Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Yule mwenye pengo[emoji30][emoji45]Kuna mbongo movie mmoja sasa hivi kajikita kwenye ushonaji wa nguo.Miaka ya nyuma Kipindi yupo kambini room walikuwa wanakaa watatu watatu watu waliona ARV kila mtu alizikataa sio zake.
Baadaye akaweka masharti ukimtaka kwenye movie yako basi sharti umpe chumba chake mwenyewe.Wasanii wetu wawili wakubwa washapita,yule mtangazaji aliyepewa kijiti na Salama nae kapiga,waziri mkuu wa awamu ya 4 nae kapiga.
Sasa hivi kahamia kwa vijana wadogo wenyewe wanajiona wanapendwa kumbe wanaunganishwa kwenye mtandao.
Sent using Jamii Forums mobile app