TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

Na alaaniwe mtu ambae hawaheshimu wazee wake
Na alaaniwe mtu ambae anajiona yeye ni bora kuliko wananchi wote
Na alaaniwe mtu yeyote anaewaibia wanachi
Na alaaniwe mtu yeyote ambae 10M kwake ni ya mboga ya siku
Na alaaniwe anaechakachua katiba ya wananchi
Na alaaniwe mtu yeyote anaejiona atakaa madarakani /kutawala milele
 
Na alaaniwe mtu ambae hawaheshimu wazee wake
Na alaaniwe mtu ambae anajiona yeye ni bora kuliko wananchi wote
Na alaaniwe mtu yeyote anaewaibia wanachi
Na alaaniwe mtu yeyote ambae 10M kwake ni ya mboga ya siku
Na alaaniwe anaechakachua katiba ya wananchi
Na alaaniwe mtu yeyote anaejiona atakaa madarakani /kutawala milele

Na asilaaniwe mtu ambae anatumia m10 per day kama ametafuta kwa jasho lake .
 
Mungu amlaze pahala panapomstahiki ,na sijui yale madeni ya crdb yanaweza kuwa chanzo cha shambulizi la moyo?oh mzee warioba tafadhali msamehe huyu kwa zilee kauli zake kuhusiana na umauti kwani ametangulia yeye!
 
RIP captain mwenyezi Mungu akufanyie wepesi huko uendako,binadamu sisi hakuna alie msafi!
 
Marehemu Kaptain Komba alizaliwa Marchi 18 mwaka 1945 alipata elimu ya msingi huko nchini Tanzania katika shule ya Lituhi baadae elimu ya sekondari katika shule ya sekondari ya Songea iliyopo kusini mwa Tanzania kuanzia 1971 hadi mwaka 1974.

Mwaka 1975 hadi mwaka 1976 Marehemu John Komba alijiunga na chuo cha ualimu kilichopo Kleruu Iringa, Kusini Magharibi mwa Tanzania ambapo alihitimu cheti cha ualimu.

Marehemu John Komba ni mwanajeshi ambaye alipata mafunzo ya uafisa wa Jeshi katika chuo cha Maafisa wa Jeshi kilichopo Monduli kaskazini mwa Tanzania mwaka 1977 hadi mwaka 1978.

Keptain John Komba pia alipata mafunzo mengine ya siasa kutoka chuo Kikuu cha Washngton International ambapo alitunukiwa shahada ya siasa mwaka 2006 hadi mwaka 2008.


Chanzo
: BBC

Kazaliwa 1954
 
SUGU+LEMA.JPG
 
Ndo utabiri wa yule shehe alisema mwaka huu kuna kiongozi mkuu atakufa.
 
Mungu baba tusamehe sisi waja wako, maana hatuujui muda uliotupangia tunapiga makelele, matendo yetu hayakupendezi hata kidogo tunakuomba ututazame kwa jicho la huruma, mpokee mja huyu na umsamehe alipokosea maana kwako hakuna kinachoshindikana.Pengine yeye zambi zake alizifanyia uwani zikaonekana sisi zetu tunafanyia chumbani hazionekani lakini kuna tuliothubutu kumnyoshea kidole mtu huyu.
 
tumia akili wewe,hilo sio andiko la Mnyika,limeandikwa na rafiki wa Mnyika kwenye wall yake.mf.baadhi up.pu unaandikwa humu anaandikwa na Max?

Akili ataitoa wapi huyo EL Team 2015 , bandiko dogo tu limewekwa na Chapty Junior kwenye wall ya John Jonh Mnyika ameshamuukumu Mnyika kwamba ndio ameliandika.
 
Kubwa ambalo limemteketeza ni Deni la Benk ambalo limetokana na Komba kuacha kulipa kisha akaamua kumjengea nyumba Lulu na kuwa busy kugharamiwa kwa kila kitu na kusahau familia yake, jimbo lake na majukumu muhimu, Lulu ni Sehemu ya kifo chake kwani siku zake za mwisho alikuwa na mawazo mengi sana.
Ikiwa mpaka muda huu hujala ban, wewe kidume! Kunatembezwa ban balaa humu. Mpaka sasa kama 150 wapo lupango
 
Picha msibani.

Msiba upo Mbezi Beach Tangi Bovu,Kuna kituo maarufu kama Kwa Komba.

msiba kombaJF.png
Mh. Lukuvi akimfariji mke wa Marehemu Komba, Bi Salome Komba

Msiba Kombajf2.png
Khadija Kopa akilia kwa Uchungu nyumbani kwa Komba.

msiba Kombajf3.png
Mh. Sugu, Lukuvi na Lema wakiwa msibani nyumbani kwa marehemu Komba.
 
Ninapozisoma hizi comment za wadau, nyingi zimejaa chuki na husda...

Je! Komba alikuwa anatambua jinsi watu walivyokuwa wanamchukulia????..

Ni vyema tuishi maisha yampendezayo mungu ili pindi tutakapoiaga dunia tusemwe vizuri...

Nafasi tulizonazo zisiwe sababu za kuwanyanyasa wanyonge.
 
Back
Top Bottom