Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Turudi kwenye misingi ya kujifunza na kushika Mafundisho ya Neno la Mungu huko ndipo kulipo na usalama na ushindi wa dhambi zidi ya mauti.

Tuziache njia zetu mbaya, tutubu, tumgeukie Mungu naye atatusamehe makosa yetu kisha atatuwezesha kuishinda dhambi na mauti.
 
Ni kwa bahati mbaya sana familia hazifanyi tathimini ya mienendo ya wanafamilia na kuchukua hatua ya kuonyana.

Hawaambiani ukweli.

Unamjua ndugu yako ana mke lakini anakuwa na michepuko lakini humuonyi unazani akipata ugonjwa itakula kwa nani?

Ifike mahali ukisikia ndugu yako anazini au anafanya uasherati (kwa ambao bado kuoa Au kuolewa) mounye kwa upendo kama unampenda ili asiangamie kwenye mauti!
 
Mmmmmh kwann asiende na chanzo kikubwa cha kuachan na vee, n baada ya vee kukuta mawasiliano ya huyo msanii na jux tena in deep feelings on love. Akaona amuache aendeleze hayoooh.
Duh! Ile mbavu yote nayo inafanya mambo ya ajabu hivi
 
Turudi kwenye misingi ya kujifunza na kushika Mafundisho ya Neno la Mungu huko ndipo kulipo na usalama na ushindi wa dhambi zidi ya mauti.

Tuziache njia zetu mbaya, tutubu, tumgeukie Mungu naye atatusamehe makosa yetu kisha atatuwezesha kuishinda dhambi na mauti.
Huko kanisani hakufai hata kidogo ,mimi dada yangu ana rafiki yake mlokole ,alimwambia sister na bi Mkubwa hali yake ya kiafya kaathirika lakini sasa hivi ana serengeti boy na mume wake kishavuta zamani.Alafu kosa lao ni moja wanaamini ukisha okoka basi kuanzia dhambi zako mpaka magonjwa yako yameondolewa.

Nina binti namjua vizuri alishinda ktk mashindano ya kuhifadhi quraan kwa madrasa za mtaani kipindi nipo O-Level,mimi mwenyewe nilikuwa na mkubali ana nidham sana.Kuna muhuni mmoja yy ana endeesha malori ya mzigo kaathirika tokea zamani,kamrubuni na viroba vya mkaa mwisho wa siku kamzalisha binti kupima tayari kaathirika,baba yake yule binti alimmaindi jamaa kishenzi,alianzisha varangati mwisho wa siku yule jamaa kamfanya mke wake mdogo.

Haya mambo yanaumiza kichwa sometimes hayana formula.
 
"Para anasema Muhaya ndo kauleta umeme Bongo''

What's up Songa. What's up Lunduno family.

-Kaveli-
 
kiukweli hapana hasa vyuon hali n mbaya kiukweli inaogopesha yaan ufuska na uzinzi nje nje, mtu m1 ana mahusiano na watu 3, hawa wakike wanauotoa kwa vibopa wanawasambazia wavulana wa rika lao. [emoji30][emoji30][emoji30]
Hali ni hatari Sana hii unakuta binti ana wanaume watano anawa danga
 
Back
Top Bottom