luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Kafiri na wewe mna tofauti? Dini za wafuga madevu bhana shari tupu1. Ndoa za Kikafiri ni pingu. Once ukiingia, kutoka kuna complications kishenzi!
2. Gharama gharama gharama. Kuanzia mahari, harusi yenyewe.
3. Uzinifu kwa kijana Kafiri ni kama kunywa maji tu.
ussue ni kwamba.kwenye UKRISTO ukishaoa ndo jela hiyo,ata mke akiwa jeuri,kwa waislam,mke akileta mambo ya beijing anapigwa chini faster!!Basi nisamehe ndugu yangu. Haupo kwenye kundi lolote hapo, tusiingize wazazi kamanda.
Vijana wengi wa kiislam wanaoa mwezi wa ramadhani wanapikiwa futari mwezi ukiisha taraka wanasubiri mwakani waoe tenaNa hapa nazungumzia hasa vijana wa chini ya miaka 30 ambao ni umri uliozoeleka kwa kijana kuoa na kupata mtoto ndani ya ndoa.
Nikiangalia niliohitimu nao chuo degree, rika letu kwa sasa ni miaka 32 hadi 33, vijana wote wa kiislam walishaoa mapema kabla hawajavuka miaka 28, huku kwa wakristo hadi sasa ni asilimia 50 tu waliooa, wasio na ndoa wapo wenye watoto huku suala la mahusiano wapo wanaoishi na wanawake bila ndoa wengine ni mwendo wa kubadili tu.
Shirika nililoajiriwa huwa kuna muda nasupervise matawi tofauti tofauti hata ya mikoa ya karibu, imekuwa ni kawaida sana kukuta vijana wa kiislam kuwakuta tayari wameshaoa lakini kwa upande wa vijana wa kikristo utawakuta waliooa ni watano kato ya kumi.
Kuhusu suala la mahari nimeweka hayo makundi mawili kwa maksudi maan hawa wengi kwa hali zao za uchumi pesa ya mahari hata iwe milioni 3 si jambo la kuwaumiza vichwa , Katika shirika nalofanya ni karibu vijana 80% vijana wanabadili simu bei ghali tena ni za dukani, achana na hizi refurbished, wana magari yanayopiga mafuta, kutumia elf 50 kwa siku hasa wale wa viti virefu ni kawaida. Tukija kwa wale niliohitimu nao tukiachana na ambao uchumi wao ni wazi unasua sua wanaweza kujitetea, wapo walioajiriwa kwenye kazi zenye ulaji mrefu na wapo wafanyabiashara wanapiga deals nzuri tu, suala la mahari kwao haliwezi kuwaumiza vichwa lakini bado wanakwepa ndoa..
Na mizungu jeKarne ya leo bado watu watu mna muda wa kufuatilia mambo binafsi ya watu? Miafrika bado mna safari ndefu.
Hiyo ni moja ya sababu japo sio sole conclusive reason. Bila ya kuweka udini katika hili mi nadhani sisi wenyewe tunapaswa tujiulize: -Iss
ussue ni kwamba.kwenye UKRISTO ukishaoa ndo jela hiyo,ata mke akiwa jeuri,kwa waislam,mke akileta mambo ya beijing anapigwa chini faster!!
Kwa hiyo akamwambia Nakuacha, nakuacha, nakuacha. Ikawa imeisha hiyo😀😀Ndoa ni hitaji la Kiimani zaidi kwa wenye Imani ya dini zote iwe Muislamu ama Mkristo.
Wenzetu Waislamu ndoa imerahishishwa mno, kuanzia kwenye kuoa hadi Kuachana.
Nina rafiki yangu, alimwacha Mke wake kwa Kumwambia Nakuacha mara 3 na Mke akawa ameachwa.
Hahaha................wao ni suala la kusema nakuacha x3, Binti wa watu anabeba kilicho chake anarudi kwao 🤗Kwa hiyo akamwambia Nakuacha, nakuacha, nakuacha. Ikawa imeisha hiyo😀😀
Tukianza na wewe umeoa? kama haujaoa sababu ni zipi zilizokufanya usioe ili hali umesema class mate wako ambao ni waislamu wameshaoa?Na hapa nazungumzia hasa vijana wa chini ya miaka 30 ambao ni umri uliozoeleka kwa kijana kuoa na kupata mtoto ndani ya ndoa.
Nikiangalia niliohitimu nao chuo degree, rika letu kwa sasa ni miaka 32 hadi 33, vijana wote wa kiislam walishaoa mapema kabla hawajavuka miaka 28, huku kwa wakristo hadi sasa ni asilimia 50 tu waliooa, wasio na ndoa wapo wenye watoto huku suala la mahusiano wapo wanaoishi na wanawake bila ndoa wengine ni mwendo wa kubadili tu.
Shirika nililoajiriwa huwa kuna muda nasupervise matawi tofauti tofauti hata ya mikoa ya karibu, imekuwa ni kawaida sana kukuta vijana wa kiislam kuwakuta tayari wameshaoa lakini kwa upande wa vijana wa kikristo utawakuta waliooa ni watano kato ya kumi.
Kuhusu suala la mahari nimeweka hayo makundi mawili kwa maksudi maan hawa wengi kwa hali zao za uchumi pesa ya mahari hata iwe milioni 3 si jambo la kuwaumiza vichwa , Katika shirika nalofanya ni karibu vijana 80% vijana wanabadili simu bei ghali tena ni za dukani, achana na hizi refurbished, wana magari yanayopiga mafuta, kutumia elf 50 kwa siku hasa wale wa viti virefu ni kawaida. Tukija kwa wale niliohitimu nao tukiachana na ambao uchumi wao ni wazi unasua sua wanaweza kujitetea, wapo walioajiriwa kwenye kazi zenye ulaji mrefu na wapo wafanyabiashara wanapiga deals nzuri tu, suala la mahari kwao haliwezi kuwaumiza vichwa lakini bado wanakwepa ndoa..