Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Dea nakuambiaje hali n mbaya hasa kizazi cha 13 - 25s, yaan Mungu atuhurumie tyuuuh. Maana inaliza zaidi.
 
Sina personal attack hzo hoja nzuri kweli ulizoandika ni Kama sera za Tanzania za umaskini ziko vizuri shida utekelezaji wake, inasema sio ugonjwa sijui dawa zinaua mbona hatujaona shida wengi wasio tumia Waka survive.

Binafsi nimeona watu waliokuwa na Hali mbaya wakaanza kutumia Arv Waka recover na magonjwa nyemelezi yameisha na Wana afya before kutumia hzo dawa. Kuna mtu before ya kuzaliwa Mimi mgonjwa Ila anakula Arv vizuri Sasa ana afya yake na alishuhudia dawa zimemsaidia Sana ana miaka more than 25 akitumia.

Hizo logic zipo ni nzuri ziko kisiasa zaidi zilizotengenezwa na ma conspiracy huko, lakini Mimi nimeshuhudia mifano halisi ya wagonjwa na jinsi walivo recover, hyo ya kusema si kweli napenda kuwafahamu wasio tumia na waliotumia yupi afya imeimarika since nimewaona waliotumia na ku change nataka nione hao wasio tumia na Hali zao hii kuandika tu fact's bila ushahidi can't buy it Kuna watu hubadili vitu vya uongo vionekane ka kweli.

Sorry na Mambo mengi sijapitia hoja zote kukujibu maana kila mtu na Imani yake
 
Jidanganye usinywe dawa. Watakusahau
 
Wanafunzi wanaoenda kufanya mafunzo ya vitendo maofisini inabidi wazazi/walezi muwaonye watoto wenu ili wakifika kule wajue linalowapeleka tu la mafunzo.

Kule makazini wengi walishapata kuathirika na virusi vya ukimwi.

Watoto tulieni acheni tamaa.

Tamaa huzaa dhambi, dhambi huzaa mauti Yani kifo!

Kwanini mnakuwa na tamaa ya kutaka simu kali?, nguo kali n.k?

Kuna ofisini fulani kuna mama fulani huwa anajitolea siku ya kwanza ya kianza mafunzo anawaambia watoto shikeni lililowaleta mtaondoka salama la sivyo msije mkaondoka na ukimwi!

Basi wale ambao wanavilanga huenda kuwahadithia wale wanaume kuwa fulani katuambia mna ukimwi hivi na hivi halafu wale wanaume wanaanza kumchukia yule mama wakati hajataja jina la mtu .

Mimi huwa najiuliza kama wewe ni mwanafunzi wa chuo unasoma ili iweje?

Si uje kuwa na bright future au siyo?

Sasa unakuwa na bright future huku afya yako ikiwa mashakani?

Sasa huo u bright utakuwepo kweli?
 
Wazazi na walezi hawawalei watoto katika misingi ya kulishika Neno la Mungu!

Wazazi wanaogopa kusema na watoto wao kwa uwazi juu ya nyendo zao!

Hata kwa Habari ya kuendesha magari kwa mwendo kasi ni muhimu familia wawe wanakutana na kufanya tafakuli na retreats ya pamoja hii itaweza kuzuia mabaya mengi.

Ukiwa na ndugu yako mwenye tabia ya kuendesha gari kwa mwendo kasi ujue ipo siku hususa kama anaendesha kwenda mikoani ujue ipo siku lolote laweza kutokea.

Kwanini msiitishe kikao agenda ikawa kumuonya yeye tabia yake mbaya?

Mwambieni kwa upendo kuwa mnapenda awe hai akiwa mwenye njema na aendelee kutunza familia yake!
 
Hahahaha nacheka kama mazuri ?
Unasema ARVs zinapunguza magonjwa nyemelezi. Hebu nipo correlation ya kumeza ARVs na usipate malaria tena au typhoid ... Kama ingekuwa hivyo serikali isingekuwa inahangaika na miradi ya malaria ingekuwa inawaambia raia wameze hizo Dawa ili kujikinga.

Nasikitika hujasoma andiko langu Hadi chini Kuna hoja nyingi nimejibu hayo maswali yako. Mimi nimefanya kazi miradi ya ukimwi Kuna watu for years hawatumii hayo Matakataka na wako vizuri na hao wanaotumia hizo takataka wanakufa kwa magonjwa ya Figo, ini au mapafu kujaa maji haya ndio magonjwa makubwa ya mtu anaetumia ARVs ( Ukubali ukatae)...

Bahati nzuri hizi nyuzi tulishaongea Sana

My fiancee who was HIV+ now tested HIV- ingia humo Kuna majibu yote ya maswali yako.
 
Kwenye bila I vya familia ambapo ni familia chache sana hufanya lakini agenda ya miendenendo ya wanachama wa familia huwezi kuta.

Wekeni agenda ya kujadili mienendo na tabia za wanachama wa familia.

Vunjeni ukimya ambizaneni kuhusu magonjwa!

Kiachiwa mzigo wa ulezi wa Kulea watoto yatima ni mtihani mkubwa!
 

Ni kweli hapa kwetu ma intern wanaliwa km njugu wazee wa kuhonga ni hatar
 
Hali ni mbaya sana, sio huko field had huku vyuon wazee wenye pesa zao wanarubuni watoto hadi inaogopesha, nmeshuhudia kwa macho yangu, sku za weekend gari za maan zinachukua vident kwenda kuslay navyo, af vyenyewe vikirud vinasambaza kwa wavulana wa rika lao. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Jamaa ana mzaha mwingi huyu, ndugu yangu alifariki kwa ushauri huu wa kipuuzi alikua ana tumia dawa kwa mda mrefu afya yake ilikua nzuri akaja kukutana na hawa makanjanja wakamjaza maneno ya uongo aka acha kutumia dawa haikupita miezi 6 tukazika
 
Kuna wasanii ingawa nao wanayo ya kwao lakini huwezi kuwakuta kwenye chain hizi inabidi tuwape pongezi aiseeee.

tokea tukiwa wadogo tumewasikiliza na walikuwa na umaarufu mkubwa lakini wamejitahidi kujiepusha na chain hizi.
 
Umeanzia mbali sana, kuna mabinti kadhaa wamepangishiwa chumba hadi laki mbili kwa mwezi na wababa mitaani. Mtu anasema waziwazi kabisa eti mwakani anafungua duka kwa hela za kupewa. Tena anadanga kwa watu tofauti na sehemu tofauti.

Wakishakuwa na matako makubwa huwaambii kitu nakwambia, utatoa ushauri wako ubaki nao.

Sasa mtu kama huyu akienda field si ndio anajiachia zaidi. Pata muda nenda clubs zilizo karibu na vyuo ujionee maajabu.

Nishawahi kuwa na manzi naongea nae mida ya usiku, akapokea simu kisha akadai anakaribia kuondoka. Muda kidogo ikaja Pajero ikamchukua, ile siku nilijidharau sana maana nilikuwa eti nataka kutupia.
 
Jamaa ana mzaha mwingi huyu, ndugu yangu alifariki kwa ushauri huu wa kipuuzi alikua ana tumia dawa kwa mda mrefu afya yake ilikua nzuri akaja kukutana na hawa makanjanja wakamjaza maneno ya uongo aka acha kutumia dawa haikupita miezi 6 tukazika
Hata madawa ya kulevya mtu anaetumia akiacha kwa ghafla anakufa. Ray C kidogo afie hapo Mwananyamala hospital kwa kuchelewa kula methadone. Ndio maana waathirika wa madawa ya kulevya na wanataka kuacha kutumia wamewekewa methadone ya kutumia ili aache cocaine au heroin. Tofauti na cocaine au heroin methadone nayo pia ni madawa ya kulevya ila yenyewe yanakuwa yanamshushia volume ya kutumia mpaka anakuja kuacha ...


Same to ARVs ukiacha ghafla lazima ufe huchukui round. Na Hakuna sehemu nimeandika mtu aache ARVs. Na Hilo ndio lengo la ARVs uwe dependent maisha yako yote. That's the bussiness bro.

Sasa nakuomba utuelezee ndugu yako alikufa kwanini exactly? Lazima Kuna exactly ugonjwa ulimuua
 
Weeee huwez amini nna rafik zangu wawili wanatoka na vibopa wamepangishiwa sehem flan hivi, kodi laki 2.5 kwa kila m1., yaan wanaishi maisha ya show off hatareeeh, af sasa nao pia wana mahusiano na wavulan wa chuon pale, mbaya zaidi wale wazee wanaonesha kabisaa wako kweny Grid ya Taifa. Yaan siku za weekend karibu na chuo kila aina ya ndinga unaona inatoka na dent, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…