Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!

Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka ..Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu...

Hivi hilo tukio n la kwanza ?? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hv kumtetea ?..mbona yule mbunge Gekul wa kule manyara hamkuungana kama hv ? au kisa alifanyiwa mwanaume?

Wagoni wangap wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao ? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafki?

Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?

Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikaman kama mlivyokazania hiko kiissue?

Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyng sana na hvyo kuzdsha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kweny Lindi la umasikin mbona hapa amshikamani kuihoji serikali?

Mpk Sasa Bado mnaongozwa na katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh!...na Wala haliwaumiz ila la huyo' mwiz wa mapenz na hao wagon wenzake mnaona la maana saaanaa...Je n lamaana kuliko katiba mpya ?

Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !

Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni!!

Na ndio maana Kwa akili Hz mambo ya hovyo yatazd kutendwa na Viongoz wa juu..Kwa kuwa wanajua n kwanamna gan akil zenu zlivyo !

Mpk naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule ? kama na yey ameanza kudandia Vitu vya wagoni? ...inafikrisha mno !

Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu,ufisad umasikin ,ujinga ,maradhi na upumbavu uliyowajaa?

Ntarudi niwasalimie!!!!
Subiri ndugu yako wa damu atakapofanyiwa unyama Kama huo na video kurushwa angani.
Siku hiyo utatuelewa.
 
Mtu anabakwa unaandika Petty issue daah shida Watanzania wamevamiwa na Wakimbizi sana ule Utu wa Mtanzania haupo tena..
 
Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!

Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka ..Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu...

Hivi hilo tukio n la kwanza ?? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hv kumtetea ?..mbona yule mbunge Gekul wa kule manyara hamkuungana kama hv ? au kisa alifanyiwa mwanaume?

Wagoni wangap wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao ? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafki?

Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?

Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikaman kama mlivyokazania hiko kiissue?

Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyng sana na hvyo kuzdsha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kweny Lindi la umasikin mbona hapa amshikamani kuihoji serikali?

Mpk Sasa Bado mnaongozwa na katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh!...na Wala haliwaumiz ila la huyo' mwiz wa mapenz na hao wagon wenzake mnaona la maana saaanaa...Je n lamaana kuliko katiba mpya ?

Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !

Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni!!

Na ndio maana Kwa akili Hz mambo ya hovyo yatazd kutendwa na Viongoz wa juu..Kwa kuwa wanajua n kwanamna gan akil zenu zlivyo !

Mpk naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule ? kama na yey ameanza kudandia Vitu vya wagoni? ...inafikrisha mno !

Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu,ufisad umasikin ,ujinga ,maradhi na upumbavu uliyowajaa?

Ntarudi niwasalimie!!!!
Matukio yote unavyosema yalinyamaziwa SIO KWELI watu waliyasemea kwa kadri ya ukubwa wake la babati mtu kuingiziwa chupa nyuma WAHALIFU HAO HAWAKUJIREKOD VIDEO sass hii ya binti wa tomb dovya IMEVUNJA REKODI kwa whusika kujirekodi tena sio vibaka ni wanajeshi wanaotakiwa kutulinda na kulinda usalama wa nchi huoni tofauti ww mleta mada
MLETA MADA HUFAI
 
Una akili gani? Ya kutetea gang rape?. Usijipe umuhimu ambao hauna.
mleta mada ni kiazi, et kuna mambo makubwa ya kujadili, ndo tuseme majirani wanamwambia "ndugu mchunguze bint yako maana mienendo yake inatia mashaka" yeye atawajibu, nipo bussy namuandalia bint yangu maisha sina muda wa kufuatilia mambo ya kijinga.

MLETA MADA NI KIAZI

ephen_ ukuje kama bado
 
Mtu kajiita chawa ...hamshangai tu sifa za machawa zinafahamika yuko tayari hata kutatuliwa linda ili tu apate chochote..Yuko radhi hata kuuza utu wake ili apate chochote nyie wenyewe mnawaona machawa akili zao.Sasa huyu yy anajiita chawa wa zamani ina maana yy ni mkongwe ndo maana anaona kubwaka na watu watano ni ishu nyepesi maana unaweza kuta yy alishabakwa na watu kumi🤣🤣🤣 na akatoboa.Kwa akili ya mleta mada mm naona tumuache tu yy kwake hili swala ni dogo sanaaaa amepitia mengi sana kwenye uchawa wake tumsamehemi jamani.
 
Hiyo ni petty issue. Hao wote ni wahuni tu, huyo Dem hayo aliofanyiwa amesha yazowea, kama sio hiyo video kusambaa Wala asingeenda popote kushtaki angekaa kimya.
Ni wanawake wachache ambao wakifanyiwa vitendo vya hivyo huwa wanaenda kutoa ripoti kwa sababu wanaogopa kuwa watadharauliwa na kunyooshewa vidole na jamii kama wewe hapo ambavyo unasema kazoea tayari ushaanza kumnyooshea vidole.
si wanawake tu hata wanaume. Hii si issue ndogo hao vijana wa tena walikuwa jeshini na huyo kamanda wao wamevunja sheria kwa kiasi kikubwa.
 
Hiyo ni petty issue. Hao wote ni wahuni tu, huyo Dem hayo aliofanyiwa amesha yazowea, kama sio hiyo video kusambaa Wala asingeenda popote kushtaki angekaa kimya.
Thobitisha kashazoea. Na kama kazoea hilo ndilo linafanya kosa la jinai lisiwe kosa la jinai?
 
Pamoja na changamoto nyingi tulizonazo bado hatujafikia hatua ya kutokuheshimu utu wa mtu, hicho tu kinadisqualify point za msingi ulizoongelea kwenye uandishi wako, kwahyo unatuambia na huyo mme wa mtu alawitiwe sasa if that is what need to be done
 
Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!

Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka. Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu.

Hivi hilo tukio n la kwanza ? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hivi kumtetea ? Mbona yule Mbunge Gekul wa kule Manyara hamkuungana kama hivi? au kisa alifanyiwa mwanaume?

Wagoni wangapi wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafiki?

Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?

Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikamana kama mlivyokazania hiko kiissue?

Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyingi sana na hivyo kuzidisha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kwenye Lindi la umasikini mbona hapa amshikamani kuihoji Serikali?

Mpaka Sasa bado mnaongozwa na Katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh! na wala haliwaumizi ila la huyo' mwizi wa mapenzi na hao wagoni wenzake mnaona la maana sana. Je n lamaana kuliko katiba mpya ?

Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !

Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni.

Na ndio maana Kwa akili Hizi mambo ya hovyo yatazidi kutendwa na Viongoz wa juu. Kwa kuwa wanajua ni kwanamna gani akil zenu zlivyo.

Mpaka naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule? kama na yeye ameanza kudandia Vitu vya wagoni?.inafikrisha mno .

Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu, ufisadi, Umasikini, ujinga ,Maradhi na Upumbavu uliyowajaa?

Nitarudi niwasalimie!
Bora hata hilo, ki ubinadamu linaumiza, kuliko huo ujinga wa hizo timu zenu mbili!! Muda wote ni mpira tu huku nchi inaliwa tu, hata Brazil haiko hivyo!!
 
Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!

Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka. Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu.

Hivi hilo tukio n la kwanza ? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hivi kumtetea ? Mbona yule Mbunge Gekul wa kule Manyara hamkuungana kama hivi? au kisa alifanyiwa mwanaume?

Wagoni wangapi wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafiki?

Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?

Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikamana kama mlivyokazania hiko kiissue?

Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyingi sana na hivyo kuzidisha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kwenye Lindi la umasikini mbona hapa amshikamani kuihoji Serikali?

Mpaka Sasa bado mnaongozwa na Katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh! na wala haliwaumizi ila la huyo' mwizi wa mapenzi na hao wagoni wenzake mnaona la maana sana. Je n lamaana kuliko katiba mpya ?

Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !

Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni.

Na ndio maana Kwa akili Hizi mambo ya hovyo yatazidi kutendwa na Viongoz wa juu. Kwa kuwa wanajua ni kwanamna gani akil zenu zlivyo.

Mpaka naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule? kama na yeye ameanza kudandia Vitu vya wagoni?.inafikrisha mno .

Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu, ufisadi, Umasikini, ujinga ,Maradhi na Upumbavu uliyowajaa?

Nitarudi niwasalimie!
Hili takataka nalo ni mama la familia? Huna utu hata kidogo! Wewe unaona walitaka kuipotezea mpaka raia wamekuja juu ndiyo polisi wanajifaragua halafu wewe unaita petty issue?
 
Back
Top Bottom