tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Laki 2Box 2 ndiyo ngapi hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laki 2Box 2 ndiyo ngapi hiyo?
Laki 2
Hudumu ya 4GYaani manzi mbovu vile mtu anatoa laki 2 !
Muna ni habari nyingine kabisa binamu, mtu anaweza kuwakana ndugu zake hadi kufikia hatua ya kusema mama yake mzazi alishafariki unaona ni jambo dogo? Yule si mzima kichwani na anajali zaidi maslahi yake tu, mimi nikiwekewa Muna na chupa ya bia nichague kimoja walahi binamu mimi ningechukua chupa ya bia, huenda ingenisaidia huko mbeleni kuliko munalove.Usiniambie binamu? Mtumishi scandal za muna zilimshindwa... Ila muna anajiweza Yule Hana shida , Kwanza yupo na Yesu
Muna ni habari nyingine kabisa binamu, mtu anaweza kuwakana ndugu zake hadi kufikia hatua ya kusema mama yake mzazi alishafariki unaona ni jambo dogo? Yule si mzima kichwani na anajali zaidi maslahi yake tu, mimi nikiwekewa Muna na chupa ya bia nichague kimoja walahi binamu mimi ningechukua chupa ya bia, huenda ingenisaidia huko mbeleni kuliko munalove.Usiniambie binamu? Mtumishi scandal za muna zilimshindwa... Ila muna anajiweza Yule Hana shida , Kwanza yupo na Yesu
Muna ni habari nyingine kabisa binamu, mtu anaweza kuwakana ndugu zake hadi kufikia hatua ya kusema mama yake mzazi alishafariki unaona ni jambo dogo? Yule si mzima kichwani na anajali zaidi maslahi yake tu, mimi nikiwekewa Muna na chupa ya bia nichague kimoja walahi binamu mimi ningechukua chupa ya bia, huenda ingenisaidia huko mbeleni kuliko munalove.
Kwani huyu amezaliwa wapi mkuu?kuzaliwa mjini nako kunasaidia, ushamba wa kipuuzi kama wa akina castor unaepukana nao
Kuna picha aliweka insta pembeni kuna buku na rough rider studded.Kitoto kimeweka kambi ar kanapakuliwa 2 mpka box 2 kanatoa mzigo
AiseeehView attachment 884146
Hiyo hapo...Casto ndio hilo pulizo.
Yeye anataka yenye tunda.Huyo Casto naye ni mshamba mshamba tu fulani.
Ila afdhari amejinasua kwenye hilo 'kupe'. Sasa ajikite kujiinua kiuchumi na kufanya maisha. Mbunye zipo tu.
-Kaveli-
Apple iPhone company.Post ya pili kwa ubora kwa october hii apple nini?
Apple iPhone company.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️