Case Study: Ni nadra sana kukuta kijana wa kiislam hajaoa lakini inazidi kuwa kawaida kumkuta kijana wa kikristo anakwepa ndoa, Nini chanzo ?

1. Ndoa za Kikafiri ni pingu. Once ukiingia, kutoka kuna complications kishenzi!

2. Gharama gharama gharama. Kuanzia mahari, harusi yenyewe.

3. Uzinifu kwa kijana Kafiri ni kama kunywa maji tu.
Kafiri na wewe mna tofauti? Dini za wafuga madevu bhana shari tupu
 
Hivi usislamu ni dini au uhuni wa binadamu kuwatesa wengine kwa kuwapa Sheria Kali wakati wao hawaishi
 
Iss
Basi nisamehe ndugu yangu. Haupo kwenye kundi lolote hapo, tusiingize wazazi kamanda.
ussue ni kwamba.kwenye UKRISTO ukishaoa ndo jela hiyo,ata mke akiwa jeuri,kwa waislam,mke akileta mambo ya beijing anapigwa chini faster!!
 
Vijana wengi wa kiislam wanaoa mwezi wa ramadhani wanapikiwa futari mwezi ukiisha taraka wanasubiri mwakani waoe tena
 
Iss

ussue ni kwamba.kwenye UKRISTO ukishaoa ndo jela hiyo,ata mke akiwa jeuri,kwa waislam,mke akileta mambo ya beijing anapigwa chini faster!!
Hiyo ni moja ya sababu japo sio sole conclusive reason. Bila ya kuweka udini katika hili mi nadhani sisi wenyewe tunapaswa tujiulize: -
  • Je dini inapaswa kumpeleka mtu karibu na dhambi ama imrahisishie kuiepuka?
  • Pia tujiulize hii sheria imetoka kwa Mungu ama ni mtazamo wa mwanadamu?

Uislamu ndo dini pekee ambayo ipo practical katika kukemea zinaa. Ndoa imerahisishwa na imewekewa guidance ya wazi jinsi ya kuiendea na kuivunja. Ni kawaida sana kwa dini nyengine vijana kwenda kujitambulisha kwa wazazi wao kuwa wamefahamiana vya kutosha na mwenza wake na sasa wanataka kufunga ndoa. Kimsingi ndoa hufuata baada ya mahusiano ya hawa watu kwa kigezo cha eti kufahamiana kwanza (hii ni loophole ya hawa watu kuzini na dini haija-address practically hii loophole). Haihitaji darubini kuona kuwa kuna mahusiano mengi yaliishia njiani kabla ya hawa watu kufikia maamuzi ya pamoja ya kuoana.

On the other hand, Uislamu umekataa mahusiano ya watu wawili kwa kigezo cha kufahamiana kabla ya ndoa, hata binti uliyemtoloea mahari pia hupaswi kukaa nae bila uwepo wa walii wake (practically ina discourage zinaa hapa).

Yapo mengi ya kusema hapa lakini naona tuishie hapa tu.
 
Kwa hiyo akamwambia Nakuacha, nakuacha, nakuacha. Ikawa imeisha hiyo😀😀
 
Kwa hiyo akamwambia Nakuacha, nakuacha, nakuacha. Ikawa imeisha hiyo😀😀
Hahaha................wao ni suala la kusema nakuacha x3, Binti wa watu anabeba kilicho chake anarudi kwao 🤗
 
Tukianza na wewe umeoa? kama haujaoa sababu ni zipi zilizokufanya usioe ili hali umesema class mate wako ambao ni waislamu wameshaoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…