Ni hatari sana kinachoendelea kutuua ni kwamba ukiongea ukweli humu kuhusu huu ugonjwa kuokoa jamii mods wanafuta na kukwambia leta ushahidi,sasa ushahidi gani mods wanautaka wakati jamii inateketea? Hivi kuna ushidi gani unaohitajika kuuweka kwamba Dogo Janja alikuwa na Uwoya? Hawa walikuwa wanabanjuana kimya kimya lakini watu walikuwa hawaamini.
Nani asiyejua Mwanamme wa uwoya wa mwanzoni kabla ya Ndiku aliondoka na "KAZEZE"? Haya Uwoya akaitandaza kwa Madogorasi kibao ukija huku kuna kayumba etc na huku mtaani sinza Irene anatongoza watoto wadogo kabisa ili wambanjue sijajua lengo lake ni nini? Haya Uwoya kaachana na janjaro ,janjaro kamata manzi mwingine haya anaendeleza chain.
Ukija kwenye siasa bungeni ni balaa,% kubwa sana wanatumia MASHUDU aka MBAAZI kwa ajili ya kuongeza siku na hao wabunge ndio wanaowachapa nao sana watoto wa CBE na ndio wanaoongoza kula NYAPU zinazojiuza,ukweli unatakiwa kusemwa hata kama ni mchungu,ukweli ukisemwa utasaidia kuokoa wengine,visichana vidogo hivi vinadanganywa sana na pesa huku vikiachiwa "KAZEZE"! Mmoja wapo ni huyo mchanganyiko wa kahawa na maziwa(KAPACHINO)!! Naye WHozu kwa ushamba wake wa Uru kaingia kichwa kichwa na kuukwaa "UMEME".
Watu wanashangaa vipi Mwasiti mbona mstaarabu kautoa wapi? Kumbuka Mwasiti katokea THT na Jasiri muongoza njia yeye alikuwa anatembeza "Rungu" kama Comrade Kipepe,haya Mwasiti akimsusia "Sam Misago" akawa anauza Mechi naye!! Tukija huku Linnah naye akaitembeza kwa Amini.
Bado haujazungumzia Chain ya WCB kutoka kwa Mamaa wa Endeless FEMU ,Boss wa WCB kapiga Uwoya ,Kapiga Wolper ,Kapiga Lulu etc Naye Lulu alipigwa na Captain MBAKO haya Majizo for shizo chain ni ndefu na bado mizunguko inaendelea kina Idris Sulatan etc
Ili tuweze kujiokoa na Mtandao wa KAZEZE ni ukweli kuuweka wazi humu,Young D naye alikuwa anamla tunda haya Grid hiyo naye kaipeleka kwa Amber Lulu na wengineo chain hiyo!!! Ngoma ipo itawamaliza wasanii wetu hao maana wanatinduana wao kwa wao kama hawana akili nzuri,Oneni bendi ya kina Moshi TX ilivyoteketea kwa KAZEZE!!