Dah Maisha safari yenye mwisho wake, pumzike captain, sijui TOT itaongozwa na nani tena.
Japo ungetuambia zile nyimbo za kifo cha baba wa taifa Nyerere uliwezaje kuzitunga kwa muda mfupi vile au ulijuaje.
Msitu umekukataa Mungu amekupenda zaidi, pengine kwa kauli zako za bungeni juu ya kwenda msituni Mungu ameona yafaa mmoja afe ili wengi wapone.
Pumzika ulipojiandalia ukiwa duniani.
Mungu awape nguvu familia ya marehemu
Msalimie Baba taifa akikuuliza kama watz wanahoji kuwa uliwezaje kutunga nyimbo za kuwafariji watanzania ktk muda mfupi baada ya kufa kwake, usipepese macho mwambie baada ya ufisadi kuzidi sasa watz wanaanza kuhoji hats juu ya kifo chako.
See you one day km ninapojiandaa kwenda ndipo ulipo