Chatta g
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 585
- 955
Wabongo tunapenda starehe has a ngono na simba yanga
Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
very logic kudos kwako! wapuuz na Weny utapiamlo wa akili hawatoelewa ...mpk Sasa hawajui priority Yao n ipi?Hii nchi siku hizi tunajadili day to day issues tu. Mfano simba na yanga,ikiisha hyo kama hivi kuna bint wa kubakwa,next week nitaibuka lingine ndo ivo tu yaani.
Lakini kuna kupanda kwa gharama za maisha,masuala ya afya,elimu,ajira kwa vijana,kilimo,miundombinu ambavyo kimsingi ndyo vitu vya msingi kujadiliwa lakini duuuh! My country peoples wananishangaza sana.
senseless!Hili takataka nalo ni mama la familia? Huna utu hata kidogo! Wewe unaona walitaka kuipotezea mpaka raia wamekuja juu ndiyo polisi wanajifaragua halafu wewe unaita petty issue?
nonsensical!Takataka katika ubora. Au angepigwa mtungo dadaako au mamaako labda.
excellent!Hizi media zetu na watu maarufu wangekua wanapush mambo ya msingi ya kitaifa kama wanavyopush hili jambo basi tungekua mbali sana
Ile sio ngono ni ULAWITI wa kundi ambalo ni kosa la jinai.Issue yoyote inayo husu ngono inapata mjadala mpana na wa kina nchi nzima, unaweza ukadhania nia aina gani ya mitazamo ya wengi wetu ilvyo kupitia mijadala inayo trend
Severe nonsensical!Siku akibakwa baba yako ndo utajua kama ni petty issue au la.
Mama yako angefanyiwa vile ungesema ni petty issue??Kupitia uzi huu tegemea kutukanwa sana mleta mada.
Ile siyo petty issueSina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!
Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka. Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu.
Hivi hilo tukio n la kwanza ? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hivi kumtetea ? Mbona yule Mbunge Gekul wa kule Manyara hamkuungana kama hivi? au kisa alifanyiwa mwanaume?
Wagoni wangapi wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafiki?
Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?
Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikamana kama mlivyokazania hiko kiissue?
Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyingi sana na hivyo kuzidisha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kwenye Lindi la umasikini mbona hapa amshikamani kuihoji Serikali?
Mpaka Sasa bado mnaongozwa na Katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh! na wala haliwaumizi ila la huyo' mwizi wa mapenzi na hao wagoni wenzake mnaona la maana sana. Je n lamaana kuliko katiba mpya ?
Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !
Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni.
Na ndio maana Kwa akili Hizi mambo ya hovyo yatazidi kutendwa na Viongoz wa juu. Kwa kuwa wanajua ni kwanamna gani akil zenu zlivyo.
Mpaka naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule? kama na yeye ameanza kudandia Vitu vya wagoni?.inafikrisha mno .
Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu, ufisadi, Umasikini, ujinga ,Maradhi na Upumbavu uliyowajaa?
Nitarudi niwasalimie!
Nani alikudanganya kuhusu hilo wewe mpuuzi!!! Mwanamke gani anaweza kumiliki wanaume 10 kwa wakati mmoja???!!! Au neno "kumiliki" unamaanisha nini? Nilivyoelewa kutokana na post yako ni kufanya mapenzi na wanaume 10 kwa wakati mmoja!!! Hayupo huyo mwanamke duniani!!!!Kiasilia mwanamke ana nguvu ya kuwamiliki wanaume hata 10 kwa wakati mmoja.ILA IWE MAKUBALIANO.
umeshajiuliza yule dada yupo hospital gani kalazwa sababu ya kufanyiwa vile?
Ndio aliwamudu.kosa KUMDHALILISHA KWA KUMREKODI NA KUSAMBAZA.
Huyo ni mjinga kama lilivyo jina lake!Sexy gang ndiyo nini?
Kama amekosea afute kauli yake hiyoBinadamu ambaye hana AKILI ni Kama mnyama wa kawaida.
Hawa watoto wa uswazi wanajiuza na kutembea na wanaume za watu in order to feed their stomachs
So ukimkamata mtoto Kama yule na kumbaka unakuwa unamuonea bure
So this is not pity issue hajalishi hili tukio kafanya nani
So mtoa mada hayupo sahihi.
Kuna wetoto kibao wanakufa na kuuliwa hamna anaye jali.Hivi hu yo binti alifikaje eneo La tukio?Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!
Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka. Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu.
Hivi hilo tukio n la kwanza ? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hivi kumtetea ? Mbona yule Mbunge Gekul wa kule Manyara hamkuungana kama hivi? au kisa alifanyiwa mwanaume?
Wagoni wangapi wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafiki?
Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?
Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikamana kama mlivyokazania hiko kiissue?
Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyingi sana na hivyo kuzidisha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kwenye Lindi la umasikini mbona hapa amshikamani kuihoji Serikali?
Mpaka Sasa bado mnaongozwa na Katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh! na wala haliwaumizi ila la huyo' mwizi wa mapenzi na hao wagoni wenzake mnaona la maana sana. Je n lamaana kuliko katiba mpya ?
Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !
Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni.
Na ndio maana Kwa akili Hizi mambo ya hovyo yatazidi kutendwa na Viongoz wa juu. Kwa kuwa wanajua ni kwanamna gani akil zenu zlivyo.
Mpaka naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule? kama na yeye ameanza kudandia Vitu vya wagoni?.inafikrisha mno .
Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu, ufisadi, Umasikini, ujinga ,Maradhi na Upumbavu uliyowajaa?
Nitarudi niwasalimie!
wewe ni mpumbavu.Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa!
Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka. Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu.
Hivi hilo tukio n la kwanza ? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina said mbona hamkuungana kama hivi kumtetea ? Mbona yule Mbunge Gekul wa kule Manyara hamkuungana kama hivi? au kisa alifanyiwa mwanaume?
Wagoni wangapi wanakamatwa wanafanyiwa umafia na wanaume wenzao? nikisema Double standard mtakataa nyie wanafiki?
Na Je Kwa akili zenu zilizodumaa Lina athari ipi kubwa Kwa jamii?
Hiko kihoja kina athari kuliko matrilioni yanayoibiwa na wachache Tena kila kukicha mbona hapa hamshikamana kama mlivyokazania hiko kiissue?
Dollar Kwa Sasa n adimu na athari kibao zinaonekana ikiwemo kupanda maradufu Kwa bidhaa nyingi sana na hivyo kuzidisha ugumu wa maisha yenu ambayo Yapo kwenye Lindi la umasikini mbona hapa amshikamani kuihoji Serikali?
Mpaka Sasa bado mnaongozwa na Katiba mbovu iliyopita na wakati ,hili mnaliona sio Lenu eehhh! na wala haliwaumizi ila la huyo' mwizi wa mapenzi na hao wagoni wenzake mnaona la maana sana. Je n lamaana kuliko katiba mpya ?
Kuna Juha hapa anaweza tokea kusema eti Kwa Sababu sio ndugu yako n Hiv niliyoyaeleza n muhimu Kwa mustakabali wa kizazi na kizazi kuliko hizo petty issues mlizokomaa nazo !
Ambazo tunajua kabisa wataishia kulindanalindana Kisha hakuna hatua yoyote ya maana itakayochukiliwa juu ya hao wagoni.
Na ndio maana Kwa akili Hizi mambo ya hovyo yatazidi kutendwa na Viongoz wa juu. Kwa kuwa wanajua ni kwanamna gani akil zenu zlivyo.
Mpaka naanza kupata mashaka na huyo' Jamaa wa TLS alivyorukia hiko kihoja ataweza kutupeleka kule? kama na yeye ameanza kudandia Vitu vya wagoni?.inafikrisha mno .
Niwaulize tena yaan mnaumizwa na hilo kuliko mikataba mibovu, ufisadi, Umasikini, ujinga ,Maradhi na Upumbavu uliyowajaa?
Nitarudi niwasalimie!
sawa! mafuta yamepanda huko una habari wew manic bipolar?wewe ni mpumbavu.
Kwa Uzi wako huu, kama Katiba ingeruhusu unaenda TRA unalipia kumchapa mtu Kofi la kerb, ningelifanya hivyo kwako! Mimi mzazi mwenye Binti kama huyo nipo ready to burn the world for my daughter!!senseless!