Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

Kwahiyo Netanyahu ndio muuaji pekee dunia hii au umetoka sayari ya Pluto

Ujinga uliopitiliza ni kujidhania itobo huko, kuwa bora zaidi kuliko wengine:

IMG_20241122_184742~2.jpg


IMG_20241122_184654.jpg


IMG_20241122_184654.jpg


Hivi huwa hata hamjihurumii?

Bure kabisa!
 
Itakuwa wamesha mchoka mpaka Canada wamesema hivyo !!! Duhh!! Canada siwashirika wa USA Hao what went wrong!!?
Canada na USA ni jirani ila hapana ushirikiano wa karibu hasa Israel inapohusishwa. Mfano mengine Trump kutangaza tariffs kwa bidhaa zote zinazotengenezwa nje ya USA, hivyo hata Canada wamo.
 
Janja ya nyani kula Hindi bichi😇😆😆
Taja nilini Nyeta Amewahi kutembelea kati ya hizo nchi!🎤
Hili sakata hata netanyahu asipokamatwa litaacha nchi nyingi sana zijitafakati kwenye hizi jumuiya mbalimbali za kimataifa zinazodai zinapambania haki za binadamu.

Raisi wa hungary amemualika netanyahu kwenda hungary baada ya icc warrant

Uzuri internet ipo macho
 
Hao ICC watamkamata kweli aisee itachukua muda ila nondo ataenda tu hao jamaa hawana mdhaha na mambo yao.
 
Slovenia and Cyprus acknowledge ICC arrest warrants for Netanyahu and Gallant!

Slovenia will respect arrest warrants issued by the International Criminal Court (ICC) and "will fully comply".

Cyprus looking at ICC arrest warrants, says its decisions are binding
Unaweza ukatukumbusha mara ya mwisho Netanyahu kwenda Ufaransa, Canada, Hispania, Norway na huko kwingine ni lini?
 
Hz nchi zinaona sw Kwa alochofanya HAMAS Kwa Israel , Hawa wanachukia kuona Israel anataka maliza vita Mashariki ya kati Kwa kumaliza magaidi , Bora Africa ya kati walivyowatimuq Hawa akina France , ilikuwa seleka wanazurura mtaani pale Bangui na ukiwaulzia wanasema wamekuja kuleta amani ,wakati wavunja aman wanazurura mtaani , soon hayo mataifa yatakubwa na ugaidi huu wanaushabikia
Waache wawakaribishe
 
Janja ya nyani kula Hindi bichi😇😆😆
Taja nilini Neta Amewahi kutembelea kati ya hizo nchi!🎤
Unaumia ukiwa wapi?🎤
Nachopendea hizo nchi zinaakili mingi sana zinakwmbia hivyo halafu zinatoa msaada kimya kimya hiyo Siri hawataweza kuijua wasiokuwa na umoja wanaoongozwa na makini kamwe
 
Nikikuita wewe mpuuzi nakukosea!?
Israel ilifanya nini Agosti 23!?
Unajisahaulisha kuwa Israel imekua ikishambulia wakaazi wa Khani Younis kupitia askari na walowezi wa kizayuni!?
Unajisahaulisha kuwa Israel Agosti ilivamia Khani Younis,iliharibu mashamba na kukanyaga watu na vifaru!?
Unajisahaulisha kuwa Kila mwaka malalamiko hupelekwa UN ya Israel kupuliza sumu za kuua mazao kwenye mashamba ya Palestina!?
Au unajitoa akili!?

Au wewe una akili kuliko Brazil,Belgium na Spain ambao walivunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel!?
Au wewe una akili kuliko mataifa 124 yaliyopiga kura dhidi ya Israel!
?

israel hata ibaki peke yake na dunia nzima iwe kinyume nayo itasimama imara
 
Back
Top Bottom