Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

unauhakika ? nin kilimpeleka

n muhimu kuliko niliyoyataja ,hv s n umasikini na tamaa ndivyo vlvyompeleka hapo.Unadhan angekuwa imara kiuchumi angefanyiwa hvyo? ...tushikamane kweny kuimarisha uchumi achana na petty issues
Ulitaka Jambo kama like lifanyike kila mtu akae kimya. Ngoja siku ukibakwa na wanaume SITA ndio utajua ilikuwa petty issue au sio petty issue. Mambo mengine Kaa kimya Kama huna la kusema.
 
Issue yoyote inayo husu ngono inapata mjadala mpana na wa kina nchi nzima, unaweza ukadhania nia aina gani ya mitazamo ya wengi wetu ilvyo kupitia mijadala inayo trend
Hii ni issue kubwa kuliko ngono.

Kuna masuala ya uongozi wa jeshi la nchi.

Kuna masuala ya haki za binadamu.

Kuna masuala ya military ordered revenge gang rape.

Kuna masuala ya kujenga uelewa wa jinai kwa jamii inayotoka kwenye teknolojia ndogo kwenda kwenye teknolojia kubwa.
 
Ulitaka Jambo kama like lifanyike kila mtu akae kimya. Ngoja siku ukibakwa na wanaume SITA ndio utajua ilikuwa petty issue au sio petty issue. Mambo mengine Kaa kimya Kama huna la kusema

Kupitia uzi huu tegemea kutukanwa sana mleta mada.
ntatuknwa na wapumbavu tu na majuha ...Wenye akili washanielewa !
 
Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!

Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka ..Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu...

Hivi hilo tukio n la kwanza ?? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hv kumtetea ?..mbona yule mbunge Gekul wa kule manyara hamkuungana kama hv ? au kisa alifanyiwa mwanaume?

Wagoni wangap wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao ? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafki?

Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?

Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikaman kama mlivyokazania hiko kiissue?

Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyng sana na hvyo kuzdsha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kweny Lindi la umasikin mbona hapa amshikamani kuihoji serikali?

Mpk Sasa Bado mnaongozwa na katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh!...na Wala haliwaumiz ila la huyo' mwiz wa mapenz na hao wagon wenzake mnaona la maana saaanaa...Je n lamaana kuliko katiba mpya ?

Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !

Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni!!

Na ndio maana Kwa akili Hz mambo ya hovyo yatazd kutendwa na Viongoz wa juu..Kwa kuwa wanajua n kwanamna gan akil zenu zlivyo !

Mpk naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule ? kama na yey ameanza kudandia Vitu vya wagoni? ...inafikrisha mno !

Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu,ufisad umasikin ,ujinga ,maradhi na upumbavu uliyowajaa?

Ntarudi niwasalimie!!!!
We ni m.p.u.m.b.a.v.u unaona lile ni tukio dogo.??
 
Mtoa Mada
Matukio kama hayo yanapotokea kwenye jamii ni lazima yajadiliwe tena ukizingatia tetesi za wahusika,kitendo hicho kinaonyesha jamii ni corrupt kwa kiwango cha juu,na jamii yoyote ambayo iko corrupted kimaadili huwa haipigi maendeleo katika nyanja zingine za kiuchumi,kisiasa,n.k
HII NI ALARMING CALL
TUJITATHIMINI NA HUU MPOROKO WA MAADILI
 
Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!

Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka ..Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu...

Hivi hilo tukio n la kwanza ?? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hv kumtetea ?..mbona yule mbunge Gekul wa kule manyara hamkuungana kama hv ? au kisa alifanyiwa mwanaume?

Wagoni wangap wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao ? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafki?

Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?

Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikaman kama mlivyokazania hiko kiissue?

Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyng sana na hvyo kuzdsha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kweny Lindi la umasikin mbona hapa amshikamani kuihoji serikali?

Mpk Sasa Bado mnaongozwa na katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh!...na Wala haliwaumiz ila la huyo' mwiz wa mapenz na hao wagon wenzake mnaona la maana saaanaa...Je n lamaana kuliko katiba mpya ?

Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !

Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni!!

Na ndio maana Kwa akili Hz mambo ya hovyo yatazd kutendwa na Viongoz wa juu..Kwa kuwa wanajua n kwanamna gan akil zenu zlivyo !

Mpk naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule ? kama na yey ameanza kudandia Vitu vya wagoni? ...inafikrisha mno !

Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu,ufisad umasikin ,ujinga ,maradhi na upumbavu uliyowajaa?

Ntarudi niwasalimie!!!!
Watu wamejadili ngono au wamejadili kitu kilichotokea kwa yule binti?
Je dada yako angekua kafanyiwa vile au binti yako ungejiskiaje!?
Kwa akili hizi CCM lazima iendelee kutawala.
Kwa hiyo kisa kuna ishu zingine basi UNYANYASAJI WA KIJINSIA USIJADILIWE!?
 
This is not pity issue

Gang rape - this is unacceptable

Watoto wengi wa uswahilini wanajiingiza katika kutembea na wanaume za WATU kutokana na MAISHA. So we need to be conscious enough to deal with them in positive. Way and not (GANG -RAPE).
 
Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!

Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka ..Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu...

Hivi hilo tukio n la kwanza ?? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hv kumtetea ?..mbona yule mbunge Gekul wa kule manyara hamkuungana kama hv ? au kisa alifanyiwa mwanaume?

Wagoni wangap wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao ? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafki?

Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?

Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikaman kama mlivyokazania hiko kiissue?

Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyng sana na hvyo kuzdsha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kweny Lindi la umasikin mbona hapa amshikamani kuihoji serikali?

Mpk Sasa Bado mnaongozwa na katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh!...na Wala haliwaumiz ila la huyo' mwiz wa mapenz na hao wagon wenzake mnaona la maana saaanaa...Je n lamaana kuliko katiba mpya ?

Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !

Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni!!

Na ndio maana Kwa akili Hz mambo ya hovyo yatazd kutendwa na Viongoz wa juu..Kwa kuwa wanajua n kwanamna gan akil zenu zlivyo !

Mpk naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule ? kama na yey ameanza kudandia Vitu vya wagoni? ...inafikrisha mno !

Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu,ufisad umasikin ,ujinga ,maradhi na upumbavu uliyowajaa?

Ntarudi niwasalimie!!!!
Maskini hawana ufanisi kwenye matumizi ya akili na muda.
 
Ni suala kubwa hili kwani linahusishwa na watu wanaoaminiwa na pia wenye heshima katika nchi yetu
Hili sio jambo dogo kwani mpaka Rais kaliongelea na watawajibishwa
Kwani wao nani wafichwe?
Kesi kubwa hii na ya aibu pia kwa jeshi kama hamlioni hivyo
Ubakaji na uonezi wowote lazima ukemewe na hizo kesi zingine pia zimekemewa ndio maana unazijua vizuri
 
Back
Top Bottom