Carol Ndosi: Rais Samia aache kusisitiza kila mara kuwa yeye ni Rais mwanamke, haipendezi

Je kama kuna wanaomchezea wakiwa na fikra ni mwanamama atawahurumia...wabongo ukiwadekezadekeza utaingia nao msikitini...
Bashiru alimwambia asiwe Rais baada ya JPM kuanza kuugua akawa mbishi akisema anasubiri kauli ya kutumbuliwa ya rais mwenyewe.

Kistaarabu Bashiru hakupaswa kuwepo hata mle bungeni na ni sehemu ya “mfumo dume” unaomtesa Mama akiwa Rais pale ikulu.
 
Carol Ndosi ni opposition members
Ambae alikuwa anaogopa kujitokeza wakati wa jiwe..naona sasa ana launch her political career upya...
I think that's too low for the boss

Revisit your remark
 
We mwache tu miaka 5 itaisha yupo kwenye kuwaambia watu kuwa yeye ni mwanamke.
 
Acheni kumzushia Bashiru mambo ya kijinga.

Hamuwezi kufanya mambo yenu bila kumuhusisha.
 
Bashiru muongo muongo
 
Kwa maoni yako mkuu. JPM unayemuamini wewe alimuamini yeye akampa umakamu wa rais.
Wapi nimesema namuamini JPM?

Humu ndani eatu sijui mnafikiri kwa kutumia makalio ama kitu gani, unashindwa kuelewa. Kwamba kila anaempinga huyo mama basi ni mfuasi wa JPM, aisee!

Jambo la pili ujue umakamu wa rais ni ceremonial figure, mtu yeyote anaweza kua makamu wa rais.
 
Tulia mkuu Rais Samia afanye kazi yake. Hizi kelele hazina msaada wowote kwa nchi na kwake pia.
 
[emoji654]UPUUZI TU ....UDHAIFU WA KATIBA YETU NDIYO CHANZO CHA KUWEPO HAYA MAUZA×2 YOTE ......


NB: chief mkuda hangaya hana uwezo wa kuongoza ...
Ataongoza na atamaliza muhula wake, atakuja Rais mwingine na utalalamika hivi hivi

Funzo: HUWEZI KUMRIDHISHA KILA BINADAMU
 
Carol Ndosi ni opposition members
Ambae alikuwa anaogopa kujitokeza wakati wa jiwe..naona sasa ana launch her political career upya...
Huu nao ni ule ujinga wa jiwe, kila anayekosoa mpinzani.
 
Kwa hiyo wewe ndio unapanga nini akosoe na nini asikosoe!? Ile statement yako kwenye post yako ya kwanza juu ya freedom of speech ina maana gani sasa!?
 
Kama mtu kutwa anakusakama kwa maneno ya hivyo mwisho unakuwa na inferiority complex
Inauma sana ukipitia hali kama hiyo
 
Hivi yule dogo wa Mbeya cha Matusi mbona simsikii tena,kwa hii hali ya mbowe kufungwa kwa kesi ya ugaidi na ingekuwa enzi za Magu angetukana mpaka atapike nyongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…