Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

unauhakika ? nin kilimpeleka

n muhimu kuliko niliyoyataja ,hv s n umasikini na tamaa ndivyo vlvyompeleka hapo.Unadhan angekuwa imara kiuchumi angefanyiwa hvyo? ...tushikamane kweny kuimarisha uchumi achana na petty issues
Ulitaka Jambo kama like lifanyike kila mtu akae kimya. Ngoja siku ukibakwa na wanaume SITA ndio utajua ilikuwa petty issue au sio petty issue. Mambo mengine Kaa kimya Kama huna la kusema.
 
Issue yoyote inayo husu ngono inapata mjadala mpana na wa kina nchi nzima, unaweza ukadhania nia aina gani ya mitazamo ya wengi wetu ilvyo kupitia mijadala inayo trend
Hii ni issue kubwa kuliko ngono.

Kuna masuala ya uongozi wa jeshi la nchi.

Kuna masuala ya haki za binadamu.

Kuna masuala ya military ordered revenge gang rape.

Kuna masuala ya kujenga uelewa wa jinai kwa jamii inayotoka kwenye teknolojia ndogo kwenda kwenye teknolojia kubwa.
 
Ulitaka Jambo kama like lifanyike kila mtu akae kimya. Ngoja siku ukibakwa na wanaume SITA ndio utajua ilikuwa petty issue au sio petty issue. Mambo mengine Kaa kimya Kama huna la kusema

Kupitia uzi huu tegemea kutukanwa sana mleta mada.
ntatuknwa na wapumbavu tu na majuha ...Wenye akili washanielewa !
 
We ni m.p.u.m.b.a.v.u unaona lile ni tukio dogo.??
 
Mtoa Mada
Matukio kama hayo yanapotokea kwenye jamii ni lazima yajadiliwe tena ukizingatia tetesi za wahusika,kitendo hicho kinaonyesha jamii ni corrupt kwa kiwango cha juu,na jamii yoyote ambayo iko corrupted kimaadili huwa haipigi maendeleo katika nyanja zingine za kiuchumi,kisiasa,n.k
HII NI ALARMING CALL
TUJITATHIMINI NA HUU MPOROKO WA MAADILI
 
Watu wamejadili ngono au wamejadili kitu kilichotokea kwa yule binti?
Je dada yako angekua kafanyiwa vile au binti yako ungejiskiaje!?
Kwa akili hizi CCM lazima iendelee kutawala.
Kwa hiyo kisa kuna ishu zingine basi UNYANYASAJI WA KIJINSIA USIJADILIWE!?
 
This is not pity issue

Gang rape - this is unacceptable

Watoto wengi wa uswahilini wanajiingiza katika kutembea na wanaume za WATU kutokana na MAISHA. So we need to be conscious enough to deal with them in positive. Way and not (GANG -RAPE).
 
Maskini hawana ufanisi kwenye matumizi ya akili na muda.
 
Ni suala kubwa hili kwani linahusishwa na watu wanaoaminiwa na pia wenye heshima katika nchi yetu
Hili sio jambo dogo kwani mpaka Rais kaliongelea na watawajibishwa
Kwani wao nani wafichwe?
Kesi kubwa hii na ya aibu pia kwa jeshi kama hamlioni hivyo
Ubakaji na uonezi wowote lazima ukemewe na hizo kesi zingine pia zimekemewa ndio maana unazijua vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…