Kuna invention na innovation unataka uletewe kipi??Naomba uniletee uvumbuzi mkubwa ambao china imefanya ndugu yangu siongei ushabiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna invention na innovation unataka uletewe kipi??Naomba uniletee uvumbuzi mkubwa ambao china imefanya ndugu yangu siongei ushabiki
Invention ndugu yanguKuna invention na innovation unataka uletewe kipi??
Mfano wa kwanza gunpowder,printer na compass direction.Invention ndugu yangu
Narudia tena Israel ni mpango wa muda mrefu na kuna nguvu kubwa sana imetumika mpaka Israel ikaanzishwa. Hivyo basi ukitaka kumdhibiti Israek na wewe inabidi ujipange. Mimi si-support Israel lakini pia si-support wapalestina kuwalilia watu wengine wakati wamezaliwa waarabu ambao wako bright ile mbaya.Wayahudi waliouliwa na Hitler leo hii ni pro palestine, wanaoua wapalestina leo ni zionist, Zionist na Nazi ni Chanda na Pete, hebu nitafute holocaust survival leo ambaye sio pro palestine utakesha siku nzima'
1)Gun powder (umuhimu wake kwa silaha za kivita unafahamika).Naomba uniletee uvumbuzi mkubwa ambao china imefanya ndugu yangu siongei ushabiki
Moja kati ya innovator wakubwa Saudi Arabia ni Hayat sind,Yale mafuta wanachimba makafir. Tena wanachimba huko uarabuni kwao wamahifadhi tu kwanza. Waulize wametengeneza machine ngapi sisi waarabu. Kama Gold inavyochimbwa huku na sisi weusi hatuna lolote angalau waarabu wana pata pata si haba.
Asante kwa kujipinga mwenyewe na kusuport hoja yangu.Narudia tena Israel ni mpango wa muda mrefu na kuna nguvu kubwa sana imetumika mpaka Israel ikaanzishwa. Hivyo basi ukitaka kumdhibiti Israek na wewe inabidi ujipange. Mimi si-support Israel lakini pia si-support wapalestina kuwalilia watu wengine wakati wamezaliwa waarabu ambao wako bright ile mbaya.
Hajui huyo!Mfano wa kwanza gunpowder,printer na compass direction.
Unaongelea uvumbuzi wa miaka ya zamani China hakuna uvumbuzi mpya wanafanya nakubali walivumbua gun-powder na karatasi. Mimi naongelea tafifti zinanoleta teknolojia mpya katika wakati uliopo.Mfano wa kwanza gunpowder.
Wewe dogo upo ujerumani 🤡 huko ujerumani umeenda kufuata ujinga au elimu ?Nazungumzia ku-copy na ku-paste
Sijipendekezi kwa wazungu ila naongea ukweli kwamba kuna kitu kinaitwa humanitarian acts. Wazungu wanazitthamini sana kuliko ncho zozote. Wazungu watakubagua na kukupa tabu kama hauna taaluma na hautaki kujiendeleza kitaaluma. Lakini kama una proffesion hawawezi kukubagua utaishi kama wao na kama ukikaza matako utawazidi.
Naona umeuliza "wahindi imewasaidia ?" nini naomba nikuulize ushawahi kusikia kuna mgogoro wowote ndani ya India ? Lakini mambo kwa ground India ina matatizo mengi na makubwa sana lakini hatuyaoni yakisemwa hata U.N. Kuna ubaguzi wa kiislamu na kitabaka na ubakaji mkubwa sana India lakini haya mambo hayasemwi. Unajua India kuna matabaka ya wafanyabiashara, viongozi n.k. Yaani kuna tabaka linaitwa Dalit ukizaliwa katika tabaka hilo kazi yako ni kufanya usafi mpaka kufa. Hauwezi kufanya kazi nje ya tabaka lako. Hivi vitu watanzania hatujui tunakazana kuwaona wahindi wana akili kuliko sisi.
Umeongelea kuhusu Iran, wa-Iran wamejazana Ulaya na Marekani. Tena wa-Iran wana akili sana wakija huku kuna maisha bomba kuliko ya Nyumbani warudi kwa ajili ya nini ? Nguvu ya Marekani na Ulaya mnaiona ya kawaida sana. Hizo nchi mnazozitetea haziwathamini watu kutokana na uwezo wao au vipaji vyao. Lakini hivyo vitu wanavipata Marekani na Ulaya. Bila watu Imara kichwani mtaanzaje ku-influence dunia ?
Decision Makers wa west sio viongozi wa kisiasa kama watanzania bali matajiri na makampuni makubwa katika ncho zao. Ndio maana nilikuambia kuwa wahindi, wakorea na wataiwan wanakimbiza ligi ya kuwa viongozi wa haya makampuni. Na nikakusisitizia ili Wapalestina wafike mbali wakazane na shule na sio Madrasa. Ulaya mzima waarabu ndio wanaongoza kwa biashara za dawa za kulevya.
Asa hivi kuna innovations nyingi inventions zilishapitaga.Unaongelea uvumbuzi wa miaka ya zamani China hakuna uvumbuzi mpya wanafanya nakubali walivumbua gun-powder na karatasi. Mimi naongelea tafifti zinanoleta teknolojia mpya katika wakati uliopo.
Wataiwan ni wachina au wataiwan ni wazungu ?Naomba uniletee uvumbuzi mkubwa ambao china imefanya ndugu yangu siongei ushabiki. Taiwan imewazidi china katika uzalishaji wa SMC(Semi Conductor Chips) kwa sababu hio technology inahitaji constant research na innovation kitu ambacho china hawezi kukifanya.
Mimi sijajipinga nimejipinga wapi point yangu ni kuwa waarabu waache uvivu wasome na wa-infiltrate system za wamarekani. Bila hivyo hawawezi kuipiga Israel maana hela waliyonayo waarabu inatoka marekani. Na hela waliyonao Israel inatoka pia Marekani.Asante kwa kujipinga mwenyewe na kusuport hoja yangu.
Wataiwan sio wachina ndugu yangu umeshasema wataiwan. Ukikaa na mtaiwan na mchina utajua kuna tofauti hata katika uwezo wa kufikiri.Wataiwan ni wachina au wataiwan ni wazungu ?
Kafuatilie innovations kama za electric trains,railway technology hususan Maglev railways,electric vehicles n.k n.k.Unaongelea uvumbuzi wa miaka ya zamani China hakuna uvumbuzi mpya wanafanya nakubali walivumbua gun-powder na karatasi. Mimi naongelea tafifti zinanoleta teknolojia mpya katika wakati uliopo.
Naomba ushahidi ndugu yanguAsa hivi kuna innovations nyingi inventions zilishapitaga.
Na China ndio anaongoza kwa innovation kaka.
Mchina hawezi kumfikia marekani kwa sababu mchina hafanyi research ana copy na kupaste. Kweli taifa hili letu lina wasomi wajinga wengi🤡Mchina hawezi kumfikia mareakani kwa sababu mchina hafanyi research ana copy na ku paste. Hakuna nchi inaweza kuifikia marekani kwa sababu nchi nyingi zinatoa fursa kibaguzi. Marekani na Ulaya ukiwa na Taaluma haijalishi wewe unatoka wapi watakuhsehimu na utafanikiwa. Mchina, Mwarabu na Nchi zingine wanaojiona wanauwezo hawawezi kumfikia U.S kwa sababu hawajafungua nchi zao. Kuna boss gani mkubwa China ambye sio mchina.Uarabuni unafanya kazi una cheo sawa na Muarabu lakini wewe unalipwa kidogo. Na huyo Mwarabu uliye naye analipwa kidogo kuliko mwenzake kwa sababu ukoo wake ni wa tabaka la chini kuliko mwenzake. Huku wote mna cheo kimoja. Marekani kuna watanzania ni Ma C.E.O kwenye mabenki makubwa na makampuni makubwa ya ujenzi. Ujerumani ukizaa unalipwa haijalishi kabila, dini au ngozi yako.
Tafiti gani mpya unataka kutoka kwa China iliyo wekwa chini ya ukoloni wa mataifa ya nje na juzi tu miaka 40 kuelekea 50 ikautwaa uhuru wake ?Unaongelea uvumbuzi wa miaka ya zamani China hakuna uvumbuzi mpya wanafanya nakubali walivumbua gun-powder na karatasi. Mimi naongelea tafifti zinanoleta teknolojia mpya katika wakati uliopo.
Duuh! sasa hili ni tatizo la akili zaidi ulilo nalo sidhani kama nitaweza kulitatuaWataiwan sio wachina ndugu yangu umeshasema wataiwan. Ukikaa na mtaiwan na mchina utajua kuna tofauti hata katika uwezo wa kufikiri.