Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Pumzika kwa amani mheshimiwa Komba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa, wewe naye?
Mbona unaguna mheshimiwa...??
sasa nyimbo tutatoa wapi?
Nimecheka sana. Hivi kweli ccm wanapitaga mitaa hii? Maana misiba ya ccm Mitandaoni huwa ni sherehe kubwa.CCM badilikeni basi jamani Dunia tunapitaBado maknd. Na six...
nilihoji siku 1 yule jamaa kulala lala kwake Bungeni ni ugonjwa...kumbe kweli
Umeona mwili Wa marehemu? Loh sio kuvimba kule yule atakuwa hajafa Leo aiseeh..
Vyama Pinzani mbona hamtoi TAMKO la kifo cha Mh. J.Komba?