Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu umemaanisha TOT
Samahani mleta mada,ulikusudia kwenye heading kuandika Tanzania au?
Ahah mwenzangu umbea ulizidi nilitaka kusema Tanzia, hahahaha
Aseeh kuna picha za marehemu nimetumiwa sijui nizirushiee...main nawashwa kweli apa ...yani maiti imevimba hatarii...
Ahah mwenzangu umbea ulizidi nilitaka kusema Tanzia, hahahaha
Aseeh kuna picha za marehemu nimetumiwa sijui nizirushiee...main nawashwa kweli apa ...yani maiti imevimba hatarii...
Usirushe aisee. Kuwa fair kwa deceased.
Hapana! Usizirushe zitadondoka!