Duuuuuh hali ni mbaya kwa kweli loo,Na usijidanganye eti mtu upime nae kwa siku moja tu inatosha kwenda peku watu wengi wameangamia hapo..inapaswa mpime walau mara 3 kwa muda wa miezi 3 wengine huwa kwenye window period
Dar hapa wilaya ya temeke ndio kinara kuna rafiki yangu mmoja yupo hospital moja ana deal na mambo ya HIV guiding and counceling anasema hali ni tete kipande hiyoHata vijijini hali ya maambukizi inatisha,
Unaambiwa siku za kutolewa dawa hospitali ya wilaya bomani watu ni wengi sana wengine huwezi amani.
Halafu wengine wamekataa kunywa dawa.
Kwa vijijini sehemu za kugawa dawa mara nyingi ni Katika hospitali ya wilaya basi watu kuwa bao!
Watu wa kijijini wanapenda kupapatikia wageni toka mjini kumbe wenzao wengine wanao sasa watu wengi sana wamepoteza maisha [emoji24][emoji24][emoji24]
Maisha ni mazuri jamani ugali mtamu sana!
Tujitafakali kisha tuchukue hatua, afya ni mtaji!
Weee unatakaje kwani? Khaaaah ndo nimesema hivyo, ukubali ukatae n juu yako, lolHuo ndo ushahidi uliotoa??
Weeee kwan unaumia nn? Sisi ndo tunasema ukweli hapa hatutaki wengine wazidi kuangamia, poleeeeeeeh km inakuuma kunywa maji afu kalale, relaaaaaaaaxAkili yako haina akili
Figo ipi? Weee jasiri kaenda sababu ya NGWENGWE, ukweli ndio huu.Kwa iyo siyo figo tena?
Na amepita nao wengi, acha kabisaaa yaan tasnia ya usaniii wahusika wengi wameungua, supplier n Jasiri.Ndio mana alivodondoka mchizi nimeona wasanii wengi walikua wanalia kwa uchungu sana,wacha walie wana mengi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani weee nimecheka basi tyuuh, hali ni mbaya kwa kweli. Inasikitisha sana mweeeeeehZari,zuchu,tanasha,kimnana,poshyqueen,bunyerobunyero
Dai legend ,sema kiba hapendi kujionyesha[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ni tete sanaWatoto wa O Level tokea zamani hawako salama,kuna kipindi nilikuwa napiga tempo 2016
huko kwenye Minara ya simu Chanika,Kisarawe,Twangoma,Mbagala,Mvuti yaani wale wanafunzi wa shule za kata madereva wa bodaboda wana watafuna sana,kule usafiri wa shida basi lazima wajirahisishe.
Nimeshudia wakitomaswa na wengine wakigongwa acha tu,tuombe Mungu.
Vipi yule dada yangu Vanessa mdee amesalimika kwenye hii orodha?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] hali ni mbaya kwa kweli, inasikitisha mnoooh
Yaaaan kizazi kinateketea lol, hadi inaogopesha kwakweli.TACAIDS inabidi wawaongeze kwenye makundi hatarishi kwa maambukizi ya Ukimwi.
Makundi yaliyopo kwa sasa ni pamoja na:
1. Wauza baa
2. Madereva wa Masafa marefu
3. Wavuta madawa ya kulevya
4. .....
Sasa waongeze kundi lingine la
5. Bongo Muvi
6. Bongo fleva
7. N.k
Hapo sasa nna rafiki zangu wawili, wanatoka na vibopa wastaafu yaan hadi nawaonea huruma mweeeeeeeh, maan wanaonesha kabisa wamesha expire, sema pesa zinawazuzua uwiiiiiiih [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Halafu sikuhizi watoto wa primary, secondary ndo wanao Sana huu ugonjwa Mana wanarubunika kiurahisi Sana Kuna siku niliandika watu wakanitolea povu. Watu wengine wanafikiria wale watoto ni salama kumbe wanatumika na wengi. Hali ni tete
The same to me [emoji3][emoji85]Afya yangu iko vizuri tu mkuu ondoa shaka pia mtu akishatumia ARV ni ngumu kuambukiza ivo mimi namtazama mtu tu kwa macho tayari najua apa niende dry au nivae mpira
Najua siwezi kuwa Correct 100% mana hakuna kitu kina efficiency ya 100 hata machine ina errors
Kuhus vanessa hadi dakika hii kwa 90% naweza sema hayupo ndani ya attendace,Vipi yule dada yangu Vanessa mdee amesalimika kwenye hii orodha?
Dah huu uzi nimesoma comments zote dah, ila hata haya matamasha ya muziki nahisi yanachangia sana hii mambo. Hali inatisha
Watu wanajali pesa kuliko afya zao kikubwa wao hela eti atleast aishi vizuri miaka michacheHapo sasa nna rafiki zangu wawili, wanatoka na vibopa wastaafu yaan hadi nawaonea huruma mweeeeeeeh, maan wanaonesha kabisa wamesha expire, sema pesa zinawazuzua uwiiiiiiih [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kuhus vanessa hadi dakika hii kwa 90% naweza sema hayupo ndani ya attendace,