Casto Dickson kaachwa rasmi na Tunda

Casto Dickson kaachwa rasmi na Tunda

Usiniambie binamu? Mtumishi scandal za muna zilimshindwa... Ila muna anajiweza Yule Hana shida , Kwanza yupo na Yesu
Muna ni habari nyingine kabisa binamu, mtu anaweza kuwakana ndugu zake hadi kufikia hatua ya kusema mama yake mzazi alishafariki unaona ni jambo dogo? Yule si mzima kichwani na anajali zaidi maslahi yake tu, mimi nikiwekewa Muna na chupa ya bia nichague kimoja walahi binamu mimi ningechukua chupa ya bia, huenda ingenisaidia huko mbeleni kuliko munalove.
 
Usiniambie binamu? Mtumishi scandal za muna zilimshindwa... Ila muna anajiweza Yule Hana shida , Kwanza yupo na Yesu
Muna ni habari nyingine kabisa binamu, mtu anaweza kuwakana ndugu zake hadi kufikia hatua ya kusema mama yake mzazi alishafariki unaona ni jambo dogo? Yule si mzima kichwani na anajali zaidi maslahi yake tu, mimi nikiwekewa Muna na chupa ya bia nichague kimoja walahi binamu mimi ningechukua chupa ya bia, huenda ingenisaidia huko mbeleni kuliko munalove.
 
ANGEMTIA MIMBA MAPEMA WAKATI DOGO KADATA.... ONA SASA ANAVYOMWAGWA. ANGEMZALISHA ASINGESAHAULIKA KIRAHISI
 
Muna ni habari nyingine kabisa binamu, mtu anaweza kuwakana ndugu zake hadi kufikia hatua ya kusema mama yake mzazi alishafariki unaona ni jambo dogo? Yule si mzima kichwani na anajali zaidi maslahi yake tu, mimi nikiwekewa Muna na chupa ya bia nichague kimoja walahi binamu mimi ningechukua chupa ya bia, huenda ingenisaidia huko mbeleni kuliko munalove.

Kuna mambo mengi hatuyajui kwenye familia Yao , muna sio chizi kiasi hicho kuikana familia yake, tatizo watu hatujui

Mpaka kaamua kuokoka ujue kapitia mengi sana

Ila muna nae Ana pepo la uongo, dada muongo jaman🤣🤣🤣, Ila Mungu atamsaidia tu maadam kaokoka
 
maombi yetu yametimia, tulweka misa ya kumwokoa castro na kahaba lidangaji la kimataifa, yule dada Tundu kweli tunda limeliwa kisawa sawa hadi uenda K yake inaweza kuwa upande mmoja umelika aisee si kwa kukungutwa huku
 
Huyo Casto naye ni mshamba mshamba tu fulani.

Ila afdhari amejinasua kwenye hilo 'kupe'. Sasa ajikite kujiinua kiuchumi na kufanya maisha. Mbunye zipo tu.

-Kaveli-
 
Apple iPhone company.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️


Hapana mkuu sikuwa na maana hiyo aliyesema kasema hivi. Pamoja na apple kuwa tunda limeng'atwa na kuwa nembo... so mimi nilipenda hiyo kung'atwana bado likaishia kuwa nembo............. usikimbie njoo
 
Back
Top Bottom