Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Wapalestina hawako kwenye system katika mataifa makubwa. Wapalestina walikuwa mbele ya wahindi, wachina na wakorea katika kupewa hifadhi Ulaya na Marekani. Lakini angalia against all odds wahindi ndio Ma CEO wa makampuni makubwa marekani. Wapalestina wakifika ulaya na marekani wanafanya biashara za kikuda badala ya kuinfiltrate system. C.E.O wa makampuni makubwa kama Adobe, Nvidia, Alphabet, Google na Microsoft wana influence kubwa katika serikali za first world countries. Wao wakifika Ulaya wanakazana na kujilipua na kukesha na swala tano kila siku.Sasa mkuu, unataka kunambia wapalestina ni elimu ndio inafanya wakose wa kuwatetea.....!?
Naona chuo chenye nafuu kinashika nafasi za sabini kwa ubora duniani, sijaona chuo chochote kimeweza kuingia hata 20 bora duniani ?Sijui lini waarabu wataachwa kuwawasha ninyi majamaa.
Saudi Arabia ina world ranked universities pia.
HIvyo sio lazima mpaka waende wakajazane Havard acha uzwazwa.
View attachment 2929563View attachment 2929564
Mpe za uso huyo US babySababu haujasoma Havard haimaanishi huna Elimu. Nchi nyingi hapo zinge tamani nazo ziwe na matajiri wengi kama waarabu.
Kuna watu wengi hawajasoma Havard na wamefanya uvumbuzi mkubwa mkubwa duniani
Waarabu hawapendi shule na ukienda katika nchi zao wanaofanya kazi ni tabaka la chini. Tembea uone watanzania inabidi msafiri tatizo watanzania tumekariri waaaarabu na wahindi wana akili au wana ustaarabu wa hali ya juu sana. Nimezunguka dunia nakuambia Mzungu ana afadhali kuliko race yeyote duniani. Mzungu ana utu, kitu ambacho wahindi na waarabu hawana hata kidogo. Uarabunii na India kila kitu kipo kimatabaka hao kwa wao wanabaguana. HUku Ujerumani wahindi na waarabu hawakai pamoja wanatengana kutokana na caste(tabaka) zao. Yaani hapa naongelea waarabu wanaotoka nchi mmoja wanatengana kutokana na caste na hawaoleani. Hii pia kwa wahindi. Natamani watanzania waizunguke dunia na kuijua dunia ilivyo. Utumwa bado upo Uarabuni na Uhindini. Kinachoniumiza tuna wapa kipaumbele sana hawa jamaa. Waafrika tuna utu na ubinadamu sana kuliko hawa watu.Ndivyo mnavyojidanganya!?
Hamuna exposure kabbisa.
Nioneshe chuo Tz ambacho kina world score kiasi kupata world rank kama hivyo vya Saudi Arabia.
Ana closed mindset hajui anachokionngea.Naona vyuo ni vya sabini huko kwa ubora duniani, sijaona chuo chote kimeweza kuingia hata 20 bora duniani ?
Wana vyuo vina world score na ni vizuri ukisoma na ukapata cheti hapo.Hao Saudi Arabia wana chuo chochote kimeingia hata 10 bora duniani ?
Kwa akili zipi walizonazo waingie 20 bora!!!Naona vyuo ni vya sabini huko kwa ubora duniani, sijaona chuo chote kimeweza kuingia hata 20 bora duniani ?
Pro USA huyo anamini kusoma havard ndo kuelimika.Tanzania ina wahitimu kiasi gani vyuo vikuu vya kimataifa???
Kwani nchi za kiarabu hazina vyuo vikuu??
Au kuhitimu nje tu ndio njia sahihi ya kuwa na elimu??
MBONA UNA MITIZAMO FINYU WE JAMAA???
Au tukuletee vyuo vikuu vya kiarabu uvione??
Nimekuletea list ya vyuo ndani ya Saudia Arabia unaniletea taarabu.Waarabu hawapendi shule na ukienda katika nchi zao wanaofanya kazi ni tabaka la chini. Tembea uone watanzania inabidi msafiri tatizo watanzania tumekariri waaaarabu na wahindi wana akili au wana ustaarabu wa hali ya juu sana. Nimezunguka dunia nakuambia Mzungu ana afadhali kuliko race yeyote duniani. Mzungu ana utu, kitu ambacho wahindi na waarabu hawana hata kidogo. Uarabunii na India kila kitu kipo kimatabaka hao kwa wao wanabaguana. HUku Ujerumani wahindi na waarabu hawakai pamoja wanatengana kutokana na caste(tabaka) zao. Natamani watanzania waizunguke dunia na kuijua dunia ilivyo. Utumwa bado upo Uarabuni na Uhindini. Kinachoniumiza tuna wapa kipaumbele sana hawa jamaa. Waafrika tuna utu na ubinadamu sana kuliko hawa watu.
Naunga mkono hoja yakoWaarabu hawapendi shule na ukienda katika nchi zao wanaofanya kazi ni tabaka la chini. Tembea uone watanzania inabidi msafiri tatizo watanzania tumekariri waaaarabu na wahindi wana akili au wana ustaarabu wa hali ya juu sana. Nimezunguka dunia nakuambia Mzungu ana afadhali kuliko race yeyote duniani. Mzungu ana utu, kitu ambacho wahindi na waarabu hawana hata kidogo. Uarabunii na India kila kitu kipo kimatabaka hao kwa wao wanabaguana. HUku Ujerumani wahindi na waarabu hawakai pamoja wanatengana kutokana na caste(tabaka) zao. Natamani watanzania waizunguke dunia na kuijua dunia ilivyo. Utumwa bado upo Uarabuni na Uhindini. Kinachoniumiza tuna wapa kipaumbele sana hawa jamaa. Waafrika tuna utu na ubinadamu sana kuliko hawa watu.
Mkuu wewe ni mgumu kuelewa namaanisha je ni asilimia ngapi ya ma engineer iliyotoboa, wewe unaongelea asilimia 1 kati ya mia.Mishahara hio hio ndio inadundulizwa watu wawe na kampuni zao, nyumba zao, n.k. hata Elon Musk kawahi kuajiriwa, hata mengi aliwahi kuajiriwa, hata vunja bei aliwahi kuajiriwa....
Na kuna punguani mwingine namletea list ya vyuo vya Saudi Arabia vyenye world score ananiletea taarabu sijui waarabu hawapendi kusoma sijui wanaofanya kazi tabaka la chini.Pro USA huyo anamini kusoma havard ndo kuelimika.
Bado sio point Russia elimu waliyo nayo imesaidia nini wasipigwe vikwazo na Hao mabebeberu....!?,Wapalestina hawako kwenye system katika mataifa makubwa. Wapalestina walikuwa mbele ya wahindi, wachina na wakorea katika kupewa hifadhi Ulaya na Marekani. Lakini angalia against all odds wahindi ndio Ma CEO wa makampuni makubwa marekani. Wapalestina wakifika ulaya na marekani wanafanya biashara za kikuda badala ya kuinfiltrate system. C.E.O wa makampuni makubwa kama Adobe, Nvidia, Alphabet, Google na Microsoft wana influence kubwa katika serikali za first world countries. Wao wakifika Ulaya wanakazana na kujilipua na kukesha na swala tano kila siku.
Niletee cha ISRAEL kilichoingia hata 20 bora.Naona vyuo ni vya sabini huko kwa ubora duniani, sijaona chuo chote kimeweza kuingia hata 20 bora duniani ?
Ha ha ha! Ni sawa na hoteli kubwa 5⭐; chef huwa wana vyakula vyao ugali au ubwabwa maharagwe wanakula baadaye uani huko hawali menu za wateja!Elimu ni kwa wasaka tonge mkuu, kama unatonge unawapa kazi wasakaji, badala ya wewe kulihangaikia, ndo maana Kazi ya America ni kubuni Sports Car ila watumiaji ni hao wasio na elimu.
Kumbuka engineer hawezi miliki Lamborghini wala Porsche.
Nikuletee list ya madaktari na wahandisi wakubwa wenye asili ya Kipalestina???Wapalestina hawako kwenye system katika mataifa makubwa. Wapalestina walikuwa mbele ya wahindi, wachina na wakorea katika kupewa hifadhi Ulaya na Marekani. Lakini angalia against all odds wahindi ndio Ma CEO wa makampuni makubwa marekani. Wapalestina wakifika ulaya na marekani wanafanya biashara za kikuda badala ya kuinfiltrate system. C.E.O wa makampuni makubwa kama Adobe, Nvidia, Alphabet, Google na Microsoft wana influence kubwa katika serikali za first world countries. Wao wakifika Ulaya wanakazana na kujilipua na kukesha na swala tano kila siku.