ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
R.I.P komba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutasikia mengi
Nape alisema kina warioba na wazee wa tume watakufa vipi mbona komba ametangulia?nape ametoa maoni gani juu ya kifo cha komba kufa kabla ya warioba?
Mwaka huu nani atakaengoza choir ya chama chetu kwenye kampen jamani?kutakuwa hakuna wahudhuriaji,any way Mungu amlaze pema.
Vijana wa CHADEMA jifunzeni kuwa kila mtu atakufa. Hata hao mnaowaona kama malaika lazima waonje mauti.
Ile habari ya kuuza nyumba yake kwa denimla crdb itakuwa imemchanganya sana..sasa ccm sijui nani atatunga nyimbo wakati wa kampeni..ni sheeeeeedaahh