Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Nasikia jamaa alifikia hatua ya kutembea na masista(makasisi) wa kanisa katoliki ambao alipewa na parokia za Mbinga kama waalimu wenye weledi na taaluma ambao aliwaomba ili wafundishe kwenye shule yake ya Bakili Muluzi! Huyu Komba alijichumia laana!!
Pia kule Kimara kamjengea Lulu nyumba ambayo vijana wake wameapa kuirejesha hata ikibidi afe mtu!! Tutasikia mengi!!
Siasa chafu msibani hzifai ndugu kwani licha ya kuwa wote twaweza kufa lakini wafiwa waweza kuwa wafuasi wa upinzani sasa au baadae kama tukiwashawishi positively kujipambanua na CCM ya mabavu na kila namna ya ubaya. Usiuige ubaya wao ukatuletea sisi wastaarabu. Ukiweza omba radhi au huwezi basi kaa kimya kwani Mungu yu kazini asikukumbuke nawe bure.
Mimi sijaweka hisia wala sitawaliwi na hisia ndiyo maana nimekuwa politically neutral tangu utoto wangu, umeongelea habari za ndugu zako kama vile hawana kasoro kwamba Capt. Komba angekuwa ndugu yako hangeweza kujisahau na kujitoa ufahamu kwa kiasi kile cha kumtukana Jaji Warioba, simama na kuongelea habari zako usiongelee habari za ndugu zako maana ukweli wa ndugu zako unaujua wewe mwenyewe hapa unaongea tu kwa sababu sikufahamu(na pengine hata ID yako siyo realistic) na inawezekana ndugu zako wamejisahau sana kuliko! ila ukweli hauwezi kuusema, sijamtetea Capt. Komba kwa kauli yake dhidi ya Jaji Warioba ndiyo maana nikasema kila mtu ana mapungufu yake lakini pamoja na mapungufu yetu tusifikie mahali pakufurahia kifo cha mtu, mwenyewe unakiri kwamba kila mtu ana uhuru wa kutoa hisia zake either positively or negatively hivyo bado ukweli wa KILA MTU NA MTAZAMO WAKE UTABAKI PALEPALE! Na ulipomalizia hapo umeonyesha na kuni term mimi kama mCCM(mtazamo wako which is deadly wrong)! Mimi naongea hapa sina upande kisiasa nimezaliwa Karatu na kukulia Karatu na sasa hivi naandika hii comment nikiwa Karatu jimbo la upinzani nikikushukia nondo za ufisadi wa CHADEMA hapa Karatu kwenye Ardhi, Bodi ya maji, kiwanda cha ushirika cha maziwa nk utalia machozi, mimi sitaki kuwa mnafiki wala ku take side na kuona ufisadi wa upande ule na kufunika wa upande huu! Naongea as a politically non-aligned man mtafute mtu yeyote wa Karatu hata walioko humu kama yuko atakayepinga hayo niliyosema hapo juu, naongea facts, I'm not a politician!
hamna jipya hapa pia. kifo kwa kiumbe hai yoyote. nani kakamilika kiumbe hai hapa duniani asie kosea ? komba kama kiumbe alimkosea mh. warioba. sasa yuko.mbele ya haki. SISI TULIOHAI.MDA HUU WAJIBU TUMUACHIE MUUMBA WAKE NDIE ATAEUHUKUMU. WW.NA MM WATARAJIWA WA KUZIMU. TUNAMUELEZA NANI ? AU TUNAHADHI GANI YA KUHUKUMU KIUMBE HAI ? AU MFU ?
Mmmh naomba isiwe kweli
Ila Hatutakufa Kizembe Hivi Bali Tutakufa Kishujaa.
sasa nyimbo tutatoa wapi?
hamna jipya hapa pia. kifo kwa kiumbe hai yoyote. nani kakamilika kiumbe hai hapa duniani asie kosea ? komba kama kiumbe alimkosea mh. warioba. sasa yuko.mbele ya haki. SISI TULIOHAI.MDA HUU WAJIBU TUMUACHIE MUUMBA WAKE NDIE ATAEUHUKUMU. WW.NA MM WATARAJIWA WA KUZIMU. TUNAMUELEZA NANI ? AU TUNAHADHI GANI YA KUHUKUMU KIUMBE HAI ? AU MFU ?
Jana tuliokuwa msibani tulijaa simanzi kuu baada ya mgombea urais mmoja aliyebadili hali ya msiba kilio chake kuongeza simanzi kuu.Baadaye jioni mgombea huyo aliyeapa kuingia Magogoni kwa njia yeyote alifatwa na Wandishi wa habari wakampa pole naye akwa wazi akisema amesikitika sana na msiba huu Mungu angesubiri kura za CC na NEC ziishe kwanza kwani hapo amepoteza kura yake moja ya uhakika
labda zikuinsire wewe sio ma G thinker
MACCM hovyo sana. chuki mmezipanda wenyewe mioyoni mwa watanzania lakni mnategemea eti wawe na upendo, utoke wapi upendo? mnaotesha mapapai halafu mnategemea kuvuna mahindi kama si ujuha ni nn hiyo sasa?!! vichwa vyeti mnavipasua kwa marungu ya mapolisi, marafiki zetu mnawapasua utombo kwa mabomu ya mapolisi, ndugu zetu albino mnawakatakata viungo, meno na kucha zetu mnaving'oa bila ganzi, mali zetu mnakwiba na kwenda kuzificha uswizi huku sisi tukiteketea kwa njaa na magonjwa yanayozuilika....i mean mnatufanyia kila aina ya dhulumati halafu cha ajabu mnategemea eti tuwe na upendo nanyi. tufanyieni dhulumati lakini jueni nanyi pia ni binadamu, hata kama itachelewa lakni kwa kuwa ninyi nanyi ni binaadamu siku yenu itafika tu one day....
chuki mlizotujaza zimejaa vifuani mwetu lakin kuna siku ya siku chuki hizo zitalipuka.
Kwaiyo Postmortem report yako inasema komba kafa kwa madeni?......Hizi bangi msipende kuzivuta kavukavu wenzenu huwa wanachanganya na fegi na wanasokotea rizla ili kupunguza makali sasa wewe unavuta kavu nzima nzima lazima ikuchanganye medula oblangata​
Wakuu,
Kwa wale wanaofuatilia kwa makini vyeti vya vifo, au wameshiriki kwenye tafiti zinazohusu vifo au sababu za vifo watakuwa wamekutana na maneno haya underlying and immediate cause of death.
....... lakini kwa wale waliofuatilia kwa makini mwenendo hadi mauti ya mwanamuziki, kipenzi cha watanzania, kada na mwanachama mwaminifu wa CCM marehemu Komba waatakubaliana nami kuwa chanzo cha hilo li presha kilikuwa ni kuzidiwa kwa madeni, madeni yaliyopelekea kupigwa mnada nyumba zake na mali zake mbali mbali.