Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Mkuu mbona uko mbali sana na technolojia..mbona wenzio skuhiz vipimo vime advanve wanaona had hyo DNA ya kirusi
Taja hicho kipimo hapa ili nionekane muongo , acheni kukaririshwa Nyie.

Huu ugonjwa ni biashara Kama biashara zingine Kama kuuza juice au vitumbua. Ninaelewa na kujua ninachokiongea maana nimefanya kazi Sana kwenye hii miradi ya ukimwi. Fanya uchunguzi wako kwanini watumiaji wengi wa ARVs wanaishia kufa kwa magonjwa ya moyo, kufeli figo/maini/mapafu au wanawake kuwa cervical cancer. Umeshawahi kujiuliza kwanini ? .. Huwez kuwa unakula Dawa miaka yote hivyo viungo vibaki salama ..


Sio ARVs tu hata ukiwa unakula paracetamol kila siku miaka yote uko kwenye hatari ya kupata matatizo ndio maana unaambiwa Hakikisha unakula vizuri na ufanye mazoezi. Sasa kwanini usile vizuri , fanya mazoezi na kuwa na good life kuliko kutumia hayo Matakataka.


Hizi elimu ziko mitandaoni ingieni mjiongezee maarifa. Watakuja watu hapa na misamiati miiiiingi ya kitabibu ila mwisho wa siku HIV haijawahi kuwepo duniani na ni propaganda disease iliyojengewa kwenye misingi ya kuhofisha , kuogopesha na kujaza watu hofu zaidi ya uhalisia.


Take care.
 
Yaan kwakweli tusaidie Dr maan huyu mtu anatoa logic za uwongo hadi aibu mweeeeeeeh. Khaaaaah
Umejiunga Jamii forum 2019 hizi mada tumeshazijadili kuanzia miaka ya 2015 na Kuna madaktari vichwa zaidi ya Huyo mwanafunzi wa notice za Nyambari Nyangwine walikimbia.


Kama Yuko vizuri aje hapa twende nae kwa hoja na uhalisia.
 
Hii hali kitaalam hujulikana kama serodiscordant couple, ambapo Mwenza mmoja anakua na maambukizi ya HIV lkn mwengine Hana hata kama wamekua wakifanya Ngono bila kutumia Kinga.


Nini hasa kinachotokea? Je HIV ni kitu cha kufikirika?? HAPANA..... jambo pekee hapa ni BAHATI BAHATI BAHATI yaaan uwezekano wa kupata HIV ikiwa ataendelea kufanya ngono zembe nahuyohuyo mtu kuna siku angepata maambukiz.

HIV ni kirusi kirusi kigumu kukipata , Hii inamanisha Exposure moja tu haitoshi kukupa maambukizi, lkn bado ukweli nikwamba itakuchukua mara moja tu kupata HIV.


Je Mwanaume na Mwanamke nani yupo ktk hatari zaidi ya kupata maambukizi hata mara moja tu toka siku alalae na mwathirika???? .

Jibu hapa ni Moja...MWANAMKE . Kwann?? Kwa sababu ya anatomia ya maungo ya mwanamke yanamfanya awe ktk risk kubwa sana. Kivipi?? Kuta za kumaa ni mucosal membrane ambayo kutoka na uundwaji wke inaruhusu HIV kupita , so mwanaume Mgonjwa anapomwagia shahawa mwanamke, uwezekano wahuyo mwanamke kukwaa ni mkubwa.. lkn pia Mwanamke mgonjwa kumpa mwanaume , kutokana na umbile la mwanaume basi nilazima MICHUBUKO iwepo kwenye mbooo, au itokee majimaji yakuma yamepenya kupitia mlango wa kutolea shahawa kwa mwanaume.


Sasa kwann Ndugu yako hakupata???? Ni sababu kwanza ya Bahati,, Sababu za kimaumbile, aina ya ngono alokua anafanya , lkn huwezi amini kama angendelea kumtombaa kavukavu kuna siku angeukwaa tu hamna namna.( mwanamke mgonjwa anaweza tombana na wanaume 10 asiwape maambukizi, lkn mwanamke mzima akatombana na mwanaume mmoja wawili wagonjwa wakampa maambukizi)namaanisha ivi Suala la nani mwenye maambukizi kati ya anayetomba au anayetombwa ? Pia lazima liingatiwe.


Kwann mtoto aliupata?? Watoto wengi wanapata maambukizi wakati wa kuzaliwa tena tena hasa kwa mama asotumia Dawa, na kwa maendeleo ya Dawa hizi zakupunguza makali, kwasasa maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto yamepungua sana kiasi kwamba kama MJAMZITO ANATUMIA DAWA vizuri ,kwa usahihi na kwa muda sahihi , Basi ni uzembe wa watoa huduma wa afya ndio utakaopelekea mtoto kupata maambukizi.


NINI FAIDA YA UTUMIAJI WA DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI YA HIV???

Mtumiaji wa Dawa hizi aliyezitumia kwa miezi zzaidi ya sita nakuendelea, kiwango cha viral load huwa kinakua undetectable , na pindi pindi kinapokua undetectable basi mtu huyu hana uwezo wakuambukiza kwa njia ya Ngono (au upo lkn kwa kiwango cha chini sanaaaaa) naivo anakua ktk nafasi yakua mwenye Afya zaidi, aliyenawiri .




Bila shaka nimejibu namengineyo.
Unaona Sasa, tangu lini kwenye science kukawa na Bahati ? Science ni facts zinazoelezeka kitendo Cha wewe kuleta issue za Bahati bado hujaiva kuendelea na mijadala ya kisayansi. Eti Bahati
 
Sitami niamini kuwa NYUNGU aliipiga kimakosa na kuji overdose
 
Nilipotumia kwa mara ya kwanza kama PEP mara ya kwanza 2018 yalinikuta haya.
1.Ndoto mbaya
2.Kichwa kuuma
3.Uchovu usioisha
4.Kukosa hamu ya kula
5.kuishiwa nguvu ila 1&2 ndo zilinitesa sana

Nilipoyumia tena 2020 mwezi february kama PEP nilikutwa na haya
1.Niliharisha sana siku mbili mfululizo nikawekewa hadi maji
2.Tumbo kuuma
3.Kichefu chefu
4.Uchovu usioisha

Ndoto mbaya sikuota ila hii ya mara pili ilikua balaa nililazwa..tangu hiyo siku japo sikua nimepata exposure kwa kufanya ngono nilijichoma wakati nashona mtu kazini lakini nina uheshimu ukimwi kama navyoheshimu jicho pangu.
Mkuu pole sana!

Mkuu kwani PEP ni kama ARV?
 
Mim nina phd ya kutumia condom nadhan...yaan sit.ombi bila hyo kitu hata sku1..na huwa na mashart nayo

Jins ya kuvaa..na sometime kama sikuelew navaa had mbili.utam kitu gan buana

Denda sipigi

Siku nikishave bas lazma nikae siku4 ndo naingia mechi

Niko na mashart yangu ambayo mtu mwingne huwez nielewa
Unaishi maisha magumu sana?[emoji1787][emoji1787]

Umeoa?
 
Mimi ni Daktari, Naomben mniulize swali lolote lile kuhusu HIV.

Niulizeni mimi hapa ambaye Wagonjwa ndio marafiki zangu.


Niulizen mimi hapa, ambaye nilifanya shule ya miaka mitano kwaajili yenu.

Niulizeni, achaneni na Huyo mtu wenu anayegugo mambo.UKIMWI UPO.
Sawa mkuu asante!

Mosi, je mtu mwenye HIV akimeza ARV ni anakuwa anajisikiaje? I mean anakuwa normal tu kama kawaida au kuna anavyojisikia mwilini?

Pili, kwanini Wagonjwa wa HIV hawapendi hivi vidonge?
 
Huu uzi umejaa upumbavu mtupu, watu bila haya wanawachafua wafu as if wao ni clean, live and kicking.

Jitu linakwambia fulani yupo kwenye orodha wakati lenyewe tayari lina midume 5 , limeyapanga huko aliko.
Hata sisi tuna misala yetu kitaa huku Ila Hawa wanaozungumziwa humu Ni public figures so achana watu waendelee maana Kuna watu Wana mcrush msanii fulani so wapewe tahadhari

The chain is real

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hatari sana kinachoendelea kutuua ni kwamba ukiongea ukweli humu kuhusu huu ugonjwa kuokoa jamii mods wanafuta na kukwambia leta ushahidi,sasa ushahidi gani mods wanautaka wakati jamii inateketea? Hivi kuna ushidi gani unaohitajika kuuweka kwamba Dogo Janja alikuwa na Uwoya? Hawa walikuwa wanabanjuana kimya kimya lakini watu walikuwa hawaamini.

Nani asiyejua Mwanamme wa uwoya wa mwanzoni kabla ya Ndiku aliondoka na "KAZEZE"? Haya Uwoya akaitandaza kwa Madogorasi kibao ukija huku kuna kayumba etc na huku mtaani sinza Irene anatongoza watoto wadogo kabisa ili wambanjue sijajua lengo lake ni nini? Haya Uwoya kaachana na janjaro ,janjaro kamata manzi mwingine haya anaendeleza chain.

Ukija kwenye siasa bungeni ni balaa,% kubwa sana wanatumia MASHUDU aka MBAAZI kwa ajili ya kuongeza siku na hao wabunge ndio wanaowachapa nao sana watoto wa CBE na ndio wanaoongoza kula NYAPU zinazojiuza,ukweli unatakiwa kusemwa hata kama ni mchungu,ukweli ukisemwa utasaidia kuokoa wengine,visichana vidogo hivi vinadanganywa sana na pesa huku vikiachiwa "KAZEZE"! Mmoja wapo ni huyo mchanganyiko wa kahawa na maziwa(KAPACHINO)!! Naye WHozu kwa ushamba wake wa Uru kaingia kichwa kichwa na kuukwaa "UMEME".

Watu wanashangaa vipi Mwasiti mbona mstaarabu kautoa wapi? Kumbuka Mwasiti katokea THT na Jasiri muongoza njia yeye alikuwa anatembeza "Rungu" kama Comrade Kipepe,haya Mwasiti akimsusia "Sam Misago" akawa anauza Mechi naye!! Tukija huku Linnah naye akaitembeza kwa Amini.

Bado haujazungumzia Chain ya WCB kutoka kwa Mamaa wa Endeless FEMU ,Boss wa WCB kapiga Uwoya ,Kapiga Wolper ,Kapiga Lulu etc Naye Lulu alipigwa na Captain MBAKO haya Majizo for shizo chain ni ndefu na bado mizunguko inaendelea kina Idris Sulatan etc

Ili tuweze kujiokoa na Mtandao wa KAZEZE ni ukweli kuuweka wazi humu,Young D naye alikuwa anamla tunda haya Grid hiyo naye kaipeleka kwa Amber Lulu na wengineo chain hiyo!!! Ngoma ipo itawamaliza wasanii wetu hao maana wanatinduana wao kwa wao kama hawana akili nzuri,Oneni bendi ya kina Moshi TX ilivyoteketea kwa KAZEZE!!
Nimesikitika sana sana kwa haya umeandika hapa mkuu
 
Umejiunga Jamii forum 2019 hizi mada tumeshazijadili kuanzia miaka ya 2015 na Kuna madaktari vichwa zaidi ya Huyo mwanafunzi wa notice za Nyambari Nyangwine walikimbia.


Kama Yuko vizuri aje hapa twende nae kwa hoja na uhalisia.
Mtu kujiunga hata kufungua I'd this year haimanishi hajui kitu, mzee hyo kitu eti nimejiunga long tushajadili very low. Pia watu hu change I'd
 
Back
Top Bottom