Haya mabumunda yanatuchelewsha kupata katiba mpyaMbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Huyu kahaba anatafuta uteuziMbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Ndiyo huyu kahabaHuyu dada ndio yule aliyepora mume wa mtu ?
Nasikia ana bwangaNimekula sana hii pisi, ukiichapa vizuri inahema kwa rivasi sana hadi sio poa
Malaya huyu anatetea teuzi za viti maalum 2025, Uchawa ni jambo baya sanaMbunge viti maalum Arusha Catherine Magige amvaa kwa matusi mbunge mwenzake.
Amemshambulia kwa matusi mbunge Mpina utadhani wapo vyama tofauti.
Hii ni dalili tosha kuwa ccm sasa hivi kuna moto unawaka chini kwa chini.
Hakuna amani tena.
Tuombe Mungu azidi kuukoleza na sisi wazalendo kazi yetu ni kuongezea Kuni tu.
View attachment 2877418
Catherine uwa havai chupNi Catherine Magige punguza kukurupuka! Catherine Ruge ni Kiongozi wa BAWACHA CHADEMA na aliwahi kuwa Mbunge wa Viti Maalum.
Katumwa huyo.Huyu anajikomba tu
Kwanza akili ndogo tu
Hawezi na siyo level ya mpina
Aache kujipendekeza
Ova
Wacha migambo waruke na kukanyaganaHawajajifunza kitu kutoka kwa Magufuli hawa watu kwenye uongozi.
Katiba ya CCM ina kamati ya usalama na maadili kuanzia ngazi za tawi kwenda juu.
Inakuwaje mwanachama (tena prominent) kwa nafasi yake ya ubunge awe anaishambulia serikali kila siku bila ya kuitwa kamati ya maadili na kupewa onyo.
Mambo aliyokuwa akifanya Magufuli na Bashiru ndio njia ya kuwaweka wanachama kwenye mstari. Sasa kwanini katika ya CCM ikataka kuwe na kamati za maadili katika ngazi tofauti iwapo wanachama wanaruhusiwa kuwa na utovu wa nidhamu.
Shida ya Mpina chumvi nyingi sana kwenye malalamiko yake, mpaka anakuwa aeleweki anacholalamikia. Waanze kufanyiana ‘psychometric tests’ huko CCM kabla ya kuwapa watu nafasi.
Magufuli alikuwa anafanya mambo ambayo watanzania awajazoea, ila ni utaratibu wa kawaida kwengine duniani.