Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Sasa mkuu, unataka kunambia wapalestina ni elimu ndio inafanya wakose wa kuwatetea.....!?
Wapalestina hawako kwenye system katika mataifa makubwa. Wapalestina walikuwa mbele ya wahindi, wachina na wakorea katika kupewa hifadhi Ulaya na Marekani. Lakini angalia against all odds wahindi ndio Ma CEO wa makampuni makubwa marekani. Wapalestina wakifika ulaya na marekani wanafanya biashara za kikuda badala ya kuinfiltrate system. C.E.O wa makampuni makubwa kama Adobe, Nvidia, Alphabet, Google na Microsoft wana influence kubwa katika serikali za first world countries. Wao wakifika Ulaya wanakazana na kujilipua na kukesha na swala tano kila siku.
 
Ndivyo mnavyojidanganya!?
Hamuna exposure kabbisa.
Nioneshe chuo Tz ambacho kina world score kiasi kupata world rank kama hivyo vya Saudi Arabia.
Waarabu hawapendi shule na ukienda katika nchi zao wanaofanya kazi ni tabaka la chini. Tembea uone watanzania inabidi msafiri tatizo watanzania tumekariri waaaarabu na wahindi wana akili au wana ustaarabu wa hali ya juu sana. Nimezunguka dunia nakuambia Mzungu ana afadhali kuliko race yeyote duniani. Mzungu ana utu, kitu ambacho wahindi na waarabu hawana hata kidogo. Uarabunii na India kila kitu kipo kimatabaka hao kwa wao wanabaguana. HUku Ujerumani wahindi na waarabu hawakai pamoja wanatengana kutokana na caste(tabaka) zao. Yaani hapa naongelea waarabu wanaotoka nchi mmoja wanatengana kutokana na caste na hawaoleani. Hii pia kwa wahindi. Natamani watanzania waizunguke dunia na kuijua dunia ilivyo. Utumwa bado upo Uarabuni na Uhindini. Kinachoniumiza tuna wapa kipaumbele sana hawa jamaa. Waafrika tuna utu na ubinadamu sana kuliko hawa watu.
 
Hao Saudi Arabia wana chuo chochote kimeingia hata 10 bora duniani ?
Wana vyuo vina world score na ni vizuri ukisoma na ukapata cheti hapo.
Je ISRAEL INA CHUO KILICHOINGIA KUMI BORA???
Mbona hamuishiwi sababu ninyi jamaa???
Umeanza kusema wasomi wachache umeletewa vyuo sasa unaruka mara ooh kilichoingia kumi bora.
 
Mtafuteni sana Elimu usimuache aende zake, Hayo Mataifa uliyoyaweka hapo kwa sasa wanajiandaa na Changamoto za miaka 100 ijayo.

Hao ndio waligundua kuwa Mafuta ukiyaunguza yanatoa nishati, ndio wakawapa deal waarabu, bahati mbaya waarabu ni kama waafrika wakila leo wanaridhika hawawazi kesho.

Wazungu na Wachina/Wajapan na Wakarea wataacha kutumia Mafuta wakati Mafuta yakiwa yapo mengi na sisi tukiwa tumegundua yetu.

Mzazi hakikisha watoto wako wanapata Elimu nzuri
 
Waarabu hawapendi shule na ukienda katika nchi zao wanaofanya kazi ni tabaka la chini. Tembea uone watanzania inabidi msafiri tatizo watanzania tumekariri waaaarabu na wahindi wana akili au wana ustaarabu wa hali ya juu sana. Nimezunguka dunia nakuambia Mzungu ana afadhali kuliko race yeyote duniani. Mzungu ana utu, kitu ambacho wahindi na waarabu hawana hata kidogo. Uarabunii na India kila kitu kipo kimatabaka hao kwa wao wanabaguana. HUku Ujerumani wahindi na waarabu hawakai pamoja wanatengana kutokana na caste(tabaka) zao. Natamani watanzania waizunguke dunia na kuijua dunia ilivyo. Utumwa bado upo Uarabuni na Uhindini. Kinachoniumiza tuna wapa kipaumbele sana hawa jamaa. Waafrika tuna utu na ubinadamu sana kuliko hawa watu.
Nimekuletea list ya vyuo ndani ya Saudia Arabia unaniletea taarabu.
Kwahiyo hivyo vyuo huwa ni vitupu haviingii wanafunzi???
Kichwa chako bure kabisa.
 
Waarabu hawapendi shule na ukienda katika nchi zao wanaofanya kazi ni tabaka la chini. Tembea uone watanzania inabidi msafiri tatizo watanzania tumekariri waaaarabu na wahindi wana akili au wana ustaarabu wa hali ya juu sana. Nimezunguka dunia nakuambia Mzungu ana afadhali kuliko race yeyote duniani. Mzungu ana utu, kitu ambacho wahindi na waarabu hawana hata kidogo. Uarabunii na India kila kitu kipo kimatabaka hao kwa wao wanabaguana. HUku Ujerumani wahindi na waarabu hawakai pamoja wanatengana kutokana na caste(tabaka) zao. Natamani watanzania waizunguke dunia na kuijua dunia ilivyo. Utumwa bado upo Uarabuni na Uhindini. Kinachoniumiza tuna wapa kipaumbele sana hawa jamaa. Waafrika tuna utu na ubinadamu sana kuliko hawa watu.
Naunga mkono hoja yako
 
Mishahara hio hio ndio inadundulizwa watu wawe na kampuni zao, nyumba zao, n.k. hata Elon Musk kawahi kuajiriwa, hata mengi aliwahi kuajiriwa, hata vunja bei aliwahi kuajiriwa....
Mkuu wewe ni mgumu kuelewa namaanisha je ni asilimia ngapi ya ma engineer iliyotoboa, wewe unaongelea asilimia 1 kati ya mia.
Africa ndio bara masikini lakini, waAfrika baadhi ni matajiri kuliko hata wazungu, lakini hio haibadilishi ukweli kwamba Afrika ndio maskini zaidi, ndo maana kuna kitu inaitwa Asilimia.
 
Pro USA huyo anamini kusoma havard ndo kuelimika.
Na kuna punguani mwingine namletea list ya vyuo vya Saudi Arabia vyenye world score ananiletea taarabu sijui waarabu hawapendi kusoma sijui wanaofanya kazi tabaka la chini.
Asa hivyo vyuo vilivyojengwa na serikali ya Saudia yenyewe vyenye world score wanasoma kina nani???
 
Wapalestina hawako kwenye system katika mataifa makubwa. Wapalestina walikuwa mbele ya wahindi, wachina na wakorea katika kupewa hifadhi Ulaya na Marekani. Lakini angalia against all odds wahindi ndio Ma CEO wa makampuni makubwa marekani. Wapalestina wakifika ulaya na marekani wanafanya biashara za kikuda badala ya kuinfiltrate system. C.E.O wa makampuni makubwa kama Adobe, Nvidia, Alphabet, Google na Microsoft wana influence kubwa katika serikali za first world countries. Wao wakifika Ulaya wanakazana na kujilipua na kukesha na swala tano kila siku.
Bado sio point Russia elimu waliyo nayo imesaidia nini wasipigwe vikwazo na Hao mabebeberu....!?,
Kipindi Yugoslavia inavamiwa na NATO unafikiri hao jamaa walikua weupe kichwani...!?
 
Elimu ni kwa wasaka tonge mkuu, kama unatonge unawapa kazi wasakaji, badala ya wewe kulihangaikia, ndo maana Kazi ya America ni kubuni Sports Car ila watumiaji ni hao wasio na elimu.

Kumbuka engineer hawezi miliki Lamborghini wala Porsche.
Ha ha ha! Ni sawa na hoteli kubwa 5⭐; chef huwa wana vyakula vyao ugali au ubwabwa maharagwe wanakula baadaye uani huko hawali menu za wateja!
 
Waarabu Wana mifumo Yao ya maisha hawahitaji kukaa darasni ili watoboe,kukaa darasani kukariri tuachiwe sisi Wakristo.
Ukishapoteza miaka ya darasani unarudi kwa wazazi wako kuwapa mzigo wa bajeti ya ugali wakati walichoma milioni 20 kukusomesha.
 
Wapalestina hawako kwenye system katika mataifa makubwa. Wapalestina walikuwa mbele ya wahindi, wachina na wakorea katika kupewa hifadhi Ulaya na Marekani. Lakini angalia against all odds wahindi ndio Ma CEO wa makampuni makubwa marekani. Wapalestina wakifika ulaya na marekani wanafanya biashara za kikuda badala ya kuinfiltrate system. C.E.O wa makampuni makubwa kama Adobe, Nvidia, Alphabet, Google na Microsoft wana influence kubwa katika serikali za first world countries. Wao wakifika Ulaya wanakazana na kujilipua na kukesha na swala tano kila siku.
Nikuletee list ya madaktari na wahandisi wakubwa wenye asili ya Kipalestina???
 
Back
Top Bottom