Kwahiyo Netanyahu ndio muuaji pekee dunia hii au umetoka sayari ya Pluto
Ujinga uliopitiliza ni kujidhania itobo huko, kuwa bora zaidi kuliko wengine:
Hivi huwa hata hamjihurumii?
Bure kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Netanyahu ndio muuaji pekee dunia hii au umetoka sayari ya Pluto
Ngoma droo hapo.mwambieni atokeHamas
Hesbullah wote wanasaidiwa na iran kwa msaada wa russia
Soon anaenda hungary amepata mwalikoNgoma droo hapo.mwambieni atoke
Janja ya nyani kula Hindi bichi😇😆😆Bila shaka itakuwa ni habari mbaya mno kwa wale wayahudi wa kwetu.
MK254, Mzee Kigogo, Moisemusajiografii au nasema uongo?
Canada na USA ni jirani ila hapana ushirikiano wa karibu hasa Israel inapohusishwa. Mfano mengine Trump kutangaza tariffs kwa bidhaa zote zinazotengenezwa nje ya USA, hivyo hata Canada wamo.Itakuwa wamesha mchoka mpaka Canada wamesema hivyo !!! Duhh!! Canada siwashirika wa USA Hao what went wrong!!?
Mjumbe wa Mungu anayefanya ushetaniHamnazo ww wewe unaweza kumkamata mjumbe wa MUNGU YEHOVA, YESU uchunguzwe leta vyanzo vya uhakika
Hili sakata hata netanyahu asipokamatwa litaacha nchi nyingi sana zijitafakati kwenye hizi jumuiya mbalimbali za kimataifa zinazodai zinapambania haki za binadamu.Janja ya nyani kula Hindi bichi😇😆😆
Taja nilini Nyeta Amewahi kutembelea kati ya hizo nchi!🎤
Ndio maana ya kuwa na mshirikavita kwa msaada wa marekani.
Janja ya nyani kula Hindi bichi😇😆😆
Taja nilini Neta Amewahi kutembelea kati ya hizo nchi!🎤
Unaumia ukiwa wapi?🎤
😆😆Bila shaka itakuwa ni habari mbaya mno kwa wale wayahudi wa kwetu.
MK254, Mzee Kigogo, Moisemusajiografii au nasema uongo?
Unaweza ukatukumbusha mara ya mwisho Netanyahu kwenda Ufaransa, Canada, Hispania, Norway na huko kwingine ni lini?Slovenia and Cyprus acknowledge ICC arrest warrants for Netanyahu and Gallant!
Slovenia will respect arrest warrants issued by the International Criminal Court (ICC) and "will fully comply".
Cyprus looking at ICC arrest warrants, says its decisions are binding
Ni kweli kabisa mkuu umeona mbaali sanaPutin au Netanyahu akikamatwa popote duniani, vita vya tatu vya duniania vitalipuka hapo hapo 🐒
Waache wawakaribisheHz nchi zinaona sw Kwa alochofanya HAMAS Kwa Israel , Hawa wanachukia kuona Israel anataka maliza vita Mashariki ya kati Kwa kumaliza magaidi , Bora Africa ya kati walivyowatimuq Hawa akina France , ilikuwa seleka wanazurura mtaani pale Bangui na ukiwaulzia wanasema wamekuja kuleta amani ,wakati wavunja aman wanazurura mtaani , soon hayo mataifa yatakubwa na ugaidi huu wanaushabikia
Nachopendea hizo nchi zinaakili mingi sana zinakwmbia hivyo halafu zinatoa msaada kimya kimya hiyo Siri hawataweza kuijua wasiokuwa na umoja wanaoongozwa na makini kamweJanja ya nyani kula Hindi bichi😇😆😆
Taja nilini Neta Amewahi kutembelea kati ya hizo nchi!🎤
Unaumia ukiwa wapi?🎤
israel hata ibaki peke yake na dunia nzima iwe kinyume nayo itasimama imaraNikikuita wewe mpuuzi nakukosea!?
Israel ilifanya nini Agosti 23!?
Unajisahaulisha kuwa Israel imekua ikishambulia wakaazi wa Khani Younis kupitia askari na walowezi wa kizayuni!?
Unajisahaulisha kuwa Israel Agosti ilivamia Khani Younis,iliharibu mashamba na kukanyaga watu na vifaru!?
Unajisahaulisha kuwa Kila mwaka malalamiko hupelekwa UN ya Israel kupuliza sumu za kuua mazao kwenye mashamba ya Palestina!?
Au unajitoa akili!?
Au wewe una akili kuliko Brazil,Belgium na Spain ambao walivunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel!?
Au wewe una akili kuliko mataifa 124 yaliyopiga kura dhidi ya Israel!?
Ndio mm ni mweusi,,je wewe are white madam??Yahadi jeusi limekasirika😅😅😅
Just continue cheering madam.Unadhani hiyo hati ya mashtaka ni card ya harusi?
Hapo anayeeleweka ni Ireland ndiye anaweza kutekeleza maamuzi haya hawa wengine ni bendera fuata upepo wa USIreland