kuleta amani ,wakati wavunja aman wanazurura mtaani , soon hayo mataifa yatakubwa na ugaidi huu wanaushabikia
Marekani alienda kufanya Nini?Yupo busy kuongoza nchi yake hasa kipindi hiki cha mapambano. Aende kufanya nn?!
Marekani ni mshirika wake wa kudumu. Angekuwa kunguru asingeweza kuongoza taifa la Israel kwa mafanikio makubwa hasa kipindi hiki cha vitaMarekani alienda kufanya Nini?
Kunguru huyo
vita kwa msaada wa marekani.Marekani ni mshirika wake wa kudumu. Angekuwa kunguru asingeweza kuongoza taifa la Israel kwa mafanikio makubwa hasa kipindi hiki cha vita
Hamasvita kwa msaada wa marekani.
ILe ya kukamatwa putin iliishia wap?Bila shaka itakuwa ni habari mbaya mno kwa wale wayahudi wa kwetu.
MK254, Mzee Kigogo, Moisemusajiografii au nasema uongo?
ILe ya kukamatwa putin iliishia wap?
Siasa za Dunia
Kwahiyo Netanyahu ndio muuaji pekee dunia hii au umetoka sayari ya PlutoTofautisha ICC na shutuma za Rostam au uliwahi msikia nani akizishitumu?
Wanataka kuwafurahisha waarabu, watakuja kujuta na huo uhamiaji holela walioruhusu. Time Will TellHahaha CANADA hawajui hao ano watetea, Siku atakuja shtuka HAMS wamelipu TORONTO, mtu wa kwanza atakaye mpigia simu ni NETANYAU, kumjuza panya wesha ingia huku.
povu la nini wakati wale ni magaidiKikundi Cha kigaidi Kwa mujibu wa SHANGAZI yako!?
Yani wakubwa wa mataifa ya dunia wawaite hao freedom fighters wewe ndio uwaite magaidi!?
Lete ushahidi wa wale kuwa magaidi.povu la nini wakati wale ni magaidi
Bahati mbaya wayahudi ndio wameonekana kuwa tatizo ulimwenguni.Wanataka kuwafurahisha waarabu, watakuja kujuta na huo uhamiaji holela walioruhusu. Time Will Tell
october 7 walifanya nini israel mpaka ianze kuwashushia kipondo kizito? Acha ushabiki wa kidiniLete ushahidi wa wale kuwa magaidi.
Nikikuita wewe mpuuzi nakukosea!?october 7 walifanya nini israel mpaka ianze kuwashushia kipondo kizito? Acha ushabiki wa kidini