Carol Ndosi ni nani haswa?

Status
Not open for further replies.
CV yake imeshiba kama CV ya Sakina Dattoo Dewji....
 
Mkuu nakukubal sana kwa jitihada zako unazofanya kisiasa,kiuchumi na kijamii. Instagram unatumia jina gani?
 
Kama ni wa hapo kilala makumira, itakua unamfahamu cashmiri wa ndoro hunters, Urio na wengine, Carol.
 
Unatukumbuka? Tulikua wadada watatu. Mie mdau wako mkubwa sana wa nyama na ni rafiki wa Franklin pia your brother. Nyama choma ya mwezi wa nne tulichukua banda kwako na my friends banda flan lilikua na wadada wazuri wazuri la mwanzoni kabisa.
Wote ni wazigua? Mwezi wa sita mchukue mabanda zaidi
 
Unatukumbuka? Tulikua wadada watatu. Mie mdau wako mkubwa sana wa nyama na ni rafiki wa Franklin pia your brother. Nyama choma ya mwezi wa nne tulichukua banda kwako na my friends banda flan lilikua na wadada wazuri wazuri la mwanzoni kabisa.

Kumbe nilipatia.

Ni dada wa Kizzo.

Shaaban Robert baby....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…