Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

Subiri ndugu yako wa damu atakapofanyiwa unyama Kama huo na video kurushwa angani.
Siku hiyo utatuelewa.
 
Mtu anabakwa unaandika Petty issue daah shida Watanzania wamevamiwa na Wakimbizi sana ule Utu wa Mtanzania haupo tena..
 
Matukio yote unavyosema yalinyamaziwa SIO KWELI watu waliyasemea kwa kadri ya ukubwa wake la babati mtu kuingiziwa chupa nyuma WAHALIFU HAO HAWAKUJIREKOD VIDEO sass hii ya binti wa tomb dovya IMEVUNJA REKODI kwa whusika kujirekodi tena sio vibaka ni wanajeshi wanaotakiwa kutulinda na kulinda usalama wa nchi huoni tofauti ww mleta mada
MLETA MADA HUFAI
 
Una akili gani? Ya kutetea gang rape?. Usijipe umuhimu ambao hauna.
mleta mada ni kiazi, et kuna mambo makubwa ya kujadili, ndo tuseme majirani wanamwambia "ndugu mchunguze bint yako maana mienendo yake inatia mashaka" yeye atawajibu, nipo bussy namuandalia bint yangu maisha sina muda wa kufuatilia mambo ya kijinga.

MLETA MADA NI KIAZI

ephen_ ukuje kama bado
 
Mtu kajiita chawa ...hamshangai tu sifa za machawa zinafahamika yuko tayari hata kutatuliwa linda ili tu apate chochote..Yuko radhi hata kuuza utu wake ili apate chochote nyie wenyewe mnawaona machawa akili zao.Sasa huyu yy anajiita chawa wa zamani ina maana yy ni mkongwe ndo maana anaona kubwaka na watu watano ni ishu nyepesi maana unaweza kuta yy alishabakwa na watu kumi🤣🤣🤣 na akatoboa.Kwa akili ya mleta mada mm naona tumuache tu yy kwake hili swala ni dogo sanaaaa amepitia mengi sana kwenye uchawa wake tumsamehemi jamani.
 
Hiyo ni petty issue. Hao wote ni wahuni tu, huyo Dem hayo aliofanyiwa amesha yazowea, kama sio hiyo video kusambaa Wala asingeenda popote kushtaki angekaa kimya.
Ni wanawake wachache ambao wakifanyiwa vitendo vya hivyo huwa wanaenda kutoa ripoti kwa sababu wanaogopa kuwa watadharauliwa na kunyooshewa vidole na jamii kama wewe hapo ambavyo unasema kazoea tayari ushaanza kumnyooshea vidole.
si wanawake tu hata wanaume. Hii si issue ndogo hao vijana wa tena walikuwa jeshini na huyo kamanda wao wamevunja sheria kwa kiasi kikubwa.
 
Hiyo ni petty issue. Hao wote ni wahuni tu, huyo Dem hayo aliofanyiwa amesha yazowea, kama sio hiyo video kusambaa Wala asingeenda popote kushtaki angekaa kimya.
Thobitisha kashazoea. Na kama kazoea hilo ndilo linafanya kosa la jinai lisiwe kosa la jinai?
 
Pamoja na changamoto nyingi tulizonazo bado hatujafikia hatua ya kutokuheshimu utu wa mtu, hicho tu kinadisqualify point za msingi ulizoongelea kwenye uandishi wako, kwahyo unatuambia na huyo mme wa mtu alawitiwe sasa if that is what need to be done
 
Bora hata hilo, ki ubinadamu linaumiza, kuliko huo ujinga wa hizo timu zenu mbili!! Muda wote ni mpira tu huku nchi inaliwa tu, hata Brazil haiko hivyo!!
 
Hili takataka nalo ni mama la familia? Huna utu hata kidogo! Wewe unaona walitaka kuipotezea mpaka raia wamekuja juu ndiyo polisi wanajifaragua halafu wewe unaita petty issue?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…