Badala ujiulize kwani i waafrika hatumo wewe unawaza waarabu?wanapuuza elimu ?
uwezo mdogo wa darasani ?
hawataki elimu dunia ?
Sio kwamba waarabu hawapo kabisa hivyo vyuo lakini idadi yao ni ndogo
Mfano mdogo ni idadi ya mataifa yanayoongoza kwa wahitimu kwa mwaka jana 2022/23 chuo cha Havard, hii ni kutoka moja kwa moja kwenye tovuti ya Havard
Havard Alumni
View attachment 2929507
Yani badala usikitike tanzania haimo wewe umeenda na waarabu.
Wenzako wameanza kuamka sana na wana ela. Saudia sasa hivi wamejipanga kuwa na vyuo bora, wanachukua wakufunzi na kuwalipa mishahara minono toka duniani kote.
Sisi ndio kwanza tuko kwenye kujenga madarasa kila mwaka na kuchonga dawati.
Charity begins at home. Kabla ya kuwasema wao tujiulize kwanza sisi tuko wapi.