mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Trust me huyu binti anaumwa! Hizi huwa ni reaction za medics kabla hazijakuelewa! Na inaonesha alikuwa hoi sana
Dea nakuambiaje hali n mbaya hasa kizazi cha 13 - 25s, yaan Mungu atuhurumie tyuuuh. Maana inaliza zaidi.Zipo ndio lakini msitake kudaganya watu serikali isingekuwa inatumia nguvu nyingi kununua hzo Arv, HIV ipo nimeona mtoto akiondoka hivi hivi. Msitake kufanya watu wajiachie wazalilike. Hzo number zipo Ila za kuambiwa changanya na zako, Kuna mtu hakutumia mwenzake akatumia yeye katangulia kufa
Haswaaaaaah tena viazi mbatata. Khaaaaaah
Bill Naz atasalimika Vip na Nandi kapita na Ruge,,,hapo umemsahau zamarad
Yeaaah huo ndio ukweli,Wengi ni wale hawacheck afya zao Bora liende tu kufika forty shughuli Sana
Sina personal attack hzo hoja nzuri kweli ulizoandika ni Kama sera za Tanzania za umaskini ziko vizuri shida utekelezaji wake, inasema sio ugonjwa sijui dawa zinaua mbona hatujaona shida wengi wasio tumia Waka survive.Hakuna mtu anaedanganya hapa it's all about fact tu. Acha personal attack tuelewane.
Hapa kuna vitu viwili
1. Virusi vya ukimwi (VVU) au HIV kwa kiingereza
2. Upungufu wa Kinga Ukimwi (AIDS)
Nikianza na Kitu Cha kwanza (HIV ) hiki Kitu hakipo Kama una ushahidi weka hapa tymuone Huyo HIV , nenda kwa daktari yoyote akiweza kukuonesha Huyo HIV mimi nitaomba nitoke Jamii forum na pia aseme kifaa gani ametumia kuona Huyo HIV. Najua watakuja na issue zao za kifaa Cha PCR Ila mgunduzi was hicho kifaa Kary Mullis yeye mwenyewe anashangaa kwanini watu wanasema kifaa Chake kisemwa eti kinaonesha HIV. Generally HIV ni story za kijiweni hakuna Kitu Kama hicho.
Nikija issue ya pili ya Ukimwi kila mtu anao hata wewe unao ndio maana siku ukivamiwa na magonjwa maana Yake Kinga zako za mwili zimeshindwa kuhimili huo ugonjwa. Ukiwa na stress Kinga zako zinashuka . Ukiwa na lishe duni Kinga zako zinashuka. Labda uwe hujui nadharia Nini maana Ukimwi. Ila kama unaelewa nadharia ya Ukimwi kwa maana ya upungufu wa Kinga mwilini kila mtu anao hata wewe na Mimi tunao.
UMESEMA umewahi kushuhudia mtoto akiondoka hivi hivi. Hahaha Sasa ulitaka asife. Kwani kabla ya huo ugonjwa fake wa HIV kutokuwepo watu walikuwa hawafi?
Umewahi kusikia kuwa ukimwi hauuwi ila magonjwa nyemelezi Kama malaria au typhoid ndio yanaua ? Sasa unapokuja hapa kusema umeona mtu kafa kwa ukimwi unataka nikueleweje ?
Sasa Kama ukimwi hauuwi Bali magonjwa nyemelezi kwanini usijikinge na uwe na life style nzuri usipate Kansa, malaria , typhoid badala ya kula hayo ma-arvs maisha yako yote Hadi figo zifeli. Nyie wenyewe mnasema humu Marehemu ruge alikuwa anatumia ARVs ila hata wewe ni shahidi Ruge mutahaba tulimchangia mpaka michango na raisi akatoa milion 50 ashughulikiwe tatizo la Figo. Hizi ni researched facts ARVs inaua Figo, ini na mapafu ..
Umimwi hauui ila matumizi ya ARVs kwa muda mrefu ndio huua watu. Chukua Kile kikopo Cha Dawa za ARVs soma side effects zake halafu kawaangalie hao watu unaosema wamelazwa kwa HIV uone Kama hawafanani ...
Kila kifo kina sababu yake. Leo ukipimwa ukikutwa positive hutakufa Kama hutapata malaria au ugonjwa wowote. Sasa kwanini usijikinge na hayo magonjwa nyemelezi badala ya kula hayo mavidonge mwisho wa siku utachakaa maana ARVs Ina side effects kama Chemotherapy ( tiba ya mionzi ) kwa wenye kansa au mtumiaji wa Dawa za kulevya kwa muda mrefu ... Wote Hawa watatu baada ya matumizi ya muda mrefu wote watakuwa na mionekano sawa. Nywele dhoofu, ngozi isiyonawili, macho kuwa mekundu na ashes. Huku Kunawili mnakosema kumesababishwa na kula ARVs ni kwa muda tu Ila in long run mwisho huwa hivyo.
Wabongo bana Kuna magonjwa hatari Kama kansa au homa ya ini , kisukari na kufeli kwa Figo ndio magonjwa mnapaswa kujiepusha nayo na sio Huo upuuzi eti HIV ... Hizo ni biashara za watu.Ukimwi kila mtu anao.. Kwani nani Hana ukimwi !! Nani Kinga zake huwa hazishuki ? Hata stress zinashusha kinga Sasa mnashangaa Nini.
Achaneni na huo utumwa wa wazungu kuwageuza soko la hizo ARVs zao zinazoenda kuharibu Figo, ini na kusababisha kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake (cervical cancer). Ukifuatilia watu wote wanaotumia ARVs mwisho wa siku hufa na moja ya hayo magonjwa.
Kwa hizi network zilizotajwa humu Kama kweli kungekuwa na uhalisia wa huo upuuzi HIV Basi nchi nzima ingekuwa na waathirika wa ukimwi maana ni nadra kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja. Halafu hivi tangu lini Kinga zangu kuwa chini zinaweza kumuambukiza mtu mwingine ???
Hivi mnajua stress zinashusha kinga ? Sasa nitawezaje kumuambukiza mtu mwingine mwenye Kinga na mzima kabisa !!! ... Mambo mengine sio mpaka muende vyuon tumien common sense
Acheni ngono zembe msije kupata homa ya ini na magonjwa mengine na sio eti HIV ... Hakuna hicho Kitu guys. Mnateketea kwa kukosa maarifa.
Hahahaha nacheka kama mazuri ?Sina personal attack hzo hoja nzuri kweli ulizoandika ni Kama sera za Tanzania za umaskini ziko vizuri shida utekelezaji wake, inasema sio ugonjwa sijui dawa zinaua mbona hatujaona shida wengi wasio tumia Waka survive.
Binafsi nimeona watu waliokuwa na Hali mbaya wakaanza kutumia Arv Waka recover na magonjwa nyemelezi yameisha na Wana afya before kutumia hzo dawa. Kuna mtu before ya kuzaliwa Mimi mgonjwa Ila anakula Arv vizuri Sasa ana afya yake na alishuhudia dawa zimemsaidia Sana ana miaka more than 25 akitumia.
Hizo logic zipo ni nzuri ziko kisiasa zaidi zilizotengenezwa na ma conspiracy huko, lakini Mimi nimeshuhudia mifano halisi ya wagonjwa na jinsi walivo recover, hyo ya kusema si kweli napenda kuwafahamu wasio tumia na waliotumia yupi afya imeimarika since nimewaona waliotumia na ku change nataka nione hao wasio tumia na Hali zao hii kuandika tu fact's bila ushahidi can't buy it Kuna watu hubadili vitu vya uongo vionekane ka kweli.
Sorry na Mambo mengi sijapitia hoja zote kukujibu maana kila mtu na Imani yake
Wanafunzi wanaoenda kufanya mafunzo ya vitendo maofisini inabidi wazazi/walezi muwaonye watoto wenu ili wakifika kule wajue linalowapeleka tu la mafunzo.
Kule makazini wengi walishapata kuathirika na virusi vya ukimwi.
Watoto tulieni acheni tamaa.
Tamaa huzaa dhambi, dhambi huzaa mauti Yani kifo!
Kwanini mnakuwa na tamaa ya kutaka simu kali?, nguo kali n.k?
Kuna ofisini fulani kuna mama fulani huwa anajitolea siku ya kwanza ya kianza mafunzo anawaambia watoto shikeni lililowaleta mtaondoka salama la sivyo msije mkaondoka na ukimwi!
Basi wale ambao wanavilanga huenda kuwahadithia wale wanaume kuwa fulani katuambia mna ukimwi hivi na hivi halafu wale wanaume wanaanza kumchukia yule mama wakati hajataja jina la mtu .
Mimi huwa najiuliza kama wewe ni mwanafunzi wa chuo unasoma ili iweje?
Si uje kuwa na bright future au siyo?
Sasa unakuwa na bright future huku afya yako ikiwa mashakani?
Sasa huo u bright utakuwepo kweli?
Hali ni mbaya sana, sio huko field had huku vyuon wazee wenye pesa zao wanarubuni watoto hadi inaogopesha, nmeshuhudia kwa macho yangu, sku za weekend gari za maan zinachukua vident kwenda kuslay navyo, af vyenyewe vikirud vinasambaza kwa wavulana wa rika lao. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Wanafunzi wanaoenda kufanya mafunzo ya vitendo maofisini inabidi wazazi/walezi muwaonye watoto wenu ili wakifika kule wajue linalowapeleka tu la mafunzo.
Kule makazini wengi walishapata kuathirika na virusi vya ukimwi.
Watoto tulieni acheni tamaa.
Tamaa huzaa dhambi, dhambi huzaa mauti Yani kifo!
Kwanini mnakuwa na tamaa ya kutaka simu kali?, nguo kali n.k?
Kuna ofisini fulani kuna mama fulani huwa anajitolea siku ya kwanza ya kianza mafunzo anawaambia watoto shikeni lililowaleta mtaondoka salama la sivyo msije mkaondoka na ukimwi!
Basi wale ambao wanavilanga huenda kuwahadithia wale wanaume kuwa fulani katuambia mna ukimwi hivi na hivi halafu wale wanaume wanaanza kumchukia yule mama wakati hajataja jina la mtu .
Mimi huwa najiuliza kama wewe ni mwanafunzi wa chuo unasoma ili iweje?
Si uje kuwa na bright future au siyo?
Sasa unakuwa na bright future huku afya yako ikiwa mashakani?
Sasa huo u bright utakuwepo kweli?
Jamaa ana mzaha mwingi huyu, ndugu yangu alifariki kwa ushauri huu wa kipuuzi alikua ana tumia dawa kwa mda mrefu afya yake ilikua nzuri akaja kukutana na hawa makanjanja wakamjaza maneno ya uongo aka acha kutumia dawa haikupita miezi 6 tukazikaSina personal attack hzo hoja nzuri kweli ulizoandika ni Kama sera za Tanzania za umaskini ziko vizuri shida utekelezaji wake, inasema sio ugonjwa sijui dawa zinaua mbona hatujaona shida wengi wasio tumia Waka survive.
Binafsi nimeona watu waliokuwa na Hali mbaya wakaanza kutumia Arv Waka recover na magonjwa nyemelezi yameisha na Wana afya before kutumia hzo dawa. Kuna mtu before ya kuzaliwa Mimi mgonjwa Ila anakula Arv vizuri Sasa ana afya yake na alishuhudia dawa zimemsaidia Sana ana miaka more than 25 akitumia.
Hizo logic zipo ni nzuri ziko kisiasa zaidi zilizotengenezwa na ma conspiracy huko, lakini Mimi nimeshuhudia mifano halisi ya wagonjwa na jinsi walivo recover, hyo ya kusema si kweli napenda kuwafahamu wasio tumia na waliotumia yupi afya imeimarika since nimewaona waliotumia na ku change nataka nione hao wasio tumia na Hali zao hii kuandika tu fact's bila ushahidi can't buy it Kuna watu hubadili vitu vya uongo vionekane ka kweli.
Sorry na Mambo mengi sijapitia hoja zote kukujibu maana kila mtu na Imani yake
Umeanzia mbali sana, kuna mabinti kadhaa wamepangishiwa chumba hadi laki mbili kwa mwezi na wababa mitaani. Mtu anasema waziwazi kabisa eti mwakani anafungua duka kwa hela za kupewa. Tena anadanga kwa watu tofauti na sehemu tofauti.Wanafunzi wanaoenda kufanya mafunzo ya vitendo maofisini inabidi wazazi/walezi muwaonye watoto wenu ili wakifika kule wajue linalowapeleka tu la mafunzo.
Kule makazini wengi walishapata kuathirika na virusi vya ukimwi.
Watoto tulieni acheni tamaa.
Tamaa huzaa dhambi, dhambi huzaa mauti Yani kifo!
Kwanini mnakuwa na tamaa ya kutaka simu kali?, nguo kali n.k?
Kuna ofisini fulani kuna mama fulani huwa anajitolea siku ya kwanza ya kianza mafunzo anawaambia watoto shikeni lililowaleta mtaondoka salama la sivyo msije mkaondoka na ukimwi!
Basi wale ambao wanavilanga huenda kuwahadithia wale wanaume kuwa fulani katuambia mna ukimwi hivi na hivi halafu wale wanaume wanaanza kumchukia yule mama wakati hajataja jina la mtu .
Mimi huwa najiuliza kama wewe ni mwanafunzi wa chuo unasoma ili iweje?
Si uje kuwa na bright future au siyo?
Sasa unakuwa na bright future huku afya yako ikiwa mashakani?
Sasa huo u bright utakuwepo kweli?
Hata madawa ya kulevya mtu anaetumia akiacha kwa ghafla anakufa. Ray C kidogo afie hapo Mwananyamala hospital kwa kuchelewa kula methadone. Ndio maana waathirika wa madawa ya kulevya na wanataka kuacha kutumia wamewekewa methadone ya kutumia ili aache cocaine au heroin. Tofauti na cocaine au heroin methadone nayo pia ni madawa ya kulevya ila yenyewe yanakuwa yanamshushia volume ya kutumia mpaka anakuja kuacha ...Jamaa ana mzaha mwingi huyu, ndugu yangu alifariki kwa ushauri huu wa kipuuzi alikua ana tumia dawa kwa mda mrefu afya yake ilikua nzuri akaja kukutana na hawa makanjanja wakamjaza maneno ya uongo aka acha kutumia dawa haikupita miezi 6 tukazika
Weeee huwez amini nna rafik zangu wawili wanatoka na vibopa wamepangishiwa sehem flan hivi, kodi laki 2.5 kwa kila m1., yaan wanaishi maisha ya show off hatareeeh, af sasa nao pia wana mahusiano na wavulan wa chuon pale, mbaya zaidi wale wazee wanaonesha kabisaa wako kweny Grid ya Taifa. Yaan siku za weekend karibu na chuo kila aina ya ndinga unaona inatoka na dent, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Umeanzia mbali sana, kuna mabinti kadhaa wamepangishiwa chumba hadi laki mbili kwa mwezi na wababa mitaani. Mtu anasema waziwazi kabisa eti mwakani anafungua duka kwa hela za kupewa. Tena anadanga kwa watu tofauti na sehemu tofauti. Wakishakuwa na matako makubwa huwaambii kitu nakwambia, utatoa ushauri wako ubaki nao.
Sasa mtu kama huyu akienda field si ndio anajiachia zaidi. Pata muda nenda clubs zilizo karibu na vyuo ujionee maajabu.
Nishawahi kuwa na manzi naongea nae mida ya usiku, akapokea simu kisha akadai anakaribia kuondoka. Muda kidogo ikaja Pajero ikamchukua, ile siku nilijidharau sana maana nilikuwa eti nataka kutupia.
Ni ARV hiyo hiyo sema unakunywa kwa mwezi mmoja tu???Mkuu pole sana!
Mkuu kwani PEP ni kama ARV?