Wapalestina hawako kwenye system katika mataifa makubwa. Wapalestina walikuwa mbele ya wahindi, wachina na wakorea katika kupewa hifadhi Ulaya na Marekani. Lakini angalia against all odds wahindi ndio Ma CEO wa makampuni makubwa marekani. Wapalestina wakifika ulaya na marekani wanafanya biashara za kikuda badala ya kuinfiltrate system. C.E.O wa makampuni makubwa kama Adobe, Nvidia, Alphabet, Google na Microsoft wana influence kubwa katika serikali za first world countries. Wao wakifika Ulaya wanakazana na kujilipua na kukesha na swala tano kila siku.