Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Mkuu mbona uko mbali sana na technolojia..mbona wenzio skuhiz vipimo vime advanve wanaona had hyo DNA ya kirusi
Taja hicho kipimo hapa ili nionekane muongo , acheni kukaririshwa Nyie.

Huu ugonjwa ni biashara Kama biashara zingine Kama kuuza juice au vitumbua. Ninaelewa na kujua ninachokiongea maana nimefanya kazi Sana kwenye hii miradi ya ukimwi. Fanya uchunguzi wako kwanini watumiaji wengi wa ARVs wanaishia kufa kwa magonjwa ya moyo, kufeli figo/maini/mapafu au wanawake kuwa cervical cancer. Umeshawahi kujiuliza kwanini ? .. Huwez kuwa unakula Dawa miaka yote hivyo viungo vibaki salama ..


Sio ARVs tu hata ukiwa unakula paracetamol kila siku miaka yote uko kwenye hatari ya kupata matatizo ndio maana unaambiwa Hakikisha unakula vizuri na ufanye mazoezi. Sasa kwanini usile vizuri , fanya mazoezi na kuwa na good life kuliko kutumia hayo Matakataka.


Hizi elimu ziko mitandaoni ingieni mjiongezee maarifa. Watakuja watu hapa na misamiati miiiiingi ya kitabibu ila mwisho wa siku HIV haijawahi kuwepo duniani na ni propaganda disease iliyojengewa kwenye misingi ya kuhofisha , kuogopesha na kujaza watu hofu zaidi ya uhalisia.


Take care.
 
Yaan kwakweli tusaidie Dr maan huyu mtu anatoa logic za uwongo hadi aibu mweeeeeeeh. Khaaaaah
Umejiunga Jamii forum 2019 hizi mada tumeshazijadili kuanzia miaka ya 2015 na Kuna madaktari vichwa zaidi ya Huyo mwanafunzi wa notice za Nyambari Nyangwine walikimbia.


Kama Yuko vizuri aje hapa twende nae kwa hoja na uhalisia.
 
Unaona Sasa, tangu lini kwenye science kukawa na Bahati ? Science ni facts zinazoelezeka kitendo Cha wewe kuleta issue za Bahati bado hujaiva kuendelea na mijadala ya kisayansi. Eti Bahati
 
Sitami niamini kuwa NYUNGU aliipiga kimakosa na kuji overdose
 
Mkuu pole sana!

Mkuu kwani PEP ni kama ARV?
 
Unaishi maisha magumu sana?[emoji1787][emoji1787]

Umeoa?
 
Sawa mkuu asante!

Mosi, je mtu mwenye HIV akimeza ARV ni anakuwa anajisikiaje? I mean anakuwa normal tu kama kawaida au kuna anavyojisikia mwilini?

Pili, kwanini Wagonjwa wa HIV hawapendi hivi vidonge?
 
Huu uzi umejaa upumbavu mtupu, watu bila haya wanawachafua wafu as if wao ni clean, live and kicking.

Jitu linakwambia fulani yupo kwenye orodha wakati lenyewe tayari lina midume 5 , limeyapanga huko aliko.
Hata sisi tuna misala yetu kitaa huku Ila Hawa wanaozungumziwa humu Ni public figures so achana watu waendelee maana Kuna watu Wana mcrush msanii fulani so wapewe tahadhari

The chain is real

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesikitika sana sana kwa haya umeandika hapa mkuu
 
Umejiunga Jamii forum 2019 hizi mada tumeshazijadili kuanzia miaka ya 2015 na Kuna madaktari vichwa zaidi ya Huyo mwanafunzi wa notice za Nyambari Nyangwine walikimbia.


Kama Yuko vizuri aje hapa twende nae kwa hoja na uhalisia.
Mtu kujiunga hata kufungua I'd this year haimanishi hajui kitu, mzee hyo kitu eti nimejiunga long tushajadili very low. Pia watu hu change I'd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…