Nimekwambia unipe jibu.Sio haujaelewa Israel inataka arshi yote ya palestine na sio nchi nyingine njoo na ushahidi kuwa Israel inataka nchi nyingine mbali na Palestine. Yaani Israel inataka kuwaondoa wapalestina katina Ramani ya dunia.
Ushawekewa ushahidi chini kule kausome.Haujanijibu swali langu, sijabadilisha swali nakuuliza kwa bold letters
Nimekuambia leta nchi ambayo imeisumbua Israel mpaka wayahudi wakaomba hifadhi katika nchi zingine kama wakimbizi toka Israel ilipoweka himaya Palestina mwaka 1948 ?
Hizo ni data za internet naomba uniambie sehemu ambayo wayahudi wameomba hifadhi kama wakimbizi baada ya kupookea kipigo kutoka kwa waarabu.Nimekwambia unipe jibu.
Kama Israel haitaki ardhi zingine 1948 kwanini ilianzisha expansion??
KWanini iliteka Sinai na Gollan heights 1967 na kwanini iliikalia Bint jubeir ya Lebanon na kusimika bendera ya Israel??
Nipe hayo majibu kesha nitakuletea ushahidi.
Ushahidi wa Waisraeli kukimbia nchi kisa mapigano huo hapo chini.
View attachment 2931925View attachment 2931926
Unaye kariri maisha ni ww unaye dhani kwenda Ulaya na kusomea Ulaya kila kitu kikubwa kwenye maisha ya binadamu hali yakuwa sasa hivi kuna baadhi ya nchi ukienda ni bora mara 10 ya hiyo ulaya.Safi sana naona unakariri maisha maisha ya sasa sio kama zamani. Wewe oa halafu huna uwezo hata wa kula milo mitatu uje ututolee huo mfano na uje utufundishe maisha. Maisha hayana formula lakini maisha ni kujipanga. Nilichokisema kuhusu kuoa ni ukweli mchungu. Kumbuka pia wapo walioowa wakiwa hawana hela baada ya kufanikiwa wakajua kuwa walikosea kuchagua mke. Nimejifunza mengi sana katika muda mfui nilioishi hapa duniani.
Kusafiri sio sawa na kuomba hifadhi ndugu yangu hujui maana ya Vita ndio maana nakuambia kuwa toka 1948 hakuna nchi iliyomtetemesha Israel. Niletee ushahidi kuwa waisraeli wapo katika kambi ya wakimbizi kama wahanga wa vita hilo tu. Na kumbuka Israel ni taifa toka 1948. Naomba nikuulize ni miaka mingapi hapo ?Ushawekewa ushahidi chini kule kausome.
LEBANON.
WACHA TUKASWALI TARAWIIH WEWE SOMA USHAHIDI HAPO CHINI NISHAKUWEKEA.
Unani-attack kwa sababu umeshindwa mada narudia kwa mara ya tano naomba uniletee nchi iliyompiga Israel mpaka wayahudi wakapewa recognition na UNHCR kama wakimbizi ? Na kumbuka Israel ipo hapo toka 1948Unaye kariri maisha ni ww unaye dhani kwenda Ulaya na kusomea Ulaya kila kitu kikubwa kwenye maisha ya binadamu hali yakuwa sasa hivi kuna baadhi ya nchi ukienda ni bora mara 10 ya hiyo ulaya.
Siwezi kuku-attack lakini inaelekea haujui historia ya Israel vizuri kuna kitu kinaitwa six day war niliacha kukiongeelea kwa sababu nilikuwa nataka tuongelee hali ya sasa. Waarabu walivyoona wayahudi wamejimilikisha Palestina walijikusanya na kupigana kwa pamoja against Israel.(Ilikuwa vita ya siku sita) Baada ya vita Israeli ilikuwa imeteka Ukanda wa Gaza, Rasi ya Sinai, Ukingo wa Magharibi wa Mto Yordani (pamoja na Yerusalemu Mashariki), na Milima ya Golan.Takriban Waarabu milioni moja waliwekwa chini ya udhibiti wa moja kwa moja wa Israeli katika maeneo mapya yaliyotekwa. Urefu wa kimkakati wa Israeli ulikua angalau kilomita 300 kusini, kilomita 60 mashariki, na kilomita 20 za ardhi ngumu sana kaskazini, mali ya usalama ambayo ingefaa katika Vita vya Yom Kippur miaka sita baadaye. Hii ni nguvu ya shule na kujituma. Hapa nimekujibu kwa nini Israel iliteka Sinai na Golan.Nimekwambia unipe jibu.
Kama Israel haitaki ardhi zingine 1948 kwanini ilianzisha expansion??
KWanini iliteka Sinai na Gollan heights 1967 na kwanini iliikalia Bint jubeir ya Lebanon na kusimika bendera ya Israel??
Nipe hayo majibu kesha nitakuletea ushahidi.
Ushahidi wa Waisraeli kukimbia nchi kisa mapigano huo hapo chini.
View attachment 2931925View attachment 2931926
Hilo neno la kumwambia mwenzako hana" Akili" inaonekana jinsi ulivo kosa wewe hizo akili. Kwenye mijadala huwezi kuweka maneno kama hayo. Maana wewe inaonekana unsshindwa kujenga hoja na mwisho unakimbilia kwenye maneno kama hayo. Ingekua kile kipindi cha utoto tungesema umeshindwa kupigana unakimbilia mawe.Huna akili binadamu wanaishi kwa kutegemeana hakuna binadamu anaye weza kujitosheleza kwa lolote.
Na ndio maana nakuambia kuwa iwapo maisha yanaenda kwa hiyo tafsiri yako sasa hivi hukutakiwa kuwa Ujerumani bali ulitakiwa uende chumbani kwako usinzie na uiote hiyo elimu uliyo enda kuifuata Ujerumani.
Pesa bila elimu ni mzigo , kwa ulimwengu wa sasa.Tunasoma kupata nafasi za ajira nzuri ili tupate pesa. Kama pesa ipo ukasome utafute nini?
Mkuu inatakiwa utambue nguvu ya elimu katika maamuzi , then utakuja kujua kuwa kwa ulimwengu wa sasa elimu bora ina mchango mkubwa.Ni vi-Nchi masikini tu ndo vina hii dhana ya ukisoma ng'ambo ndo umeula. Sana sana vi-Nchi vya bara la Asia(dunia ya pili) na Afrika(dunia ya tatu/bara la giza).
Elimu bora ni dhana pana sana Mkuu, unajua vi-Nchi vyetu hivi vya ulimwengu wa tatu, bado tuna akili za kitumwa na hatujui kuwa muhimu wa elimu uko pale tu elimu ikitumika.Mkuu inatakiwa utambue nguvu ya elimu katika maamuzi , then utakuja kujua kuwa kwa ulimwengu wa sasa elimu bora ina mchango mkubwa.
Elimu bila pesa ni sawa na uchizi.Pesa bila elimu ni mzigo , kwa ulimwengu wa sasa.
Kwa hiyo kama hana akili asiambiwe?Hilo neno la kumwambia mwenzako hana" Akili" inaonekana jinsi ulivo kosa wewe hizo akili. Kwenye mijadala huwezi kuweka maneno kama hayo. Maana wewe inaonekana unsshindwa kujenga hoja na mwisho unakimbilia kwenye maneno kama hayo. Ingekua kile kipindi cha utoto tungesema umeshindwa kupigana unakimbilia mawe.
Hii historia wewe umemezeshwa na umeongea uongo mtupu.Siwezi kuku-attack lakini inaelekea haujui historia ya Israel vizuri kuna kitu kinaitwa six day war niliacha kukiongeelea kwa sababu nilikuwa nataka tuongelee hali ya sasa. Waarabu walivyoona wayahudi wamejimilikisha Palestina walijikusanya na kupigana kwa pamoja against Israel.(Ilikuwa vita ya siku sita) Baada ya vita Israeli ilikuwa imeteka Ukanda wa Gaza, Rasi ya Sinai, Ukingo wa Magharibi wa Mto Yordani (pamoja na Yerusalemu Mashariki), na Milima ya Golan.Takriban Waarabu milioni moja waliwekwa chini ya udhibiti wa moja kwa moja wa Israeli katika maeneo mapya yaliyotekwa. Urefu wa kimkakati wa Israeli ulikua angalau kilomita 300 kusini, kilomita 60 mashariki, na kilomita 20 za ardhi ngumu sana kaskazini, mali ya usalama ambayo ingefaa katika Vita vya Yom Kippur miaka sita baadaye. Hii ni nguvu ya shule na kujituma. Hapa nimekujibu kwa nini Israel iliteka Sinai na Golan.
Hii ni kweliWaarabu wana mafuta. Hawana shida ya kuumiza vichwa kusolve physics
Halafu pia hayo maelezo uloleta ni ya mapigano yaloanzishwa na wapalestina kabla ya six days war yaliyoungwa mkono na Syria,Jordan na Egypt.Siwezi kuku-attack lakini inaelekea haujui historia ya Israel vizuri kuna kitu kinaitwa six day war niliacha kukiongeelea kwa sababu nilikuwa nataka tuongelee hali ya sasa. Waarabu walivyoona wayahudi wamejimilikisha Palestina walijikusanya na kupigana kwa pamoja against Israel.(Ilikuwa vita ya siku sita) Baada ya vita Israeli ilikuwa imeteka Ukanda wa Gaza, Rasi ya Sinai, Ukingo wa Magharibi wa Mto Yordani (pamoja na Yerusalemu Mashariki), na Milima ya Golan.Takriban Waarabu milioni moja waliwekwa chini ya udhibiti wa moja kwa moja wa Israeli katika maeneo mapya yaliyotekwa. Urefu wa kimkakati wa Israeli ulikua angalau kilomita 300 kusini, kilomita 60 mashariki, na kilomita 20 za ardhi ngumu sana kaskazini, mali ya usalama ambayo ingefaa katika Vita vya Yom Kippur miaka sita baadaye. Hii ni nguvu ya shule na kujituma. Hapa nimekujibu kwa nini Israel iliteka Sinai na Golan.
Ati we jamaa ni falaa wa kutupwa??Hizo ni data za internet naomba uniambie sehemu ambayo wayahudi wameomba hifadhi kama wakimbizi baada ya kupookea kipigo kutoka kwa waarabu.
Asante kwa kuniita Fala. Nipe report kuwa Israel wamekuwa wakimbizi katika nchi ya jirani kutokana na kupigwa vita na nchi ya kiarabu. Wayahudi kusafiri sio kukimbia nchi, kipigo kinaumiza nchi pale wananchi wanakimbia nchi mpaka mpaka wa Jirani na kuomba hifadhi kama wakimbizi. Naomba unipe hio nchi ambayo iliwafanya wayahudi kuwa hivi ? Katika historia ya dunia hakuna nchi iliyo shindwa vita bila ya kuwa na wakimbizi.Ati we jamaa ni falaa wa kutupwa??
UNABISHANA NA DATA ZA ISRAEL WENYEWE???
NANI KALETA HIZO DATA??
AU ZIMETUNGWA??
IMMIGRATION OFFICIALS WA ISRAEL NDIO WAMETOA HIZO RIPOTI WEWE NI NANI UPINGE??
UNA AKILI KWELI WE JAMAA??
KWAHIYO UHAMIAJI ISRAEL WAMEONGOPA AU SIO??
Tarehe 11 Machi 1978 watendaji wa PLO wakiongozwa na Dalal Mugrabi, walitekeleza mauaji ya Pwani ya Pwani ndani ya Israeli ambayo yalisababisha vifo vya Waisraeli 37, wakiwemo watoto 13, na 76 kujeruhiwa. Kwa kujibu, vikosi vya Israeli vilivamia kusini mwa Lebanoni ambayo PLO ilifanya kazi mara kwa mara katika miaka ya 1970. Kuanzia usiku wa Machi 14–15 na kufikia kilele siku chache baadaye, wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF) waliteka eneo lote la kusini mwa nchi isipokuwa kwa jiji la Tiro na eneo linalozunguka. Operesheni hii inajulikana katika Israeli kama Operesheni Litani, lengo lililotajwa lilikuwa ni kuondoa vituo vya PLO huko Lebanon kusini mwa Mto Litani, ili kupata usalama zaidi wa kaskazini mwa Israeli na kusaidia wanamgambo wa Kikristo wa Lebanon katika kipindi cha kiraia cha Lebanon. Vita - haswa Jeshi Huria la Lebanon. Tarehe 15 Machi 1978 serikali ya Lebanon iliwasilisha maandamano makali kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya uvamizi wa Israel, ikisema kuwa haina uhusiano wowote na operesheni ya Wapalestina.Halafu pia hayo maelezo uloleta ni ya mapigano yaloanzishwa na wapalestina kabla ya six days war yaliyoungwa mkono na Syria,Jordan na Egypt.
Izungumzie six days war kama six days war ya June.
Basi sawa tufanye umepatia maelezo yako.
Vipi kuhusu Lebanon kuvamiwa 1960s na ardhi yao kukaliwa mpaka 2006???
Hilo unalizungumziaje??
Ushapewa ripoti kuwa kuna malaki ya wayahudi walihama NCHI KISA VITA KUANZIA OKTOBA 7 2023.Asante kwa kuniita Fala. Nipe report kuwa Israel wamekuwa wakimbizi katika nchi ya jirani kutokana na kupigwa vita na nchi ya kiarabu. Wayahudi kusafiri sio kukimbia nchi, kipigo kinaumiza nchi pale wananchi wanakimbia nchi mpaka mpaka wa Jirani na kuomba hifadhi kama wakimbizi. Naomba unipe hio nchi ambayo iliwafanya wayahudi kuwa hivi ?