Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

very logic kudos kwako! wapuuz na Weny utapiamlo wa akili hawatoelewa ...mpk Sasa hawajui priority Yao n ipi?
 
Ile siyo petty issue

Ubakaji siyo petty issue

Bladifakin
 
Ubakaji sio Petty issue mkuu ndiyo maana kwenye katiba yetu ina adhabu kali sana na hata kwenye misamaha ya rais mbakaji hapewi msamaha na pia hata dhamana sidhani kama ipo.
 
Kiasilia mwanamke ana nguvu ya kuwamiliki wanaume hata 10 kwa wakati mmoja.ILA IWE MAKUBALIANO.
umeshajiuliza yule dada yupo hospital gani kalazwa sababu ya kufanyiwa vile?
Ndio aliwamudu.kosa KUMDHALILISHA KWA KUMREKODI NA KUSAMBAZA.
Nani alikudanganya kuhusu hilo wewe mpuuzi!!! Mwanamke gani anaweza kumiliki wanaume 10 kwa wakati mmoja???!!! Au neno "kumiliki" unamaanisha nini? Nilivyoelewa kutokana na post yako ni kufanya mapenzi na wanaume 10 kwa wakati mmoja!!! Hayupo huyo mwanamke duniani!!!!
 
Kama amekosea afute kauli yake hiyo
Na kama analikomalia basi ana tatizo kubwa
Sio suala dogo kabisa hili
Ni mtu mwenye roho mbaya tu ndio anaweza kutetea haya au ni mmoja wao
 
Kuna wetoto kibao wanakufa na kuuliwa hamna anaye jali.Hivi hu yo binti alifikaje eneo La tukio?
 
wewe ni mpumbavu.
 
Huo ni uhalifu kama uhalifu mwingine.kitashangaza nakua jambo kubwa endapo vyombo vyakushungulikia vitakaa kimya.zaidi ya hapo hizo kelele ni mihemko tu ya wabongo kwasababu hatuna mambo yakutusumbua vichwa.Baada ya wiki mbili likiibuka jingine hili tunalisahau tunarukia jingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…