mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Acha bangi we mzeeHujui nini?
Kwanza kabisa, ulipoandika "sexy gang" ulimaanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha bangi we mzeeHujui nini?
Kwanza kabisa, ulipoandika "sexy gang" ulimaanisha nini?
Subiri ndugu yako wa damu atakapofanyiwa unyama Kama huo na video kurushwa angani.Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!
Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka ..Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu...
Hivi hilo tukio n la kwanza ?? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hv kumtetea ?..mbona yule mbunge Gekul wa kule manyara hamkuungana kama hv ? au kisa alifanyiwa mwanaume?
Wagoni wangap wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao ? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafki?
Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?
Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikaman kama mlivyokazania hiko kiissue?
Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyng sana na hvyo kuzdsha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kweny Lindi la umasikin mbona hapa amshikamani kuihoji serikali?
Mpk Sasa Bado mnaongozwa na katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh!...na Wala haliwaumiz ila la huyo' mwiz wa mapenz na hao wagon wenzake mnaona la maana saaanaa...Je n lamaana kuliko katiba mpya ?
Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !
Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni!!
Na ndio maana Kwa akili Hz mambo ya hovyo yatazd kutendwa na Viongoz wa juu..Kwa kuwa wanajua n kwanamna gan akil zenu zlivyo !
Mpk naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule ? kama na yey ameanza kudandia Vitu vya wagoni? ...inafikrisha mno !
Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu,ufisad umasikin ,ujinga ,maradhi na upumbavu uliyowajaa?
Ntarudi niwasalimie!!!!
Matukio yote unavyosema yalinyamaziwa SIO KWELI watu waliyasemea kwa kadri ya ukubwa wake la babati mtu kuingiziwa chupa nyuma WAHALIFU HAO HAWAKUJIREKOD VIDEO sass hii ya binti wa tomb dovya IMEVUNJA REKODI kwa whusika kujirekodi tena sio vibaka ni wanajeshi wanaotakiwa kutulinda na kulinda usalama wa nchi huoni tofauti ww mleta madaSina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!
Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka ..Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu...
Hivi hilo tukio n la kwanza ?? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hv kumtetea ?..mbona yule mbunge Gekul wa kule manyara hamkuungana kama hv ? au kisa alifanyiwa mwanaume?
Wagoni wangap wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao ? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafki?
Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?
Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikaman kama mlivyokazania hiko kiissue?
Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyng sana na hvyo kuzdsha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kweny Lindi la umasikin mbona hapa amshikamani kuihoji serikali?
Mpk Sasa Bado mnaongozwa na katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh!...na Wala haliwaumiz ila la huyo' mwiz wa mapenz na hao wagon wenzake mnaona la maana saaanaa...Je n lamaana kuliko katiba mpya ?
Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !
Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni!!
Na ndio maana Kwa akili Hz mambo ya hovyo yatazd kutendwa na Viongoz wa juu..Kwa kuwa wanajua n kwanamna gan akil zenu zlivyo !
Mpk naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule ? kama na yey ameanza kudandia Vitu vya wagoni? ...inafikrisha mno !
Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu,ufisad umasikin ,ujinga ,maradhi na upumbavu uliyowajaa?
Ntarudi niwasalimie!!!!
Kwanini mleta mada haoni tofautiTena wanaifanya kwa kujirekodi huku wakijua kabisa kuna sheria alafu anaita pettu issue,mtoa mada ana matatizo sana.
Hujui nini?Acha bangi we mzee
mleta mada ni kiazi, et kuna mambo makubwa ya kujadili, ndo tuseme majirani wanamwambia "ndugu mchunguze bint yako maana mienendo yake inatia mashaka" yeye atawajibu, nipo bussy namuandalia bint yangu maisha sina muda wa kufuatilia mambo ya kijinga.Una akili gani? Ya kutetea gang rape?. Usijipe umuhimu ambao hauna.
Kwamba hiyo issue ni ndogo? au kwakuwa aliyefanyiwa hana undugu wowote na wewe?yaan inashangaza mno mkuu...
Another petty bloated entitled brat throwing tantrums.nonsensical!
Yeah right...the bull crap you vomited.nonsensical!
Hiyo ni petty issue. Hao wote ni wahuni tu, huyo Dem hayo aliofanyiwa amesha yazowea, kama sio hiyo video kusambaa Wala asingeenda popote kuripoti angekaa kimya.Unaita military ordered revenge gang rape petty issue?
Ni wanawake wachache ambao wakifanyiwa vitendo vya hivyo huwa wanaenda kutoa ripoti kwa sababu wanaogopa kuwa watadharauliwa na kunyooshewa vidole na jamii kama wewe hapo ambavyo unasema kazoea tayari ushaanza kumnyooshea vidole.Hiyo ni petty issue. Hao wote ni wahuni tu, huyo Dem hayo aliofanyiwa amesha yazowea, kama sio hiyo video kusambaa Wala asingeenda popote kushtaki angekaa kimya.
Thobitisha kashazoea. Na kama kazoea hilo ndilo linafanya kosa la jinai lisiwe kosa la jinai?Hiyo ni petty issue. Hao wote ni wahuni tu, huyo Dem hayo aliofanyiwa amesha yazowea, kama sio hiyo video kusambaa Wala asingeenda popote kushtaki angekaa kimya.
Bora hata hilo, ki ubinadamu linaumiza, kuliko huo ujinga wa hizo timu zenu mbili!! Muda wote ni mpira tu huku nchi inaliwa tu, hata Brazil haiko hivyo!!Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!
Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka. Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu.
Hivi hilo tukio n la kwanza ? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hivi kumtetea ? Mbona yule Mbunge Gekul wa kule Manyara hamkuungana kama hivi? au kisa alifanyiwa mwanaume?
Wagoni wangapi wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafiki?
Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?
Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikamana kama mlivyokazania hiko kiissue?
Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyingi sana na hivyo kuzidisha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kwenye Lindi la umasikini mbona hapa amshikamani kuihoji Serikali?
Mpaka Sasa bado mnaongozwa na Katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh! na wala haliwaumizi ila la huyo' mwizi wa mapenzi na hao wagoni wenzake mnaona la maana sana. Je n lamaana kuliko katiba mpya ?
Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !
Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni.
Na ndio maana Kwa akili Hizi mambo ya hovyo yatazidi kutendwa na Viongoz wa juu. Kwa kuwa wanajua ni kwanamna gani akil zenu zlivyo.
Mpaka naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule? kama na yeye ameanza kudandia Vitu vya wagoni?.inafikrisha mno .
Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu, ufisadi, Umasikini, ujinga ,Maradhi na Upumbavu uliyowajaa?
Nitarudi niwasalimie!
Hili takataka nalo ni mama la familia? Huna utu hata kidogo! Wewe unaona walitaka kuipotezea mpaka raia wamekuja juu ndiyo polisi wanajifaragua halafu wewe unaita petty issue?Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!
Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka. Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu.
Hivi hilo tukio n la kwanza ? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hivi kumtetea ? Mbona yule Mbunge Gekul wa kule Manyara hamkuungana kama hivi? au kisa alifanyiwa mwanaume?
Wagoni wangapi wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafiki?
Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?
Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikamana kama mlivyokazania hiko kiissue?
Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyingi sana na hivyo kuzidisha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kwenye Lindi la umasikini mbona hapa amshikamani kuihoji Serikali?
Mpaka Sasa bado mnaongozwa na Katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh! na wala haliwaumizi ila la huyo' mwizi wa mapenzi na hao wagoni wenzake mnaona la maana sana. Je n lamaana kuliko katiba mpya ?
Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !
Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni.
Na ndio maana Kwa akili Hizi mambo ya hovyo yatazidi kutendwa na Viongoz wa juu. Kwa kuwa wanajua ni kwanamna gani akil zenu zlivyo.
Mpaka naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule? kama na yeye ameanza kudandia Vitu vya wagoni?.inafikrisha mno .
Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu, ufisadi, Umasikini, ujinga ,Maradhi na Upumbavu uliyowajaa?
Nitarudi niwasalimie!