Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Case study Havard University: Ni kwanini kuna wasomi wachache kutoka mataifa ya kiarabu kwenye vyuo bora duniani?

Unaropoka huongei facts.
Halafu unapoitaja Uturuki aisee unataja miongoni mwa mataifa yenye mchango katika sayansi na teknolojia.
Kama unabisha tujadili hili.
Waarabu kutokushiriki kujenga hiyo Burj Khalifa haimaanishi wana lack competence isipokua waarabu ni jamii isiyopenda kujihangaisha.
Hauna facts unajiropokea.
Kuna waarabu kama watatu au wanne hapo watizame.
View attachment 2929621View attachment 2929622View attachment 2929623
Siyo hawapendi kujihangashaisha hawana competence hiyo kuzidi hao south korea , USA etc
 
Madwari Madwari mpaka hapa Mkuu umeonesha umuhimu wa elimu ama shule. Kama kuna mtu alikuwa anasoma kwa ufahamu kila kitu ulichokua unakiongea hapa , ulikua unaongea vitu vinavyomake sense.
 
Kwani jukumu lililo waleta waarabu hapa duniani ili kushindana na wayahudi,kiasi cha kwamba wakizidiwa na wayahudi wameferi maisha?
Waarabu jukumu lao sio kushindana na jamii nyingine bali jukumu lao ni kuboresha maisha ya mataifa yao na raia wao.
Suala la wapalestina hilo sio jukumu la waarabu tu bali ni jukumu la kila binadamu mwenye akili timamu kuhakikisha kila maisha ya mwanadamu yanathaminiwa bila kujali asili yake.
Hata wayahudi hawakujiokoa wenyewe kutoka kwenye mateso bali waliokolewa na watu kutoka asili nyingine.
Kuanguka utawala wa wanazi nchini Ujerumani ulifikisha mwisho mateso ya wayahudi hapa duniani na wanazi waliangushwa na wapiganaji kutoka sehemu mbali mbali kote duniani ikiwemo waafrika.
Basi kama sio jukumu la waarabu wenye nguvu ya pesa kushindana na wayahudi wewe ni nani kuwatetea wapalestina ndio maana hata serikali yetu haijatoa tamko. Wanazi waliangushwa na mataifa makubwa ya dunia enzi hizo ambayo yalikuwa pamoja. Tusiongee kwa hisia wayahudi hawana haki lakini ndio wameshikilia dunia huo ndio ukweli.
 
Unaropoka huongei facts.
Halafu unapoitaja Uturuki aisee unataja miongoni mwa mataifa yenye mchango katika sayansi na teknolojia.
Kama unabisha tujadili hili.
Waarabu kutokushiriki kujenga hiyo Burj Khalifa haimaanishi wana lack competence isipokua waarabu ni jamii isiyopenda kujihangaisha.
Hauna facts unajiropokea.
Kuna waarabu kama watatu au wanne hapo watizame.
View attachment 2929621View attachment 2929622View attachment 2929623
Umekuja na mfano kubwa kAtika executive mia Uarabuni waarabu hawafiki kumi. Sasa inajitetea kivipi ? Unajua waturuki wanavyoishi waturuki uislamu wameudilute. Waturuki hawakazani na Madrasa au swala tano. Tatizo watanzania hatutembei ? Waturuki nimelewa nao sana hapo Morogoro na wanafanya ufuska kuliko mnaowaita makafir 😂 😂 😂 😂 😂 . Unawalinganisha kina Mehmet, Etrugul na wakina Mohammed,Shaban ?
 
Kwa suala la akili sisi waarabu hapana. Si sana. Of course wanakuwepo wenye kipaji maalum. Lakini masomo haya ya Ilimu Duniya sisi hizo akili no hatuna. But mambo mengine tupo vizuri sana

Waafrika wana akili ya ujambazi kwa kutumia jina la yesu kama huyu mchungaji wako JAMBAZI MAXI SHIMBA aliyekamatwa na FBI kwa wizi pamoja na wezi wenzake wa KI NIGERIA

Bado maxi Shimba anakunyia kwenye ndoo gerezani ??
 
Basi kama sio jukumu la waarabu wenye nguvu ya pesa kushindana na wayahudi wewe ni nani kuwatetea wapalestina ndio maana hata serikali yetu haijatoa tamko. Wanazi waliangushwa na mataifa makubwa ya dunia enzi hizo ambayo yalikuwa pamoja. Tusiongee kwa hisia wayahudi hawana haki lakini ndio wameshikilia dunia huo ndio ukweli.
Ww ndo unaongea kwa hisia kwa sababu unarazimisha waarabu washindane na wayahudi kana kwamba hicho ndo kilicho waleta duniani.
Waarabu wanafanya mambo yao kwa ajili ya mataifa yao na raia wao na si kwa ajili ya kushindana na wayahudi au kushindana na yeyote yule.
Hayo mataifa makubwa yaliyo waokoa wayahudi yalikuwa ni mataifa ya kiyahudi?
Sasa kama wayahudi hawakuweza kujikomboa wenyewe mpaka wakaja kukombolewa na mataifa yenye watu wa asili nyingine iweje isiwe kwa wapalestina?

Nimesha kwambia kuwa jukumu la kukomesha mateso ya wapalestina ni la kila binadamu mwenye akili timamu hapa duniani na kila mtu anaye jua thamani ya ubinadamu.
Kama ambavyo ilijivika jukumu la kukomesha mateso ya Wayahudi.

Iwapo dunia inge nyamaza na kusubiri Wayahudi waje wajikomboe wenyewe si jamii nzima ya wayahudi ingeangamizwa?
 
Ww ndo unaongea kwa hisia kwa sababu unarazimisha waarabu washindane na wayahudi kana kwamba hicho ndo kilicho waleta duniani.
Waarabu wanafanya mambo yao kwa ajili ya mataifa yao na raia wao na si kwa ajili ya kushindana na wayahudi au kushindana na yeyote yule.
Hayo mataifa makubwa yaliyo waokoa wayahudi yalikuwa ni mataifa ya kiyahudi?
Sasa kama wayahudi hawakuweza kujikomboa wenyewe mpaka wakaja kukombolewa na mataifa yenye watu wa asili nyingine iweje isiwe kwa wapalestina?

Nimesha kwambia kuwa jukumu la kukomesha mateso ya wapalestina ni la kila binadamu mwenye akili timamu hapa duniani na kila mtu anaye jua thamani ya ubinadamu.
Kama ambavyo ilijivika jukumu la kukomesha mateso ya Wayahudi.

Iwapo dunia inge nyamaza na kusubiri Wayahudi waje wajikomboe wenyewe si jamii nzima ya wayahudi ingeangamizwa?
Aisee bado sana inaelekea hauna shida mpaka uwafikirie wapalestina. Kila mu ana shida zake ukiwa against na wayahudi haotofika popote. Wapi Tanzania wapi waarabu ? Nipo na wabavaria hapa ofisini tunaongelea kuhusu palestina tunabaki tunacheka. Jamani amkeni mimi sijasaidiwa na mtu yeyote mpaka hapa nilipo. Sio serikali ndugu wala nini bali ni kwa kuwa nina taaluma na ujuzi ambao unanifanya nithaminiwe duniani na sio dini,kabila au ngozi yangu. Nani akazane na wapalestina wakati wapalestina ni tatizo la Uarabuni. Wa kuisaidia palestina ni nchi ambayo imeshasuluhisha matatizo madogo madogo. Nchi za kiarabu hazina shida ya maji, umeme na huduma za kijamii kwa nini hazisaidii wapalestina ? Je unajua kuna nchi za kiarabu hazitaki wakimbizi kutoka palestina ?

Umeongea kuhusu mataifa makubwa kuwasaidia wayahudi. Tatizo Tanzania hatufunguki hatusomi historia ya dunia. Zionism ilianza na Theodor Herzl (1860-1904) alikufa kabla ya vita ya kwanza ya dunia. Wayahudi walisha infiltrate Mataifa Makubwa kabla hata ya World War 1. Wayahudi walikuwa wameshatapakaa Ulaya nzima. Hivi unajua Einstein ni myahudi ? Unajua kampuni kama Coca-cola, Nestle na Unilever zinalipa kodi za kiyahudi(asilimia kumi ya mapato). Wapi duniani utazikosa hizi kampuni. Hawa jamaa(wayahudi) hawana haki na Israel ila wana nguvu kuliko jamii yeyote duniani. Wana umoja na wanajituma katika utafutaji na elimu. Myahudi ananunua dukani kwa myahudi mwenzake. Myahudi akiona fursa namwita mwenzake na anamkopesha mtaji. Lakini ukiangalia waarabu hawana umoja wana matabaka wao kwa wao. Kwa nini umchokoze mtu ambae yupo juu kuliko wewe ? Kaa chini ujipange ujitafute. Wapalestina wake chini wajipange na wawe na malengo ya muda mrefu.
 
Aisee bado sana inaelekea hauna shida mpaka uwafikirie wapalestina. Kila mu ana shida zake ukiwa against na wayahudi haotofik popote. Wapi Tanzania wapi waarabu ? Nipo na wabavaria hapa ofisini tunaongelea kuhusu palestina tunabaki tunacheka. Jamani amkeni mimi sijasaidiwa na mtu yeyote mpaka hapa nilipo. Sio serikali ndugu wala nini bali ni kwa kuwa nina taaluma na ujuzi ambao unanifanya nithaminiwe duniani na sio dini,kabila au ngozi yangu. Nani akazane na wapalestina wakati wapalestina ni tatizo la Uarabuni. Wa kuisaidia palestina ni nchi ambayo imeshasuluhisha matatizo madogo madogo. Nchi za kiarabu hazina shida ya maji, umeme na huduma za kijamii kwa nini hazisaidii wapalestina ? Je unajua kuna nchi za kiarabu hazitaki wakimbizi kutoka palestina ?

Umeongea kuhusu mataifa makubwa kuwasaidia wayahudi. Tatizo Tanzania hatufunguki hatrusomi historia ya dunia. Zionism ilianza na Theodor Herzl (1860-1904) alikufa kabla ya vita ya kwanza ya dunia. Wayahudi walisha infiltrate Mataifa Makubwa kabla hata ya World War 1. Wayahudi walikuwa wameshatapakaa Ulaya nzima. Hivi unajua Einstein ni myahudi ? Unajua kampuni kama Coca-cola, Nestle na Unilever zinalipa kodi za kiyahudi(asilimia kumi ya mapato). Wapi duniani utazikosa hizi kampuni. Hawa jamaa(wayahudi) hawana haki na Israel ila wana nguvu kuliko jamii yeyote duniani. Wana umoja na wanajituma katika utafutaji na elimu. Myahudi ananunua dukani kwa myahudi mwenzake. Myahudi akiona fursa namwita mwenzake na anamkopesha mtaji. Lakini ukiangalia waarabu hawana umoja wana matabaka wao kwa wao. Kwa nini umchokoze mtu ambae yupo juu kuliko wewe ? Kaa chini ujipange ujitafute. Wapalestina wake chini wajipange na wawe na malengo ya muda mrefu.
 
Dunia haina huruma haupewi unachukua. Hili video wenye akili za kijamaa watakubaliana na huyo jamaa. Lakini mabepari na wapambanaji walioangushwa mara nyingi na wakasimama wanajua kuwa goli lazima lipambaniwe. Anasema wayahudi ni wakomunisti, wakomunisti wanakuwaje tajiri wa dunia ? Ili uwe Tajiri inabidi uwe mkomunisti au mbepari ?
 
Sijasema ustaarabu unatokana na usomi pekee lakini usomi unafuta ushenzi fulani kidogo ndio maana nikakupa mfano wa sehemu mbalimbali Tanzania. Sehemu ambayo Elimu ilichelewa kushika hatamu unaona kabisa kuna vitu vya ajabu vinafanyika.

Siyo hawapendi kujihangashaisha hawana competence hiyo kuzidi hao south korea , USA etc
Competence wanayo ya kiwango chao.
Kafuatilie Qatar sasa hivi inavyozalisha wanasayansi wengi aisee.
Ni watu ambao wakitaka wanafanya.
Unapowataja Korea na USA unataja mataifa nguli aisee ambayo hata huyo Israel hawafikii.
MAda hapa haikuwa kuifananisha USA na arab nations mada ni Israel vs Arab nations stick kwenye mada usitoke nje ya mada
 
Competence wanayo ya kiwango chao.
Kafuatilie Qatar sasa hivi inavyozalisha wanasayansi wengi aisee.
Ni watu ambao wakitaka wanafanya.
Unapowataja Korea na USA unataja mataifa nguli aisee ambayo hata huyo Israel hawafikii.
MAda hapa haikuwa kuifananisha USA na arab nations mada ni Israel vs Arab nations stick kwenye mada usitoke nje ya mada
Israel sio taifa moja ukitaja israel ni U.S.A, Canada na E.U nzima. Naifananisha Israel na ARab nations Israel hana mafuta wala kitu kinachomuingizia mapato. Waarabu wanashindwa nini kuwammaliza waisraeli ili wapalestina wapewe ardhi yao ? Naomba unijibu.

Nakupa za ndani maana ni taarifa zinazojulikana huku katika habari za kijerumani. Kuna silaha za kivita zishajaribiwa Ukraine. Z Wapalestina wakiendelea muda sio mrefu zitaanza kutumika kwao. Kuna watu huku wanawaonea huruma wapalestina maana hawajuwi wanapigana na watu wa aina gani.
 
Umekuja na mfano kubwa kAtika executive mia Uarabuni waarabu hawafiki kumi. Sasa inajitetea kivipi ? Unajua waturuki wanavyoishi waturuki uislamu wameudilute. Waturuki hawakazani na Madrasa au swala tano. Tatizo watanzania hatutembei ? Waturuki nimelewa nao sana hapo Morogoro na wanafanya ufuska kuliko mnaowaita makafir 😂 😂 😂 😂 😂 . Unawalinganisha kina Mehmet, Etrugul na wakina Mohammed,Shaban ?
Nilikuuliza Houthi Yemeni wamezuia meli ya Israel na kuiteka na wameifunga red sea meli za Israel zisipite ,je Israel kuji infiltrate na mataifa makubwa kumesaidia kufungua red sea na kuikomboa meli yake???
Ulisema we muhandisi eeeh!?
Muhandisi na geopolitics wapi na wapi we jamaa!!??
KILA TAIFA LINA NAMNA YAKE YA KUJITETEA SIO SAWA SAWA NA WEWE UNAVYOLAZIMISHA WE JAMAA EMBU ELEWA.
DUNIA HAIENDI HIVYO KAMA UDHANIAVYO WEWE DUNIA ISHAGAWANYIKA HIZO G20 NA G8 HAZINA NGUVU TENA.
Waturuki jamii yao imevamiwa na jamii ya kirumi,kigiriki,Kiserbia,Kiyugoslavia,Chechnia,Bolivia n.k n.k
Hata huyo ERTUGRUL JINA HALISI ENGEN ALTAN DUZAYTAN NI ASILI YA BOSNIA ALIYEHAMIA UTURUKI.
Hivyo hayo mataifa ya ULAYA MASHARIKI KUCHANGANYIKA NA WATURUKI KUMEFANYA KUWA KUNA MKANGANYIKO WA USTAARABU.
HAo mastaa wote sio asili halisi ya kituruki asili halisi ya kituruki ni wakudsi na wafursi na huwezi wakuta na nywele nyeupe ama blonde hair.
Nimesoma na hao jamaa shule zao na walimu wao BADO KIDOGO NIENDE NAO EIDHA KARABAYIR AMA KARACHI.
Toka zamani miaka 1200 Uturuki ikiwa inaitwa Ali Seljuk imekua ikiwa vizuri katika sayansi ya tiba na sanaa.
Una mengi huyajui bro uliza uambiwe.
 
Israel sio taifa moja ukitaja israel ni U.S.A, Canada na E.U nzima. Naifananisha Israel na ARab nations Israel hana mafuta wala kitu kinachomuingizia mapato waarabu wanashindwa nini kuwammaliza ili wapalestina wapewe ardhi yao ? Naomba unijibu.

Nakupa za ndani maana ni taarifa zinazojulikana huku katika habari za kijerumani. Kuna silaha za kivita zishajaribiwa Ukraine. Z Wapalestina wakiendelea muda sio mrefu zitaanza kutumika kwao. Kuna watu huku wanawaonea huruma wapalestina maana hawajuwi wanapigana na watu wa aina gani.
Israel anachimba mafuta na gesi katika mpaka wa bahari waliogawana na Lebanon kupitia hizbollah kama ulikua hujui.
Ushasema Israel ni sawa na USA na EU nzima ushapata jibu kuwa Israel ina usaidizi.
Pia nilikwambia kasome kuanzia 1946 ujue kwanini Palestina iko pale ilivyo ikiwa ngumu kujitetea.
Hujasoma huwezi kuelewa.
Mataifa ya kiarabu UAE,Qatar,Bahrain n.k n.k yana nguvu ya kiuchumi ila hayana nguvu ya kijeshi,na kitu ambacho dunia asahivi wanahangaika kuimarisha ni nguvu ya kiuchumi.
Israel kinachomsaidia ana mataifa ya kumpa back up ya kijeshi na kifedha na huo msingi umejengwa toka 1946.
Palestina ana Lebanon na Iran tu ambao wanaweza kumsapoti kijeshi.
Pia waarabu kilio chao ni kuiona Palestina inatambulika wala hawana shida na kufutwa kwa Israel sijui kama hilo unalijua.
Na waarabu washaanza kuchukua hatua ambazo zitakua mbaya kwa mustakabali wa kidiplomasia kwa Israel sijui kama unalifuatilia hili.
Pia sidhani kama vita itaendelea zaidi kwasababu Iran ameshapanga na yeye namna ya kumsapoti Palestina kijeshi pia vita ikiendelea red sea haitapitika na bandari ya Haifa Israel itabaki imefungwa.
Usitake watu washughulikie matatizo kwa njia unayotaka wewe.
 
Nilikuuliza Houthi Yemeni wamezuia meli ya Israel na kuiteka na wameifunga red sea meli za Israel zisipite ,je Israel kuji infiltrate na mataifa makubwa kumesaidia kufungua red sea na kuikomboa meli yake???
Ulisema we muhandisi eeeh!?
Muhandisi na geopolitics wapi na wapi we jamaa!!??
KILA TAIFA LINA NAMNA YAKE YA KUJITETEA SIO SAWA SAWA NA WEWE UNAVYOLAZIMISHA WE JAMAA EMBU ELEWA.
DUNIA HAIENDI HIVYO KAMA UDHANIAVYO WEWE DUNIA ISHAGAWANYIKA HIZO G20 NA G8 HAZINA NGUVU TENA.
Waturuki jamii yao imevamiwa na jamii ya kirumi,kigiriki,Kiserbia,Kiyugoslavia,Chechnia,Bolivia n.k n.k
Hata huyo ERTUGRUL JINA HALISI ENGEN ALTAN DUZAYTAN NI ASILI YA BOSNIA ALIYEHAMIA UTURUKI.
Hivyo hayo mataifa ya ULAYA MASHARIKI KUCHANGANYIKA NA WATURUKI KUMEFANYA KUWA KUNA MKANGANYIKO WA USTAARABU.
HAo mastaa wote sio asili halisi ya kituruki asili halisi ya kituruki ni wakudsi na wafursi na huwezi wakuta na nywele nyeupe ama blonde hair.
Nimesoma na hao jamaa shule zao na walimu wao BADO KIDOGO NIENDE NAO EIDHA KARABAYIR AMA KARACHI.
Toka zamani miaka 1200 Uturuki ikiwa inaitwa Ali Seljuk imekua ikiwa vizuri katika sayansi ya tiba na sanaa.
Una mengi huyajui bro uliza uambiwe.
Naomba unipe sababu Waaarabu wapo milioni ngapi ? na wayahudi wapo wangapi ? wanashindwa nini kuikomboa Palestina ?

Mimi nashangaa sana mtu anaekomaa na dini na hataki kufanya kazi au kujikomboa mwenyewe. Maisha ni kitendawili kusali ni muhimu. Weka mipango na mikakati na umwombe Mungu akufungue akili ujipambanie maana hakuna mtu atakaekuja kukutetea. Hap waarabu ndio wanaoongoza kwa kuuza madawa na kuuwana huku Ulaya. Hawataki shule wao wanawaza kazi laini tu.

Nimefanya kazi na Eng Mehmet na Etrugul ni watu vichwa sana. Nimeishi nao Morogoro mradi wa SGR. Bia kama kawa, dhambi kubwa kwao kitimoto.
 
Aisee bado sana inaelekea hauna shida mpaka uwafikirie wapalestina. Kila mu ana shida zake ukiwa against na wayahudi haotofika popote. Wapi Tanzania wapi waarabu ? Nipo na wabavaria hapa ofisini tunaongelea kuhusu palestina tunabaki tunacheka. Jamani amkeni mimi sijasaidiwa na mtu yeyote mpaka hapa nilipo. Sio serikali ndugu wala nini bali ni kwa kuwa nina taaluma na ujuzi ambao unanifanya nithaminiwe duniani na sio dini,kabila au ngozi yangu. Nani akazane na wapalestina wakati wapalestina ni tatizo la Uarabuni. Wa kuisaidia palestina ni nchi ambayo imeshasuluhisha matatizo madogo madogo. Nchi za kiarabu hazina shida ya maji, umeme na huduma za kijamii kwa nini hazisaidii wapalestina ? Je unajua kuna nchi za kiarabu hazitaki wakimbizi kutoka palestina ?

Umeongea kuhusu mataifa makubwa kuwasaidia wayahudi. Tatizo Tanzania hatufunguki hatusomi historia ya dunia. Zionism ilianza na Theodor Herzl (1860-1904) alikufa kabla ya vita ya kwanza ya dunia. Wayahudi walisha infiltrate Mataifa Makubwa kabla hata ya World War 1. Wayahudi walikuwa wameshatapakaa Ulaya nzima. Hivi unajua Einstein ni myahudi ? Unajua kampuni kama Coca-cola, Nestle na Unilever zinalipa kodi za kiyahudi(asilimia kumi ya mapato). Wapi duniani utazikosa hizi kampuni. Hawa jamaa(wayahudi) hawana haki na Israel ila wana nguvu kuliko jamii yeyote duniani. Wana umoja na wanajituma katika utafutaji na elimu. Myahudi ananunua dukani kwa myahudi mwenzake. Myahudi akiona fursa namwita mwenzake na anamkopesha mtaji. Lakini ukiangalia waarabu hawana umoja wana matabaka wao kwa wao. Kwa nini umchokoze mtu ambae yupo juu kuliko wewe ? Kaa chini ujipange ujitafute. Wapalestina wake chini wajipange na wawe na malengo ya muda mrefu.
Hakuna mwenye haja ya kujua ww umefika hapo kwa msaada au kwa juhudi zako mwenyewe ,acha majivuno maana majivuno ni moja wapo ya ulimbukeni wa kishamba na uwezo mdogo wa kufikiri.
Wewe kufanikiwa bila msaada wa mtu yeyote haimanishi kuwa hakuna watu wengine ambao mafanikio yao yamesababishwa na msaada wa watu wengine.

Hivi umenielewa nilivyo kwambia kuwa kila mwenye akili anajukumu la kuhakikisha anakomesha mateso dhidi ya binadamu yeyote hapa duniani?
Wewe na hao wenzako mnao wacheka wapalestina nyinyi ni wapumbavu na hamna akili maana binadamu mwenye akili timamu hawezi furahia mateso ya binadamu wenzao tena asiye kuwa na hatia.

Hapa duniani kila mtu akisema asiwaze matatizo ya mtu mwingine bali awaze yake mwenyewe basi hakuna mtu ambaye angemsaidia mwenzake maana hapa duniani hakuna binadamu au nchi isiyo kuwa na matatizo ya kutatua ndani yake.

Hata ww hukutakiwa kuwa Ujerumani sasa hivi ,bali hiyo elimu uliyo ifuata Ujerumani ulitakiwa uipatie ndani ya nchi yako.
Hata Marekani hakutakiwa kutoa misaada kwa nchi masikini ili atatue kwanza tatizo la umiliki wa silaha madawa ya kulevya na umasikini ulio kithiri miongoni mwa raia wake.
 
Israel anachimba mafuta na gesi katika mpaka wa bahari waliogawana na Lebanon kupitia hizbollah kama ulikua hujui.
Ushasema Israel ni sawa na USA na EU nzima ushapata jibu kuwa Israel ina usaidizi.
Pia nilikwambia kasome kuanzia 1946 ujue kwanini Palestina iko pale ilivyo ikiwa ngumu kujitetea.
Hujasoma huwezi kuelewa.
Mataifa ya kiarabu UAE,Qatar,Bahrain n.k n.k yana nguvu ya kiuchumi ila hayana nguvu ya kijeshi,na kitu ambacho dunia asahivi wanahangaika kuimarisha ni nguvu ya kiuchumi.
Israel kinachomsaidia ana mataifa ya kumpa back up ya kijeshi na kifedha na huo msingi umejengwa toka 1946.
Palestina ana Lebanon na Iran tu ambao wanaweza kumsapoti kijeshi.
Pia waarabu kilio chao ni kuiona Palestina inatambulika wala hawana shida na kufutwa kwa Israel sijui kama hilo unalijua.
Na waarabu washaanza kuchukua hatua ambazo zitakua mbaya kwa mustakabali wa kidiplomasia kwa Israel sijui kama unalifuatilia hili.
Pia sidhani kama vita itaendelea zaidi kwasababu Iran ameshapanga na yeye namna ya kumsapoti Palestina kijeshi pia vita ikiendelea red sea haitapitika na bandari ya Haifa Israel itabaki imefungwa.
Usitake watu washughulikie matatizo kwa njia unayotaka wewe.
Excuses excuses wewe si ulisema pesa ni zaidi ya influence ? Naomba unipe sababu ya kifasaha kwa nini Waarabu wameshindwa kuikomboa Palestine ? Tunarudi kule kule inabidi wakazane na shule na wajitegemee. Iran haina wataalamu vijana kibao wanakimbia nchi kwenda Ulaya na Marekani. Unasema Iran ataisaidia palestine. Hivi unajua silaha zinazotumiwa na Ukraine ? Unadhani vita siku hizi inapiganwa na bunduki ? Vita vya Ukraine na Urusi vimeruhusu majaribio ya silaha mpya ambazo zilikuwa hazijajaribiwa katika uwanja wa vita. Unataka kusolve mgogoro wa Israel kidiplomasia wakati watu wanauwana since 1947. Watu wanakaa mezani baada ya miaka michache kinanuka. Kupigana Israel na Palestina ni ON and OFF. Hivi unajua kuna apartment na nyumba zinauzwa katika masynagogue ya wayahudi dunia nzima ambazo zitajengwa katika ardhi walionyang'anywa wapalestina ? Halafu unadhani hali itarudi kawaida kwa kukaa mezani aisee.
 
Competence wanayo ya kiwango chao.
Kafuatilie Qatar sasa hivi inavyozalisha wanasayansi wengi aisee.
Ni watu ambao wakitaka wanafanya.
Unapowataja Korea na USA unataja mataifa nguli aisee ambayo hata huyo Israel hawafikii.
MAda hapa haikuwa kuifananisha USA na arab nations mada ni Israel vs Arab nations stick kwenye mada usitoke nje ya mada
Mimi nilikuwa najibu kwanini mega structures hizo za Qatar walipewa tenda hao wakorea na USA. Qatar wasiwengeweza kujenga kwa ubora huo wa hizo nchi kwa maana hawana kiwango hicho cha competence.
 
Hakuna mwenye haja ya kujua ww umefika hapo kwa msaada au kwa juhudi zako mwenyewe ,acha majivuno maana majivuno ni moja wapo ya ulimbukeni wa kishamba na uwezo mdogo wa kufikiri.
Wewe kufanikiwa bila msaada wa mtu yeyote haimanishi kuwa hakuna watu wengine ambao mafanikio yao yamesababishwa na msaada wa watu wengine.

Hivi umenielewa nilivyo kwambia kuwa kila mwenye akili anajukumu la kuhakikisha anakomesha mateso dhidi ya binadamu yeyote hapa duniani?
Wewe na hao wenzako mnao wacheka wapalestina nyinyi ni wapumbavu na hamna akili maana binadamu mwenye akili timamu hawezi furahia mateso ya binadamu wenzao tena asiye kuwa na hatia.

Hapa duniani kila mtu akisema asiwaze matatizo ya mtu mwingine bali awaze yake mwenyewe basi hakuna mtu ambaye angemsaidia mwenzake maana hapa duniani hakuna binadamu au nchi isiyo kuwa na matatizo ya kutatua ndani yake.

Hata ww hukutakiwa kuwa Ujerumani sasa hivi ,bali hiyo elimu uliyo ifuata Ujerumani ulitakiwa uipatie ndani ya nchi yako.
Hata Marekani hakutakiwa kutoa misaada kwa nchi masikini ili atatue kwanza tatizo la umiliki wa silaha madawa ya kulevya na umasikini ulio kithiri miongoni mwa raia wake.
Sio ulimbukeni ndugu yangu na wala sina majivuno. Ukiona mtu anaona anabaguliwa juwa hajitumi. Lazima ujitume ndio usaidiwe. Mtu akiona una potential atakusaidia, wapalestina ni rahisi kuwa raia wa EU wanaishia kuendesha taksi na mabasi. Hebu fikiria kama kila mtanzania angepewa nafasi ya kuwa raia katika ncho za U.S.A, Canada na E.U naomba nikuulize wangekataa shule kweli ? Na mimi siongelei leo maana walianza kuwa wakimbizi zaidi ya miaka 60 iliyopita.

Usiseme kila mtu mwenye akiili anatakiwa kutoa msaada . Maisha ni kitendawili kuitengeneza jamii bora anza na familia yako na nyumbani kwako. Kumsaidia mtu yeyote duniani ni pesa na sio kitu kingine. Hauwezi kusaidiwa kama hauna kitu unaweza kutoa kwa Jamii. Ninatoka nje ya mada kidogo lakini unajua kwa nini Kagame anajipambania na minerals za Eastern DRC ?

Kama unaamini duniani ni kusaidiana naomba ufanye kazi bure na usilipwe mshahara. Mtu una akili kama Raia wa uswisi ambaye hata kama hana kazi analipwa na serikali. Misaada ya Marekani inatolewa strategically na sio kwa faida yenu kwa asilimia mia moja. Dunia ndio ilivyo mimi ninapofanya kazi najua boss sio rafiki yangu wala HR sio ndugu yangu ndio maana kila siku saa kumi na moja alfajiri nishatupa shuka. Huku Ujerumani sikuja kwa scholarship wala kwa kuomba omba. Hakuna mtu anejua aibu ya kuomba kama mimi. Niliacha kuomba mwaka 98, ndio maana huko juu nilikuambia ukatembelee Kenya uone nini maana na kupambana. Watu wanapambana aisee. Huku ujerumani vijana wadogo chini ya miaka 26 wana P.H.D.Sisi tumekazana kuruhusu Taasisi zitulipie mahari.
 
Naomba unipe sababu Waaarabu wapo milioni ngapi ? na wayahudi wapo wangapi ? wanashindwa nini kuikomboa Palestina ?

Mimi nashangaa sana mtu anaekomaa na dini na hataki kufanya kazi au kujikomboa mwenyewe. Maisha ni kitendawili kusali ni muhimu. Weka mipango na mikakati na umwombe Mungu akufungue akili ujipambanie maana hakuna mtu atakaekuja kukutetea. Hap waarabu ndio wanaoongoza kwa kuuza madawa na kuuwana huku Ulaya. Hawataki shule wao wanawaza kazi laini tu.

Nimefanya kazi na Eng Mehmet na Etrugul ni watu vichwa sana. Nimeishi nao Morogoro mradi wa SGR. Bia kama kawa, dhambi kubwa kwao kitimoto.
Yaani ww ni kilaza kila ukibanwa mbavu unakimbia kwenye kona nyingine kujificha sasa hivi naona umekimbilia kwenye kona ya dini utadhani hapa tupo tunajadili dini.
 
Back
Top Bottom