Mimi sijaweka hisia wala sitawaliwi na hisia ndiyo maana nimekuwa politically neutral tangu utoto wangu, umeongelea habari za ndugu zako kama vile hawana kasoro kwamba Capt. Komba angekuwa ndugu yako hangeweza kujisahau na kujitoa ufahamu kwa kiasi kile cha kumtukana Jaji Warioba, simama na kuongelea habari zako usiongelee habari za ndugu zako maana ukweli wa ndugu zako unaujua wewe mwenyewe hapa unaongea tu kwa sababu sikufahamu(na pengine hata ID yako siyo realistic) na inawezekana ndugu zako wamejisahau sana kuliko! ila ukweli hauwezi kuusema, sijamtetea Capt. Komba kwa kauli yake dhidi ya Jaji Warioba ndiyo maana nikasema kila mtu ana mapungufu yake lakini pamoja na mapungufu yetu tusifikie mahali pakufurahia kifo cha mtu, mwenyewe unakiri kwamba kila mtu ana uhuru wa kutoa hisia zake either positively or negatively hivyo bado ukweli wa KILA MTU NA MTAZAMO WAKE UTABAKI PALEPALE! Na ulipomalizia hapo umeonyesha na kuni term mimi kama mCCM(mtazamo wako which is deadly wrong)! Mimi naongea hapa sina upande kisiasa nimezaliwa Karatu na kukulia Karatu na sasa hivi naandika hii comment nikiwa Karatu jimbo la upinzani nikikushukia nondo za ufisadi wa CHADEMA hapa Karatu kwenye Ardhi, Bodi ya maji, kiwanda cha ushirika cha maziwa nk utalia machozi, mimi sitaki kuwa mnafiki wala ku take side na kuona ufisadi wa upande ule na kufunika wa upande huu! Naongea as a politically non-aligned man mtafute mtu yeyote wa Karatu hata walioko humu kama yuko atakayepinga hayo niliyosema hapo juu, naongea facts, I'm not a politician!