TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

nilihoji siku 1 yule jamaa kulala lala kwake Bungeni ni ugonjwa...kumbe kweli
 
sasa nyimbo tutatoa wapi?

Alikuwa amekutunzia? huna kichwa wewe? RIP Capt. Komba, sote twaja huko. Mungu kakuchukua wakati adhima ya kuingia msituni ukiwa hujatimiza. Yote heri. Tangulia.
 
Mwenyezi mungu iweke roho ya marehemu mahala pema peponi
 
Kila nafsi itaonja mauti

Je ni unaamini ulichokiandika au unasikia tu watu wanasemaga hivyo?. Soma vizuri vitabu karibu vya dini yote utaona ukweli. Je unajua siku ya mwisho wa dunia itakuwaje au YESU atakaporudi je kuna watu watukuwa hai na itakuwaje?
 
Mungu aiweke roho yake mahali inapostahili hasa kutokana na matendo yake hapa duniani , kiukweli hili ni pigo kubwa sana kwa ccm , nani atatunga nyimbo za kurubuni wananchi ?

Hahaha....aisee!!!
 
image.jpgLet me show you what I'm talking about.

The human mouth is called a "pie hole."

The human being is called a "couch potato."

That is a device to summon food.

That is one of the many voices of food.

That is the portal for the passing of the food.

That is one of the many food transportation vehicles.

Humans bring the food, take the food,

ship the food, they drive the food,

they wear the food! That gets the food hot. That keeps the food cold.

That... I'm not sure what that is.

What do you know? Food!

That is the altar where they worship food.

That's what they eat when they eat too much.

That gets rid of guilt so they can eat more food.

Food! Food! Food! Food!

Food!


So you think they have enough?

Well, they don't. For humans, enough is never enough!


Pumzika Kwa Amani Njia yetu ni Moja.
 
Kweli acheni Mungu aitwe Mungu. Hii dunia hii dunia ina mwisho na mambo yake yana mwisho.
 
Back
Top Bottom